Mgawanyo wa rasilimali kati ya Tanganyika na Zanzibar hauko sawa

Mgawanyo wa rasilimali kati ya Tanganyika na Zanzibar hauko sawa

Aliyemtangulia alielekeza kwao Chato, TZ ya umoja aliyoijenga mwalimu imebaki kwenye makaratasi.
Chato is part of Tanzania bara kiasi kwamba mbara yeyeote Yule anayo access ya kutumia au kuwa na haki kitu chochote kilichojengwa chato. Mtanganyika yeyote anaweza ajiriwa chato airport lakini huyo mtanganyika hawezi ajiriwa Zanzibar airport . Ila mbara Hana haki Zanzibar kiasi kwamba kuwekeza Zanzibar Kwa hela za bara ni kuwanyinya watanganyika. Zanzibar na chato ni tofauti kabisa kiasi kwamba namkumbuka Mch Christopher mtikila
 
Mbona Mwendazake alihamishia Ikulu Chato na uwanja wa Ndege, mbuga za Wanyama kutoka serengeti
Leo unamshangaa Mama kwenda Zanzibar huo ni wivu wa Kisukuma
Eti umeambiwa huko Zanzibar watakimbilia kwa waarabu
Mwendazake aliwekeza na Chato is part of Tanzania bara kiasi kwamba mbara yeyeote Yule anayo access ya kutumia au kuwa na haki kitu chochote kilichojengwa chato. Mtanganyika yeyote anaweza ajiriwa chato airport lakini huyo mtanganyika hawezi ajiriwa Zanzibar airport . Ila mbara Hana haki Zanzibar kiasi kwamba kuwekeza Zanzibar Kwa hela za bara ni kuwanyinya watanganyika. Zanzibar na chato ni tofauti kabisa kiasi kwamba namkumbuka Mch Christopher mtikila
 
Mwendazake aliwekeza na Chato is part of Tanzania bara kiasi kwamba mbara yeyeote Yule anayo access ya kutumia au kuwa na haki kitu chochote kilichojengwa chato. Mtanganyika yeyote anaweza ajiriwa chato airport lakini huyo mtanganyika hawezi ajiriwa Zanzibar airport . Ila mbara Hana haki Zanzibar kiasi kwamba kuwekeza Zanzibar Kwa hela za bara ni kuwanyinya watanganyika. Zanzibar na chato ni tofauti kabisa kiasi kwamba namkumbuka Mch Christopher mtikila
NI uongo mkubwa Mwendazake alikuwa mkabila no. 1
Huko Zanzibar unapasikia ni bora ukafamye kazi huko hata biashara kuliko Chato mlikolazimisha Twiga wakaishi Burigi Chato
Unamjua Adam Mwakanjuki Mnyakyusa, je Edington Kisasi mchaga, Sepetu mnyaturu, Rais wa sasa Hussein Mwinyi mndenhereko NI watu kibao wapo huko na maendeleo yataonekana tofauti tulivyopoteza pesa kwa Ikulu ya Chamwino, soko la Ndugai Airport Chato Hospital Bank km CRDB hata hela hamuweki sembuae traffic light
Duh Safari hii mmeshikwa pabaya na amechelewa sana kuwagundua na hawa watani zenu wagogo
 
Mbona Mwendazake alihamishia Ikulu Chato na uwanja wa Ndege, mbuga za Wanyama kutoka serengeti
Leo unamshangaa Mama kwenda Zanzibar huo ni wivu wa Kisukuma
Eti umeambiwa huko Zanzibar watakimbilia kwa waarabu
Chato ni wilaya ndani ya Tanzania, Zanzibar ni nchi ndani ya nchi.
Tukigawana mbao watarudisha walivyopeleka zenji?
 
Nadhani mtoa mada haelewi kuhusu inavyoendeshwa zanzibar,ila ngoja leo tumpatie kidogo apate ufahamu,

Sababu kuu yabkutokuendelea zanzibar ni makusanyo ni TRA kukusanya kodi halafu zikatumika TANZANIA,zanzibar inajiendesha kutokana na kodi hafifu inayolipwa kupitia ZRB,

Tanganyika kwavile imechukua uhuru wa zanzibar,tanganyika kuipa fedha zanzibar ilipaswa iwe lazima,

Kwa uelewa wangu wazanzibar hasa hawautaki muungano,rejea kisa cha UAMSHO,watanganyika ndo wenye shida na muungano,ndo mana ni kama vile wanaikalia zanzibar kimabavu,
Ni kweli wa-Zanzibari hawautaki muungano na ni kwa sababu wanaamini, ukivunjika kuna neema ya Sultani itakuja. Bila hivyo, huwezi kuitunza Z'bar. Haukna chochote kwa mwananchi wa kawaida. Z'bar haina kodi za kujiendesha kama serikali.
 
Back
Top Bottom