Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Inflation au mfumuko wa bei ndio unaotofautisha maskini na tajiri. Kwa hiyo ukiwa tajiri mfumuko wa bei haukuathiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania inapatikana mbinguni? Kama Nchi zote zimekumbwa na inflation iliyosababishwa na covid iliyokumba nchi zote Kwa nini isiwe halali?Kwa hiyo na wewe umepost hayo matakataka kuunga mkono mfumuko wa bei, kwamba ni halali kabisa kuwepo nchini maana duniani kote yanatokea?
Corona ilidisrupt-supply chain na logistics hii ndo moja ya sababu kuu ya kupanda bei ni tatizo la Dunia nzimaTunaanzia wapi mliko tuje tuungane? 🤔🤔..
Mkishaandamana kimbieni Nchi hamieni huku hakuna mfumuko wa bei 👇
View attachment 2072919
View attachment 2072920
View attachment 2072925
View attachment 2072926
Hawaelewi hao wajinga wenye chuki,waulize wakupe solution sasa kama hata wanayo.Corona ilidisrupt-supply chain na logistics hii ndo moja ya sababu kuu ya kupanda bei ni tatizo la Dunia nzima