Hapo Jana usiku Hezbullah na HAMAS walifanya mashambulizi ya rocket na makombora,na kwa asilimia kubwa yakapiga makazi ya miji kadhaa ya Israel kama vile Ashdod,Tel aviv na kwingineko huku mfumo wa Ulinzi wa kuzuia makombora ikishindwa kuinterrcept na baadala yake ikawa inayasamabaza kwa kushambulia kwenye makazi.
So far haijulikani kama Iron Dome zilihackiwa ama nini kimejiri.
Shuhudia sehemu ya kadhia hizo!
So far haijulikani kama Iron Dome zilihackiwa ama nini kimejiri.
Shuhudia sehemu ya kadhia hizo!