Tetesi: Mganga mkuu mfawidhi wa hospitali ya Amana dr Shimwela amejivua madaraka

Tetesi: Mganga mkuu mfawidhi wa hospitali ya Amana dr Shimwela amejivua madaraka

Madactari wa Amana wana roho ngumu wanafanya kazi sana lakin hata hela ya call hawalipwi kwa nn wasiache kazi?
 
Ni maamuzi magumu ila siasa ikiingizwa kazini mambo hayaendi ni bora kuquit ufanye mambo ya msingi
 
Mganga mkuu kachoka yani kila kukicha mara kaja mkuu wa wilaya hajakaa vizuri kavamia waziri hajakaa vizuri mara kaja katibu, hajakaa vizuri kaja Makonda na makamera.
hii nchi kila mtu anajifanya anahusika na kila kitu.
 
Mganga mkuu kachoka yani kila kukicha mara kaja mkuu wa wilaya hajakaa vizuri kavamia waziri hajakaa vizuri mara kaja katibu, hajakaa vizuri kaja Makonda na makamera.
hii nchi kila mtu anajifanya anahusika na kila kitu.
 
Madactari wa Amana wana roho ngumu wanafanya kazi sana lakin hata hela ya call hawalipwi kwa nn wasiache kazi?
Ni kweli Mkuu,mimi na shahidi nilimpeleka NDUGU YANGU USIKU WA KUAMKIA JANA,alikywa na ratizo la akinamama! Wafantakazi wanafanya kazi kwa weledi sana na kujali.LAKINI HOSPITALI HAINA DAWA WALA VITENDANISHI,TULINUNUA HADI GLOVES NA PANADOL...Vitanda havina mashuka ! Hivi ktk mazingira haya inabidi uwe na moyo kufanya kazi! -afu mtu mwingine anatukana jukwaani!
 
Tabby,

Huyo daktari sidhani kama kaamua kuachia ngazi kwa sbb ya kutetea uzembe

Mimi naamini kabisa sababu ya kufanya kazi kwa mashinikizo na pasipo hata kujengewa mazingira bora ya kuifanya kazi yako kwa ufanisi, ndiyo sababu halisi iliyosababisha awaachie kazi yao!!

Naweza kuthibitisha hili pasipo shaka yoyote kwa sababu mimi hapa nilipo ni mtumishi wa umma na kwa sasa kwa kweli tuliochini tunafanya kazi ktk mazingira magumu na dhariri sana hasa kutoka kwa wanasiasa hawa wa kuteuliwa!!

Yaani kuna wengine wanatoa matamko na maagizo yasiyotekelezeka kisheria na kitaalamu ili mradi tu waonekane wamesema na wao ndiyo wakubwa especially hawa wanaoitwa ma DC & RC.....ni shida tupu!!

Mbaya zaidi kwa sasa serikali hai fund kwa kiwango cha kutosheleza taasisi zake karibu zote lakini wakati huohuo wanataka mambo yaende tu!!

Amini usiamini kuna watu ambao hata huwajibiki kwao lakini wanaweza kuja ktk ofisi yako mara leta hili mara kile na mara ifikapo siku flani utuletee hiki na hiki.

Hiyo pengine siyo ishu kubwa sana. Lililo baya zaidi ni kuwa usiseme kuna kitu kimeshindwa kufanyika kwa sababu ya ukosefu wa fedha au kwa sbb ya changamoto hii na hii....wataona wewe ndiye UKUTA....wanalala na wewe mbereeeee!!

Wanachotaka wao ni kuwa wakikuambia paa, usiulize utapaaje wakati wewe siyo ndege mwenye mabawa........wanachotaka wao ni lazima upae tu!!

Dokta yuko sahihi na after all taaluma yake tu ni bidhaa inayojiuza yenyewe!!


Poleni sana.

Hii yote ni kwa sababu hawajui nini wanapshwa kufanya. Wanasahau kila idara inauongozi na usimamizi wake unaopahswa kuendana na taaluma husika. Hii biashra ya kushtukiza sijui kufanya nini, ni hasra kubwa sana kwa taifa. Sanaa za maigizo na unafiki ambao wala hata hakuna njia yoyte ya kuufanya productive, sustainable au tu hata kuupimba!. Girba tu!
 
Ni kweli Mkuu,mimi na shahidi nilimpeleka NDUGU YANGU USIKU WA KUAMKIA JANA,alikywa na ratizo la akinamama! Wafantakazi wanafanya kazi kwa weledi sana na kujali.LAKINI HOSPITALI HAINA DAWA WALA VITENDANISHI,TULINUNUA HADI GLOVES NA PANADOL...Vitanda havina mashuka ! Hivi ktk mazingira haya inabidi uwe na moyo kufanya kazi! -afu mtu mwingine anatukana jukwaani!

Jukwaani wantukana wasiojua ukweli.

Huyu mtu anayeteuliwa na raisi hana JD?

Kwa nini aanze kufanya kazi za kuamrisha wataalam tena wenye elimu kuliko yeye licha tu ya taaluma, juu ya mambo ambayo hata ufahamu nayo hana?

Tunahitaji kufanya kila liwezekanalo tupate katiba mpya. Tumechoka kuendeshwa na watu wasiojitambua. Wasiojua kwamb serikali ni mali ya wananchi na hivo wanapashwa kuwa watumishi wa watu na siyo vinginevyo.
 
Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Amana Jijini Dar Es Salaam Dr.Shimwela amejivua madaraka hayo na kuacha kazi ndani ya masaa 24 baada ya kuchoshwa na kufanya kazi kwa mashinikizo na kufuatiliwa kila mara na vyombo vya dola, kasema ni heri afanye shughuli zake binafsi kwa uhuru kuliko hivi ilivyokuwa.
Kupiga dili hakupo mtaachia sana ngazi kwa visingizio visivyo na kichwa wala miguu
 
Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Amana Jijini Dar Es Salaam Dr.Shimwela amejivua madaraka hayo na kuacha kazi ndani ya masaa 24 baada ya kuchoshwa na kufanya kazi kwa mashinikizo na kufuatiliwa kila mara na vyombo vya dola, kasema ni heri afanye shughuli zake binafsi kwa uhuru kuliko hivi ilivyokuwa.


Huyu inaonekana deals alizokuwa akizifanya under Rais Mafufuli hazifanyiki tena, na wengi wataacha. Rais Magufuli awe tayari kuajiri wahindi, wana madaktali wengi hawana kazi.
 
Mganga mkuu kachoka yani kila kukicha mara kaja mkuu wa wilaya hajakaa vizuri kavamia waziri hajakaa vizuri mara kaja katibu, hajakaa vizuri kaja Makonda na makamera.
hii nchi kila mtu anajifanya anahusika na kila kitu.

Unless anachakuficha, kama hana kuna makosa gani kukaguliwa?
 
Pomoja na yote ila madactari wa Amana mkuu wa mkoa aende akaongee nao wanashida nyingi sana sio kuropoka tu majukwaan aende akawasikilize .
 
Ni kweli hawa jamaa wanakera, mi nafanya kazi katika kampuni binafsi wakawa wanakuja mimi nikiwa kama mtaalam nikawanawaelekeza mambo ya kitaam lakini wakawa wanambia mambo hayo si kweli nikawauliza ukweli ni upi?wakanambia watz wenyewe ndio wanahujumu nchi na kunilaumu kuwa kuna mambo naficha
 
Back
Top Bottom