DOKEZO Mfumo wa Mtandao kuomba uhamisho Serikalini ni tatizo, unatakiwa kuboreshwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ni hujuma tu zinafanyika, mbona kwa wanafunzi wako faster kwa nini watumishi?

Wanazingua sana! Yaani ni bora warudishe mfumo wa makaratasi basi. Huu ni unyanyasaji.
 
Vipi ulishafanikiwa kuhama?
 
Jamani naomben msaada nimefika hatua ya kuandoka transfer request lakini Kila nokituma ombi inaniandikia error initiating transfer request msaada please
 

Attachments

  • Screenshot_20241219-180236.png
    99 KB · Views: 7
  • Screenshot_20241219-180220.png
    97.5 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…