Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Hili ukweli linakera sana,wakat hao watu wanakuja ukiwaeleza changamoto za hapo kituo cha kazi hawazitatui...........Wiki hii hapo Muhimbili kile kipimo chao kimeharibika tena......kisa kimeelemewa nadhan ni MRI (kama sijakosea)😵Mganga mkuu kachoka yani kila kukicha mara kaja mkuu wa wilaya hajakaa vizuri kavamia waziri hajakaa vizuri mara kaja katibu, hajakaa vizuri kaja Makonda na makamera.
hii nchi kila mtu anajifanya anahusika na kila kitu.