Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kulalamika mitandaoni tu...mkiambia tuandamane mna fyanta mkia misili ya mbwa koko. Tuendelee hivi hivi tu maana Mkiambia SERIKALI YA CCM NI YA KIDIKTETA hamuaminiHali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.
Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.
Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.
Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.
Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,
Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.
Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.
Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida
Af hii Ni kelele Kama kelele zingine tu. Nchi hii Ni ya Hovyo kabisa katika kumjali mtu wa Hali ya chini kabisa yaan anaeshi kwa dola moja. Na toka kipindi Cha kampeni za urais Hadi uchafuzi mkuu wa 2020 nimewasikiliza Sana wagombea, Hakika nchi hii ya Tanzania inahitaji mtu Kama TUNDU LISSU awe rais ingawa katika Sera zake zote moja tu ndio mbaya kidogo nayo Ni Sera ya MAJIMBO. Ila note kwa yote TUNDU LISSU anastahili kuwa rais.Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.
Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.
Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.
Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.
Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,
Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.
Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.
Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida
Naishi mpakani mwa Tanzania na Zambia (Tunduma) hii nchi inhitaji katiba Kama ya Zambia ambapo kiongozi mkubwa Kama rais anachunguzwa pindi amalizapo mda wake na Kama mambo yameenda ndivyo sivyo anashtakiwa vizuri tu. Na katiba Yao inamsikiliza mno mwananchi wa kawaida na matakwa yake kwa maslahi ya nchi. Nways kuhusu kupanda bei vitu nmalize kwa kusema acha vitu vipande bei tu Maana inasemekana Ni "Acha inyeshe tuone panapo vuja".Kuna watu walikuwa wanalalamika "inchi haina uhuru wa kujieleza sababu zake.mwendazake ...........",baada ya Mwendazake zake kuondoka zake wanaharakati wetu na baadhi ya wanasiasa wakadai "inchi sasa ina uhuru wa kujieleza.........inchi imefunguka na mama ana upiga mwingi. "
Haya sasa wana uhuru wa kujieleza sasa.
1.Tozo zime ongezeka wamepiga kimya.
2 Mafuta yame ongezeka bei kimya.
3.Baadhi ya bidhaa zime ongezeka bei kimya
4.Mgao wao umeme kimya.
5.Mgao wa Maji Kimya.
6.Bei za kuunganisha umeme zimepanda kimya.
Hua na jiuliza hivi haya yote yange tokea kipindi Mwendazake yupo hai, sijui ingekuwaje baadhi ya wanasiasa wetu na wanaharakati huko twitter, yaani mitandao ingebast.
Hapo ndipo unapata picha may be Mwendazake aliziba mianya ambayo wao walikuwa wana nufaika nayo.
Sisi tukilalamika tunaitwa Sukuma, utazani labda wao wanaishi Burundi.
Wakati huo cheif hangaya anakula bata tuu na ndege zetu.Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.
Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.
Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.
Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.
Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,
Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.
Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.
Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida
Wananchi wanataka sana katiba mpyaNaishi mpakani mwa Tanzania na Zambia (Tunduma) hii nchi inhitaji katiba Kama ya Zambia ambapo kiongozi mkubwa Kama rais anachunguzwa pindi amalizapo mda wake na Kama mambo yameenda ndivyo sivyo anashtakiwa vizuri tu. Na katiba Yao inamsikiliza mno mwananchi wa kawaida na matakwa yake kwa maslahi ya nchi. Nways kuhusu kupanda bei vitu nmalize kwa kusema acha vitu vipande bei tu Maana inasemekana Ni "Acha inyeshe tuone panapo vuja".
Waache unafiki.Hoja yako ni ipi hapa wee sukuma?
Wakiacha bei za vitu zitashuka?
Sasa huo uhuru wa kuongea kupindi cha Mwendazake walikuwa wana upigania wa nini?Wakiacha bei za vitu zitashuka?
Lini yalishawahi kufanyika «maandamano ya amani» ya malalamiko dhidi ya serikali? Unaishi kwenye free market economy ambapo Serikali haiwezi kupanga bei ya bidhaa zote hadi peremende na dawa ya mswaki. Labda muandamane kudai Serikali ipandishe mishahara ya Watumishi wake.Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.
Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.
Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.
Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.
Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,
Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.
Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.
Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida.
Majani ya chai yale ya 600 leo ni 700,novida ilikuwa 500 leo ni 600, sabuni kipande leo ni 600, mikate nayo imepanda bei, kutokana na ngano kupanda bei, nk. Vifaa vya ujenzi ndo usiseme.
Serikali iko kimya ka hawaoni au hawajui ya kuwa wananchi wanaumia?
KumbeNaona labda tuhamie Zanzibar labda kuna unafuu maana wao wanapendelewa na wanasiasa wao, sisi watanganyika wanasiasa wanasuka mipango watakavyotukamua hadi maji tuyaite....mmmaaah!!!!!
asili% ya watanzania hawajui haki zao na ndo maana tutaonewa mpaka mwisho wa ccm kuangusha utawalaHali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.
Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.
Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.
Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.
Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,
Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.
Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.
Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida.
Majani ya chai yale ya 600 leo ni 700,novida ilikuwa 500 leo ni 600, sabuni kipande leo ni 600, mikate nayo imepanda bei, kutokana na ngano kupanda bei, nk. Vifaa vya ujenzi ndo usiseme.
Serikali iko kimya ka hawaoni au hawajui ya kuwa wananchi wanaumia?
Kwani kipindi kile walipo kuwa wakiongea sukari kupanda bei, bei ya mabati kupanda? Vipi vilishuka bei?Hii hoja inasaidiaje mfumuko wa bei kupungua?
Mbona mchina kaimiliki nchiNaishi mpakani mwa Tanzania na Zambia (Tunduma) hii nchi inhitaji katiba Kama ya Zambia ambapo kiongozi mkubwa Kama rais anachunguzwa pindi amalizapo mda wake na Kama mambo yameenda ndivyo sivyo anashtakiwa vizuri tu. Na katiba Yao inamsikiliza mno mwananchi wa kawaida na matakwa yake kwa maslahi ya nchi. Nways kuhusu kupanda bei vitu nmalize kwa kusema acha vitu vipande bei tu Maana inasemekana Ni "Acha inyeshe tuone panapo vuja".
Vilishuka mf sukari ilikuwa 3200 mpaka 2600.Unavyoona vilishuka?
Bei zimepanda sehemu nyingi duniani
Hata Ulaya ni haya haya na zaidi maana mpaka NI zitapanda April
Gas, Fuel na maji yote bei juu halafu mishahara palepale wataalamu wa fedha wanatuambia wakipandisha mishahara ni mbaya zaidi
Ila wote tunanyooka bali tunatofautiana
Bei zimepanda sehemu nyingi duniani
Hata Ulaya ni haya haya na zaidi maana mpaka NI zitapanda April
Gas, Fuel na maji yote bei juu halafu mishahara palepale wataalamu wa fedha wanatuambia wakipandisha mishahara ni mbaya zaidi
Ila wote tunanyooka bali tunatofautiana
Kwa hiyo na wewe umepost hayo matakataka kuunga mkono mfumuko wa bei, kwamba ni halali kabisa kuwepo nchini maana duniani kote yanatokea?Tunaanzia wapi mliko tuje tuungane? [emoji848][emoji848]..
Mkishaandamana kimbieni Nchi hamieni huku hakuna mfumuko wa bei [emoji116]
View attachment 2072919
View attachment 2072920
View attachment 2072925
View attachment 2072926