Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaWenye mshipa huwa hawali urojo.
lakni ngeza sana.nikifika hapa darajan halwa balesa jion maziwa yanachemcshwa unapiga na konz lako la tende unashiba kabisaUrojo kama uji tu. Sema ni wa chumvi unawekwa bizari na ndimu [emoji1787]
[emoji106][emoji28]lakni ngeza sana.nikifika hapa darajan halwa balesa jion maziwa yanachemcshwa unapiga na konz lako la tende unashiba kabisa
Umeona hiyo saizi ya mkate wa shilingi 250?Yaan nyie wazanzibar mnalalamika mkate kuuzwa tsh 250/=?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni rahisi sana kulaumu, nani amekwambia hakuna uzalishaji na wanategemea wabara kufanya kazi? Hiyo ardhi ya kuzalisha iko wapi?Tatizo ni wavivu, hakuna uzalishaji , wanawategemea wabara ndio wafanye kazi zao
Unajua maana ya uzalishaji katika maana halisi ya uzalishaji , na maana ya uvivu pita mji mkongwe karibu na maskani ya CUF/ACT wakati wengi wa sehemu hiyo wanafanya nini?? Ingia kwenye hotel za sehemu hizo , wapishi wa hotel wanatoka wapi.Ni rahisi sana kulaumu, nani amekwambia hakuna uzalishaji na wanategemea wabara kufanya kazi? Hiyo ardhi ya kuzalisha iko wapi?
Asilimia sitini ya ardhi ya Zanzibar ni mawe na kilimo chake ni duni kabisa ijapokuwa watu wanajitahidi na ndiyo wanategemea humo kwa chakula na mazao ya biashara.
Wacha kusema ati watu ni wavivu wakati maisha yao ni ya shida.
mkate wa boflo sio mkate yaan kule mkate wa boflo nadhani kama uku bara tunaita skonzi sina hakika kama nimendika vile inavyotakiwa ila kwa kuitamka kwa bara tunatamka skonziMkate shilingi 250 mnalalamika?
Unajua maana ya uzalishaji katika maana halisi ya uzalishaji , na maana ya uvivu pita mji mkongwe karibu na maskani ya CUF/ACT wakati wengi wa sehemu hiyo wanafanya nini?? Ingia kwenye hotel za sehemu hizo , wapishi wa hotel wanatoka wapi.
Na kama unasema ardhi ni ndogo kulinganisha na idadi ya wakazi, je iweje watu hao hao hawataki muungano
Maendeleo haya ubaguzi ni juhudi zako tu.Punguza chuki ndugu,
Wazanzibar kama ni wavivu nyinyi huko tanganyika mungelipana mishahara yenu kutoka wapi? posho mungepata wapi? chakula chenu kingetoka wapi? TRA wanakusanya hela kibao kutoka Zanzibar zinakuja tanganyika kwa ajili ya maendeleo yenu na maisha yenu nadhani hulifahamu hili., wazanzibari wangeacha kufanya kazi TRA wasingekuwa na cha kukusanya kukuletee huko kwa shughuli zenu za SGR, Flyover na mambo mengine., Tanganyika hawana maisha bila ya Zanzibar, mumekuwa mukiitegemea Zanzibar tokea uhuru na sasa kuiacha mnaona tabu mnaleta warundi siku za uchaguzi kuwauwa wazanzibar., Ni vile hamuna shukurani.Tatizo ni wavivu, hakuna uzalishaji , wanawategemea wabara ndio wafanye kazi zao
Mmmh jamani tunaitegemea zanzibar kwa lipi? Taja mambo matano tunayowategemeaWazanzibar kama ni wavivu nyinyi huko tanganyika mungelipana mishahara yenu kutoka wapi? posho mungepata wapi? chakula chenu kingetoka wapi? TRA wanakusanya hela kibao kutoka Zanzibar zinakuja tanganyika kwa ajili ya maendeleo yenu na maisha yenu nadhani hulifahamu hili., wazanzibari wangeacha kufanya kazi TRA wasingekuwa na cha kukusanya kukuletee huko kwa shughuli zenu za SGR, Flyover na mambo mengine., Tanganyika hawana maisha bila ya Zanzibar, mumekuwa mukiitegemea Zanzibar tokea uhuru na sasa kuiacha mnaona tabu mnaleta warundi siku za uchaguzi kuwauwa wazanzibar., Ni vile hamuna shukurani.
Wanakula nini?Wenye mshipa huwa hawali urojo.
Wewe mshipa ni vipi? huu sio mkate ni BOFLO! Boflo ina tafauti kubwa mno na mkate huo wa kwenu huko bara! Kwa tunaoijua BOFLO, tunaweza kufahamu kilio chao!!!!Mkate shilingi 250 mnalalamika?
Asante kwa maelezo jombaaWewe mshipa ni vipi? huu sio mkate ni BOFLO! Boflo ina tafauti kubwa mno na mkate huo wa kwenu huko bara! Kwa tunaoijua BOFLO, tunaweza kufahamu kilio chao!!!!
Asantemkate wa boflo sio mkate yaan kule mkate wa boflo nadhani kama uku bara tunaita skonzi sina hakika kama nimendika vile inavyotakiwa ila kwa kuitamka kwa bara tunatamka skonzi
Usijifanye wewe ni mzanzibari ilhali ni mdanganyika, kaa huko huko kwenu bara, ya zanzibar hayakuhusu. Shilingi sio shingingi na sio mboga bali ni mchuzi. Pweza sio chakula cha majani kwa hiyo sio mboga!Hujasema Pweza nae ni shingingapi, ndio mboga yangu muhimu.
Sasa si bora kusonga ugali tu, [emoji23][emoji23],yaani kadogo kuliko sconse tunazouziwa huku 300?..!!!Unaujua mkate wa boflo weye? Imo minane ktk hiyo mnayouziwa 1000 huko bara