Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Sasa unataka tuombe kazi bila leseni .Eti Kuna sehemu ya kuweka leseni kwenye mfumo Kwa clinical officers?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unataka tuombe kazi bila leseni .Eti Kuna sehemu ya kuweka leseni kwenye mfumo Kwa clinical officers?
Degree hamnaKwanini?
Sababu gani imekusukuma kufanya hivyo
Toa muongozo madam namna ya ku editAjira zimekua changamoto sana lo
Mkuuu kitaa pa moto sana kama huna mishe. Wacha tukomae ambao mambo badoSasa mkuu wew una degree unataka ukashindane na wenye diploma?
Omba kazi ya level yako ukapimwe
Wapigie simu uwaambie wafute qualification ya degree ili ibaki DiplomaDegree hamna
Toa muongozo madam namna ya ku edit
Jaribu kuwasiliana nao kupitia nambari: 0739160350Ajira portal imekuja kunyima ajira kwa vijana na si kutoa ajira kama ilivyotarajiwa mwombaji amesoma kuanzia certificate mpaka degree kaweka cv yake pale unahitaji kuomba kazi ya diploma iliyotangazwa
Kufuta cheti cha degree ni changamoto sana
Msaada kwa anayejua kama naweza update hiyo issue kufuta chet cha degree
Habari. Wanashauri kuandika kwa mkono.Nauliza hivi barua ni kuandika Kwa mkono au kutype?
Nimepiga hawajapokea mkuuJaribu kuwasiliana nao kupitia nambari: 0739160350
Hawajapokea mkuuWapigie simu uwaambie wafute qualification ya degree ili ibaki Diploma
Rudia hadi wapokee, huwa hawapokei mapema maana wanapokea simu nyingi.Hawajapokea mkuu
Sawa mkuuRudia hadi wapokee, huwa hawapokei mapema maana wanapokea simu nyingi.
Kwann unashangaa? Anaomba diplôme then akipata ajira atakaa mwak Mmoja atawasilisha cheti chake chá degree kwa mwajili then ata m upgradeKwanini?
Sababu gani imekusukuma kufanya hivyo
Kumbe ni rahisi hivyo, afanye hivyo.Kwann unashangaa? Anaomba diplôme then akipata ajira atakaa mwak Mmoja atawasilisha cheti chake chá degree kwa mwajili then ata m upgrade
Je, hii changamoto yako umefanikiwa kuitatua?mimi nina 100 percent ila inanigomea ku apply inaandika APPLICATION FAILED na nina kila kitu.
Shukran mkuu upo sahihi sana hakika umeongea, tunasoma kwa tabu, mitihani migumu bado kwenye mfumo wa ajira na mifumo yao ya ajabu ajabu inasumbua, bado watakutumia control number ulipe deni la HESLB. Kwa kweli kuna mambo yanakera kabisa aiseeMkuu pole Sana, ila waliweka hivyo ili iwe kikwazo kwa wanaomba ajira.
Ajira ni haki kikatiba , mtanzania ana haki ya kufanya Kazi na kumuingizia kipato bila kuvunja Sheria za Nchi.
Sasa ukiwauliza psrs Kwa nini wamefanya hivyo , wametumia Sheria gani , kumzua mtanzania mwenye degree na diploma, ashindwe kuomba Kazi za diploma ,
Utangundua ni roho mbaya Tu, za viongozi wa TZ,
Psrs walitakiwa washitakiwe Kwa kuvunja Sheria, kwa kuwanyima haki wa Tanzania ya kupata Kazi wanayoitaka ili kujiingizia kipato
Kwanini sasa nataka niweke diploma niitoe hiyo degree yao hawataki mfumo huu ni changamoto sanaKumbe ni rahisi hivyo, afanye hivyo.
NB: Kumbuka mwajiri anataka mwenye Diploma ndio maana hajatangaza sifa ya Degree.
Eti Kuna sehemu ya kuweka leseni kwenye mfumo Kwa clinical officers ?
Mtaani kuna wadau wana fanya hiyo kazi
Wapo Kila mtu na bei yake!
Wapo wa 20,000/- wapo wa 30,000/- wapo wa 50,000/- ni wewe tu...!
Wapo mikoa tofauti, Mwanza, Dodoma, Dsm nk
Acheni kudanganyanawatu wameshaona ni fursa wanataka hadi laki ndo wanatoa