Brigedia Chan-ocha
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,353
- 2,846
Aende zake tu, nchi ina wataalamu wengi sana, wengine hawana ajira,
Sasa ana hofu gani kama kila kitu kinafanyika vizuri?
Sasa ana hofu gani kama kila kitu kinafanyika vizuri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MTU mmoja una mabosi kumi!khaa.!kero.Mganga mkuu kachoka yani kila kukicha mara kaja mkuu wa wilaya hajakaa vizuri kavamia waziri hajakaa vizuri mara kaja katibu.
hii nchi kila mtu anajifanya anahusika na kila kitu.
Huwa inakera sana aisee, huyo kachelewa wengine tuliachaga enzi ya JK!! Nakumbuka kuna waziri nilimrushia makabrasha usoni nikasepa sikurudi tena hata baada ya kubembelezwa sana!Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Amana Jijini Dar Es Salaam Dr.Shimwela amejivua madaraka hayo na kuacha kazi ndani ya masaa 24 baada ya kuchoshwa na kufanya kazi kwa mashinikizo na kufuatiliwa kila mara na vyombo vya dola, kasema ni heri afanye shughuli zake binafsi kwa uhuru kuliko hivi ilivyokuwa.
Halafu bila mpangilio, wanaweza kugongana hospitalini wote. Sasa sijui dokta atamsikiliza nani at firstMganga mkuu kachoka yani kila kukicha mara kaja mkuu wa wilaya hajakaa vizuri kavamia waziri hajakaa vizuri mara kaja katibu, hajakaa vizuri kaja Makonda na makamera.
hii nchi kila mtu anajifanya anahusika na kila kitu.
Kumbuka unae msemea hapa ni daktari.... Taaluma inayo hitaji uvumilivu, uelewa na uzoefu wa hali ya juu... Daktari na wauguzi ni watu wa kuheshimiwa sana.. Taaluma sio ya kitotoBora aondoke,wasomi Kibao hawana kazi
Ajira moja hiyo ipo wazi.
Amana Hospital kwenyewe kila siku majanga tu,inaonekana amejitumbua mwenyewe.
Alizoea kufanyakazi kwa mazoea,na kama yupo above 45yrs basi ni muda wa kaachia,damu changa zichukue ajira.
na kila mmoja anakuja na mipango yake nje ya mkataba wa kazi.Halafu bila mpangilio, wanaweza kugongana hospitalini wote. Sasa sijui dokta atamsikiliza nani at first
Hahahaaa ni vioja kwenda mbele, serikali haiendi kitaalamu, ni amshaamsha kama soka la chandimu bongona kila mmoja anakuja na mipango yake nje ya mkataba wa kazi.
watendaji wanatafuta masifa kwa rais.Hahahaaa ni vioja kwenda mbele, serikali haiendi kitaalamu, ni amshaamsha kama soka la chandimu bongo
Una uhakika na ulichoandika?Aende zake tu, nchi ina wataalamu wengi sana, wengine hawana ajira,
Sasa ana hofu gani kama kila kitu kinafanyika vizuri?
Hasa wa DarTatiz
Tatizo wanaingilia maswala yanayohitaji ufumbuzi wa kitaalamu wanaweka siasa ili waonekane wanafanya kazi...hasa Ma Dc na Rcs.