Mfumuko huu wa bei nchini, Watanzania tumekuwa wapole mno. Tunahitaji maandamano ya amani

Mfumuko huu wa bei nchini, Watanzania tumekuwa wapole mno. Tunahitaji maandamano ya amani

Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.

Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.

Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.

Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.

Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,

Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.

Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.

Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida
Kazi kulalamika mitandaoni tu...mkiambia tuandamane mna fyanta mkia misili ya mbwa koko. Tuendelee hivi hivi tu maana Mkiambia SERIKALI YA CCM NI YA KIDIKTETA hamuamini
 
Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.

Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.

Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.

Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.

Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,

Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.

Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.

Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida
Af hii Ni kelele Kama kelele zingine tu. Nchi hii Ni ya Hovyo kabisa katika kumjali mtu wa Hali ya chini kabisa yaan anaeshi kwa dola moja. Na toka kipindi Cha kampeni za urais Hadi uchafuzi mkuu wa 2020 nimewasikiliza Sana wagombea, Hakika nchi hii ya Tanzania inahitaji mtu Kama TUNDU LISSU awe rais ingawa katika Sera zake zote moja tu ndio mbaya kidogo nayo Ni Sera ya MAJIMBO. Ila note kwa yote TUNDU LISSU anastahili kuwa rais.
 
Kuna watu walikuwa wanalalamika "inchi haina uhuru wa kujieleza sababu zake.mwendazake ...........",baada ya Mwendazake zake kuondoka zake wanaharakati wetu na baadhi ya wanasiasa wakadai "inchi sasa ina uhuru wa kujieleza.........inchi imefunguka na mama ana upiga mwingi. "

Haya sasa wana uhuru wa kujieleza sasa.
1.Tozo zime ongezeka wamepiga kimya.
2 Mafuta yame ongezeka bei kimya.
3.Baadhi ya bidhaa zime ongezeka bei kimya
4.Mgao wao umeme kimya.
5.Mgao wa Maji Kimya.
6.Bei za kuunganisha umeme zimepanda kimya.

Hua na jiuliza hivi haya yote yange tokea kipindi Mwendazake yupo hai, sijui ingekuwaje baadhi ya wanasiasa wetu na wanaharakati huko twitter, yaani mitandao ingebast.

Hapo ndipo unapata picha may be Mwendazake aliziba mianya ambayo wao walikuwa wana nufaika nayo.

Sisi tukilalamika tunaitwa Sukuma, utazani labda wao wanaishi Burundi.
Naishi mpakani mwa Tanzania na Zambia (Tunduma) hii nchi inhitaji katiba Kama ya Zambia ambapo kiongozi mkubwa Kama rais anachunguzwa pindi amalizapo mda wake na Kama mambo yameenda ndivyo sivyo anashtakiwa vizuri tu. Na katiba Yao inamsikiliza mno mwananchi wa kawaida na matakwa yake kwa maslahi ya nchi. Nways kuhusu kupanda bei vitu nmalize kwa kusema acha vitu vipande bei tu Maana inasemekana Ni "Acha inyeshe tuone panapo vuja".
 
Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.

Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.

Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.

Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.

Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,

Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.

Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.

Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida
Wakati huo cheif hangaya anakula bata tuu na ndege zetu.
 
Naishi mpakani mwa Tanzania na Zambia (Tunduma) hii nchi inhitaji katiba Kama ya Zambia ambapo kiongozi mkubwa Kama rais anachunguzwa pindi amalizapo mda wake na Kama mambo yameenda ndivyo sivyo anashtakiwa vizuri tu. Na katiba Yao inamsikiliza mno mwananchi wa kawaida na matakwa yake kwa maslahi ya nchi. Nways kuhusu kupanda bei vitu nmalize kwa kusema acha vitu vipande bei tu Maana inasemekana Ni "Acha inyeshe tuone panapo vuja".
Wananchi wanataka sana katiba mpya
 
Ni sahihi, ni mtanzania mwenyewe ndio anaweza kujikomboa kwenye udhalimu wa hawa tuliowapa mamlaka, shida sisi hatujitambui, wala hatujui tunachokitaka.
 
Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.

Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.

Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.

Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.

Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,

Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.

Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.

Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida.

Majani ya chai yale ya 600 leo ni 700,novida ilikuwa 500 leo ni 600, sabuni kipande leo ni 600, mikate nayo imepanda bei, kutokana na ngano kupanda bei, nk. Vifaa vya ujenzi ndo usiseme.

Serikali iko kimya ka hawaoni au hawajui ya kuwa wananchi wanaumia?
Lini yalishawahi kufanyika «maandamano ya amani» ya malalamiko dhidi ya serikali? Unaishi kwenye free market economy ambapo Serikali haiwezi kupanga bei ya bidhaa zote hadi peremende na dawa ya mswaki. Labda muandamane kudai Serikali ipandishe mishahara ya Watumishi wake.
 
Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.

Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.

Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.

Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.

Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,

Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.

Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.

Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida.

Majani ya chai yale ya 600 leo ni 700,novida ilikuwa 500 leo ni 600, sabuni kipande leo ni 600, mikate nayo imepanda bei, kutokana na ngano kupanda bei, nk. Vifaa vya ujenzi ndo usiseme.

Serikali iko kimya ka hawaoni au hawajui ya kuwa wananchi wanaumia?
asili% ya watanzania hawajui haki zao na ndo maana tutaonewa mpaka mwisho wa ccm kuangusha utawala
 
Naishi mpakani mwa Tanzania na Zambia (Tunduma) hii nchi inhitaji katiba Kama ya Zambia ambapo kiongozi mkubwa Kama rais anachunguzwa pindi amalizapo mda wake na Kama mambo yameenda ndivyo sivyo anashtakiwa vizuri tu. Na katiba Yao inamsikiliza mno mwananchi wa kawaida na matakwa yake kwa maslahi ya nchi. Nways kuhusu kupanda bei vitu nmalize kwa kusema acha vitu vipande bei tu Maana inasemekana Ni "Acha inyeshe tuone panapo vuja".
Mbona mchina kaimiliki nchi
 
Bei zimepanda sehemu nyingi duniani
Hata Ulaya ni haya haya na zaidi maana mpaka NI zitapanda April
Gas, Fuel na maji yote bei juu halafu mishahara palepale wataalamu wa fedha wanatuambia wakipandisha mishahara ni mbaya zaidi

Ila wote tunanyooka bali tunatofautiana
 
Dunia sasa inaenda kuwa kitu kingine
Bei zimepanda sehemu nyingi duniani
Hata Ulaya ni haya haya na zaidi maana mpaka NI zitapanda April
Gas, Fuel na maji yote bei juu halafu mishahara palepale wataalamu wa fedha wanatuambia wakipandisha mishahara ni mbaya zaidi

Ila wote tunanyooka bali tunatofautiana
Bei zimepanda sehemu nyingi duniani
Hata Ulaya ni haya haya na zaidi maana mpaka NI zitapanda April
Gas, Fuel na maji yote bei juu halafu mishahara palepale wataalamu wa fedha wanatuambia wakipandisha mishahara ni mbaya zaidi

Ila wote tunanyooka bali tunatofautiana
 
Leo nimeulizia ndizi za kupika saba saba dom muuzaji ananiambia ndizi tatu buku nimekimbia nikasimamia cbe.
 
Back
Top Bottom