Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasiasa wanafanikiwa sana, kwasababu wanatumia wanataaluma kulinda maslahi yao, hakuna mwanataaluma hata mmoja aliyefanikiwa kufanya jambo la kukumbukwa.Ni kweli mkuu. Tupo hapa tulipo kwa sababu ya siasa uchwara za wanasiasa uchwara.
Tuile na nini!Kama kaacha KAzi kutokana na kupelekeshwa hadi kuingiliwa majukumuKuna watu watakuja kwa kasi kufurahia. Lakni iko siku nyinyi ndio mtalia .
Vice Chancellor wa Nelson Mandela Institute of science and technology Prof Mwamila nae ali resign ghafla mwishoni mwa July.Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Amana Jijini Dar Es Salaam Dr.Shimwela amejivua madaraka hayo na kuacha kazi ndani ya masaa 24 baada ya kuchoshwa na kufanya kazi kwa mashinikizo na kufuatiliwa kila mara na vyombo vya dola, kasema ni heri afanye shughuli zake binafsi kwa uhuru kuliko hivi ilivyokuwa.
ukizingatia ofisi ya makonda ipo mita chache kutoka amanaMganga mkuu kachoka yani kila kukicha mara kaja mkuu wa wilaya hajakaa vizuri kavamia waziri hajakaa vizuri mara kaja katibu.
hii nchi kila mtu anajifanya anahusika na kila kitu.
Ma rc na ma dc wanaingiliaa kazi za madokta....utafikiri wanajuaa kitu chochote kihusu fani huyoo....Tatiz
Tatizo wanaingilia maswala yanayohitaji ufumbuzi wa kitaalamu wanaweka siasa ili waonekane wanafanya kazi...hasa Ma Dc na Rcs.