Mgawo mkali wa umeme na maji unaoendelea nchini ni wazi kabisa watendaji wa Serikali mnaihujumu Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan

Maendeleo ya vitu kwa kutesa watu, kutopandisha watu madaraja na mishahara, kupuuza majukumu ya Bunge, kuvunja sheria za nchi ndiyo hatutaki.

Kama tungekuwa hatutaki maendeleo ya vitu si tungekuwa tunavaa matambara mpaka leo badala ya nguo??
Swadakta!
 
Aisee imenibidi nicheke sana.😂
Yani juzi nlikua naangalia taarifa ya habari nkaona mwanamke mwembamba kavaa suti nkauliza huyo nae nani ety naambiwa ndio spika wa bunge nkasema eeeeh na yule alokua spika yule Samwel Sitta yuko wapi nkaambiwa alishakufa kitambo na washapita maspika wawili nkasema na moyo mimi nilikua wapi kipind chote hicho
 
Ili maji yasambae yanahitaji pump ambazo zinakuwa powered na umeme. So shida ya maji hasa mijini inatokana na mgao wa umeme uliokithiri. Hivi mama aliwazaje kumpa hii wizara makamba?

Hii kutaka kuridhisha kila upande ndo inamuharibia mama saizi. Kama alikuwa anampenda sana makamba au alilazimishwa kumrudisha kwenye system, angemuweka tu ikulu akawa anamuandalia hotuba za kujazana ujasiri
 
Alishasema yeye sio wa kufukuzana fukuzana ! Kwahiyo wamemwelewa hivyo !!
 
Wafagiaji wa Lumumba nao wanauvizia Uraisi wa Maza.
 
Waziri wa Maji kaona "awazirie" Wamisri kwenye Mabwawa na Visima yeye awe anakata Mitaa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…