Tetesi: Mganga mkuu mfawidhi wa hospitali ya Amana dr Shimwela amejivua madaraka

Tetesi: Mganga mkuu mfawidhi wa hospitali ya Amana dr Shimwela amejivua madaraka

Achunguzwe na takukuru kama hajapiga Hela za chf, basket fund, malipo ya manesi hewa, magonjwa yasiyopewa vipaumbele, ukimwi na malaria
 
Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Amana Jijini Dar Es Salaam Dr.Shimwela amejivua madaraka hayo na kuacha kazi ndani ya masaa 24 baada ya kuchoshwa na kufanya kazi kwa mashinikizo na kufuatiliwa kila mara na vyombo vya dola, kasema ni heri afanye shughuli zake binafsi kwa uhuru kuliko hivi ilivyokuwa.
Vice Chancellor wa Nelson Mandela Institute of science and technology Prof Mwamila nae ali resign ghafla mwishoni mwa July.
 
Kuna watu wamajitambua hadi inafurahisha, safi sana DR. linda heshima yako kabla hawa jamaa hawajaiharibu.
 
NDOMANA MADOKTA WENGI WALIKIMBIAA KUFANYA KAZI BOTSWANA NA NAMIBIBIA...
NA WENGI WAO WANA MAISHA MAZURI TU..

OVA
 
Ufanisi umepotea maofisi mengi ya umma watu hawafanyi kazi kwa moyo
 
Tatiz

Tatizo wanaingilia maswala yanayohitaji ufumbuzi wa kitaalamu wanaweka siasa ili waonekane wanafanya kazi...hasa Ma Dc na Rcs.
Ma rc na ma dc wanaingiliaa kazi za madokta....utafikiri wanajuaa kitu chochote kihusu fani huyoo....
HAWA WANASIASA LAZIMA WAHESHIMU TAALUMAA ZA WATU

OVA
 
Back
Top Bottom