Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Kwa saa zetu siku inaanza asubuhi saa 1 asubuhi...wazungu wao siku inaanza saa 6 usiku ndiyo saa 1 inaingia sababu za wazungu kuchagua muda huo ni za kula bata na kiuchumi watu wanashinda sehemu za starehe wakitumia pesa usiku wakisubiri huo muda...hivyo wale wa saa 6 usiku wametupiga bao kwenye sababu.... kuu mbili za kiuchumi na kistarehe...kuhusu kidini siku inabadilika saa 12 jioni ndiyo inaingia siku mpya .....ila kimantiki sisi africa mashariki ndiyo tumechagua muda sahihi zaidi wa siku kuanza asubuhi japo kiuchumi na kistarehe tume feli...mfano kama mwaka mpya utaingia asubuhi mashamshamu yake hayawezi kunoga kama usiku pia kiuchumi inakuwa chini mikesha ya mwaka mpya inabusti matumizi ya pesa na anasa.Sio kwel bhn hata cc siku inazia iyo iyo saa 6 kamili siku