libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,465
- 3,615
KutumbuliwaKama yuko sawa kwenye kazi zake tatizo ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KutumbuliwaKama yuko sawa kwenye kazi zake tatizo ni nini?
Tuache unafiki madaktari na manesi Huduma zao Ni mbovu hivyo usimamizi WA Katibu unahitajika. Kama yy hapati guess ya kupiga deal asilete visingizioKama siasa imefika mpaka Mahospitali hii sio sawa na ni hatari sana.
Usumbufu labda ambao anaamini hauna lazimaKwani wakija na mambo yako vizuri tatizo linakuwa wapi,
Big up daktari, ifike mahali wasomi wajielewe kama huyu. Utakuta kaKatibu tu wa afya au ka afisa utumishi kanamsumbua mtu na maelimu yake. IT HAS TO STOP. Wasomi wengine mjiongeze na nyie.
ASEME KWELI UFISADI PESA YA BURE HAKUNA ANATYAKIWA KUFANYA KAZI APATE MSHAHARA.Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Amana Jijini Dar Es Salaam Dr.Shimwela amejivua madaraka hayo na kuacha kazi ndani ya masaa 24 baada ya kuchoshwa na kufanya kazi kwa mashinikizo na kufuatiliwa kila mara na vyombo vya dola, kasema ni heri afanye shughuli zake binafsi kwa uhuru kuliko hivi ilivyokuwa.
Habari ndio hiyoUfanisi umepotea maofisi mengi ya umma watu hawafanyi kazi kwa moyo
Amesema mashinikizo, siyo kukaguliwa!.
Dr. Anashinikizwa kufanya kazi kama watakavyo wasio kuwa na taaluma. Taaluma inathamani sana.
Engineer, anashinikizwa kujenga miundo mbinu duni ili mradi finishing ing'ae. Muungwana ataona dhamira yake inamshitaki kwa madhara yatakayotokana na kazi yake, na hivyo akiona shinikizo hlio lisiol utaalamu linaendelea, ataachia ngazi. Huo ndio utamaduni tunataka. Lakini isje kuwa yeye ndiye anafanya kazi chini ya kiwango na anataka kuhalalisha kwa sababu zake binafsi. Huyo tutamwambia aende tu.
Hakimu binadamu, vile vile hatakubali kulazimishwa kupindisha hukumu kinyume cha sheria kwa kuwafurahisha watu wasio wana taaluma. Tuliona wa Nkurunzinza, aliondoka usiku kwa usiku na kuenda ukimbizini, akikimbia dhambi ya kupindisha sheria ili zimfae mtawala.
Huo ndio uungwana wa kitaaluma.
Dr. Ahsante kama umeilinda taaluma kwa ustawi wa Afya zetu. Kama umejiuzulu kwa sababu unataka kutetea na kuhalaisha uzembe, uende salama.
Hatudanganyiki subirini sio siku nyingi kisutu inamuhusuMganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Amana Jijini Dar Es Salaam Dr.Shimwela amejivua madaraka hayo na kuacha kazi ndani ya masaa 24 baada ya kuchoshwa na kufanya kazi kwa mashinikizo na kufuatiliwa kila mara na vyombo vya dola, kasema ni heri afanye shughuli zake binafsi kwa uhuru kuliko hivi ilivyokuwa.
Umewai kuona Dr kakosa kazi au ndio kufikiri kwa kutumia makali.oAende zake tu, nchi ina wataalamu wengi sana, wengine hawana ajira,
Sasa ana hofu gani kama kila kitu kinafanyika vizuri?