FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,050
- 2,651
- Thread starter
-
- #41
Aisee navyo vimeshapanda.wiki iliyopita nimenunua Cha TSH 20k Azam.Napo washabadili tena. Hii hatarUongezee hapo bei vya kingamuzi cha azam na vifurushi vya mitandao ya simu
Kama hujui kitu ni bora ukakaa kimya kwa taarifa yako toka 2016 hakuna mpaka uliofungwa eti mazao yaziuzwe nje, kipindi cha jk sawa.Wala tatizo sio kuruhusu /kuzuia mazao yasiuzwe nje, mbona bei ya mchele na mahindi bado ziko chini sana?mafuta ya kula na bidhaa nyingi tu zimepanda bei ndio ujue kuna tatizo sehemu, unaweza kukimbilia kutaka kukusanya kodi kwa wingi huku unaumiza wananchi, na ndicho kinachotokea sasa!!Magufuli alidhibiti mazao na mifugo visiuzwe nje ya nchi kwa kufunga mipaka maana mazao yangeadimika, fikiria maisha yangekuwaje?
Japokuwa mkulima alikuwa hanufaiki lakini faida ni kubwa kuliko hasara, maana mahindi mchele mifugo n.k walahi tungetafutana
Na ndio maana sasa , mtu anakuwa kama hajiamini vile, muda mwingi ni kutafuta huruma tu kwa kutumia JINSI, yake!!!Hayo ndo madhara ya rais kufariki akiwa madarakani, nchi inakosa uthibiti kabisa.......tunaposema mchakato wa katiba mpya uanze ni pamoja a kuweka sawa mambo kama haya ya succession plan. Haiingii akilini mtu ambaye hachaguliwa kwa kura kwenye nafasi kubwa kama ya rais asimikwe kwenye nafasi hiyo kwa miaka zaidi ya minne. Kwa uelewa wangu madaraka ya rais hayawezi kukaimiwa kwa zadi ya miezi sita kabla ya kufanya uchaguzi upya.....
Hata deflation humgusa kila mtu.Inflation humgusa kila mtu hata mtumishi
Angeruhusu mazao yatoke mipakani ,Ungeuziwa kilo ya unga wa mahindi elfu mbili ungemuitaje?Yule mpumbavu si ndio alikuwa akiwaambia wakulima wauze bei juu mazao wanaolalamika wakalime wao?
Huna ulijualoKama hujui kitu ni bora ukakaa kimya kwa taarifa yako toka 2016 hakuna mpaka uliofungwa eti mazao yaziuzwe nje, kipindi cha jk sawa.Wala tatizo sio kuruhusu /kuzuia mazao yasiuzwe nje, mbona bei ya mchele na mahindi bado ziko chini sana?mafuta ya kula na bidhaa nyingi tu zimepanda bei ndio ujue kuna tatizo sehemu, unaweza kukimbilia kutaka kukusanya kodi kwa wingi huku unaumiza wananchi, na ndicho kinachotokea sasa!!
Siyo kwamba anawakomesha mataga huku akifuta legacy?mam enu mdogo nchi imemshinda.
Kwanii bei ya nondo shingapKwny construction materials ndio balaa....kwenye hili bimkubwa ananiangusha.
MpumbavYule mpumbavu si ndio alikuwa akiwaambia wakulima wauze bei juu mazao wanaolalamika wakalime wao?
Nasikia hizi bei mabavicha haziwagusi!Mpaka maccm yanyoke kwanza ndio tutashusha bei.
Je?? Bati, misumari, cement navyo soko limefunguka nje?? /Nafaka zikipanda bei ni neema kwa wakulima
Ama Anachapisha Noti Mpya Kama Jiwe Alipotishiamam enu mdogo nchi imemshinda.
nyie matagapori hamkomeshwi kwasababu nyie mkienda vituo vya mafuta kufanya manunuzi mnapunguziwa bei kwasababu ni CCM 🤣 🤣 🤣Siyo kwamba anawakomesha mataga huku akifuta legacy?
Siyo kwamba ndio anawajaza bavicha mahela mifukoni?
Mabavicha zile shangwe zenu za..nyie matagapori hamkomeshwi kwasababu nyie mkienda vituo vya mafuta kufanya manunuzi mnapunguziwa bei kwasababu ni CCM [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Hivi nyie mataga pori mlidhani huu ugumu wa maisha unaosababishwa na CCM utawaathiri wapinzani pekee???
Jana nimesikia jiran analalamika ngano pia inapaa