Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Mkuranga sio zanzibar? [emoji44][emoji44]nani kasema., Mwinyi ni wa kwenu toka Mkuranga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuranga sio zanzibar? [emoji44][emoji44]nani kasema., Mwinyi ni wa kwenu toka Mkuranga
Tuwekee picha asee , nataka mione huo mkate wa sh 250[emoji851][emoji851]Yakhe waijua boflo weyeeeee? Sio ka nkate wenu wa huko Tanganyika!
Utakula ugali asubuhi,mchana Na usiku?Sasa si bora kusonga ugali tu, [emoji23][emoji23],yaani kadogo kuliko sconse tunazouziwa huku 300?..!!!
He mkuranga ni zanzibar we chiz kwelMkuranga sio zanzibar? [emoji44][emoji44]
1. Kodi wanazolipa wazanzibar kupitia TRA ndio kubwa hapa, hizi hela direct zinaenda Tanganyika na hakuna ata cent inayorud Zanzibar., Zanzibar wana chombo chao cha kulipia kodi kwa shughuli zao ZRBMmmh jamani tunaitegemea zanzibar kwa lipi? Taja mambo matano tunayowategemea
Hiyo number sita bora uifute kabisa!!!! Chipsi si chakula cha kizanzibari na anaejidai kuwa lazima apate chipsi jioni simhurumii kwa bei yake. Utalalamikaje juu ya bei ya chipsi ambacho si chakula cha asili ya kizanzibari ilhali mchele na sukari bei yake haifikii ya shani ya chipsi? Kwa mzanzibari ikiwa una uwezo wa kununua sahani ya chipsi ili watu wakuone tu kuwa uko barazani unakula chipsi jioni basi huwezi kulalamika na bei ya unga, sukari au mchele, vyakula ambavyo mtu akipata anaweza kupika na kula na familia yake nyumbani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ameniudhi analeta madharau wakati tunawalisha bure . Wanalima karafuu wale hizo karafuu sasa.
Nimecheka balaaa,sio kwa mkate huo.Sasa si bora kusonga ugali tu, [emoji23][emoji23],yaani kadogo kuliko sconse tunazouziwa huku 300?..!!!
Unaongea kimajungu sana na unajitoa ufahamu1. Kodi wanazolipa wazanzibar kupitia TRA ndio kubwa hapa, hizi hela direct zinaenda Tanganyika na hakuna ata cent inayorud Zanzibar., Zanzibar wana chombo chao cha kulipia kodi kwa shughuli zao ZRB
2. Misaada mbali mbali na mikopo ambayo JMT inapata na kukopa kwa ajili ya Nchi mbili huru zilizoungana yaani Jamuhuri ya Muungano inaishia ardhi ya Tanganyika tu kwa maendeleo yao, zanzibar hawapeleki kitu tangia 64.
3. Bandari ya Zanzibar haijawahi kuleta faida kwa wazanzibari ikifika jioni mapato yote Tanganyika
4. Wanajeshi kutoka zanzibar miaka yote ndio hupelekwa mipakani kulinda nchi lakini ndio mnaowapeleka kupitia UN kupambana na makundi ya waasi kule Kongo na kwengineko., ndio mana ikitokezea kufa maiti zinaletwa Zanzibar tu watanganyika hawapeleki watu wao kwenye vita
5. Zanzibar sasa ivi eneo kubwa la ardhi yake wamekuwa wakipewa watanganyika wanyamwezi wanamiminika kila leo wanakatiwa maeneo wanaishi na familia zao na ajira wanapewa na kuzaliana
Mkuu akili yangu timamu kabisa, laiti ungelikuwa umetembelea visiwani hivi karibuni ungelifahamu kabisa wapi ghadhabu zangu na ndugu zangu zimetokea.mkuu vipi umechanganyikiwa? kwa kweli unaropokwa ovyo tu
Hapo mna chips za muhogo. Badia za dengu. Viazi na huo urojo.Aisee ni mdogo sana.... Sema urojo wenyewe nauskiaga tu siujui hata ukoje
Hapo mimi nachanganya na pweza mikia mikubwa kabisa mitatuHapo mna chips za muhogo. Badia za dengu. Viazi na huo urojo.
Unaweza weka na mishkaki na yai la kuchemsha. [emoji39]
Kwa ufupi chakula cha nguvu [emoji123]. Sio kama watu wanavosema ukila urojo unakuwa legelege [emoji14]View attachment 2086853
Sasa mbona watu wanauponda urojo wanasema ukiula na wewe unakuwa rojo rojo yaani mlegevu?Hapo mna chips za muhogo. Badia za dengu. Viazi na huo urojo.
Unaweza weka na mishkaki na yai la kuchemsha. [emoji39]
Kwa ufupi chakula cha nguvu [emoji123]. Sio kama watu wanavosema ukila urojo unakuwa legelege [emoji14]View attachment 2086853
Siyo mkate, unaitwa bofulo. Bofulo 5 sawa na mkate 1Mkate shilingi 250 mnalalamika?
Duu tano? Asante nimeelewa sasaSiyo mkate, unaitwa bofulo. Bofulo 5 sawa na mkate 1
Ah wapi. Hamna kitu kama icho. Basi tu wana utaniSasa mbona watu wanauponda urojo wanasema ukiula na wewe unakuwa rojo rojo yaani mlegevu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo mimi nachanganya na pweza mikia mikubwa kabisa mitatu
Si inakuwa poa kabisa?