Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Maendeleo ya vitu kwa kutesa watu, kutopandisha watu madaraja na mishahara, kupuuza majukumu ya Bunge, kuvunja sheria za nchi ndiyo hatutaki.Si hamtaki maendeleo ya vitu nyie?.
Failed rulling party.Failed state....
Swadakta!Maendeleo ya vitu kwa kutesa watu, kutopandisha watu madaraja na mishahara, kupuuza majukumu ya Bunge, kuvunja sheria za nchi ndiyo hatutaki.
Kama tungekuwa hatutaki maendeleo ya vitu si tungekuwa tunavaa matambara mpaka leo badala ya nguo??
Duh! haya ni ya kweli?Hawezi,itawezekanaje ajishighulikie mwenyewe,hao wahusika na yeye ni damudamu
Tatizo la kuwa na wake wawiliKajisahau
Akitumbuliwa ndio ataamka alikolala
Yani juzi nlikua naangalia taarifa ya habari nkaona mwanamke mwembamba kavaa suti nkauliza huyo nae nani ety naambiwa ndio spika wa bunge nkasema eeeeh na yule alokua spika yule Samwel Sitta yuko wapi nkaambiwa alishakufa kitambo na washapita maspika wawili nkasema na moyo mimi nilikua wapi kipind chote hichoAisee imenibidi nicheke sana.😂
Sawa mishahara imepandishwa nendeni mkanunue majenereta msitupigie makelele.Maendeleo ya vitu kwa kutesa watu, kutopandisha watu madaraja na mishahara, kupuuza majukumu ya Bunge, kuvunja sheria za nchi ndiyo hatutaki
Jenereta hata enzi za Magufuli zilikuwepo ila watu walizibwa midomo. Hume JF ziko makala za watu wakielezea zama zile kwamba maeneo ya kwao kuna mgao wa umeme.Sawa mishahara imepandishwa nendeni mkanunue majenereta msitupigie makelele.
Eboo!!
Alishasema yeye sio wa kufukuzana fukuzana ! Kwahiyo wamemwelewa hivyo !!Hiki kinachoendelea kimyakimya ni mchakato wa kuturudisha kuleee miaka ilee ya 2005, 2006, 2007...... miaka ambayo Dar Es Salaam na Tanzania kwa ujumla ilikua imepambwa na mikokoteni ilishosheheni madumu ya korie yaliyobeba maji na magari yenye matank ya maji kila kona.
Kwa kasi ya ajabu tunarudi miaka Ile ambayo mazingira yalikua yamepambwa kwa sauti za majenereta usiku na mchana
Au ndio ule mkakati wa kuutaka urais umeanza!? Acheni mambo yenu buana. Mama Samia yupo sana bado, ndio kwanza kumekucha
Hali ni mbaya sana na hatari kwa afya kwa jiji lenye wakazi wengi zaidi nchini, Dar Es Salaam. Watu tumepona kwenye corona lakini sasa mnataka kutulazimisha tufe kwa kipindupindu
Watendaji mnaohusika kwenye haya maeneo fanyeni kile kilichokua kinafanyika miaka mitano iliyopita hadi tukasahau kabisa kero ya umeme na maji. Kupewa nafasi ya kuhudumia wananchi kwa huduma muhimu kama umeme na maji halafu hao wananchi wakakosa hizo huduma ni wazi kabisa kwamba kufanya imeshindikana. Bora kuiacha office kuliko kukaa kwenye office halafu huduma asipatikane
Tanesco na idara za maji sisi wananchi tunamuamini rais wetu na yeye amewaamini nyie. Mnapopewa dhamana ya kutuhudumia halafu mnaamua kutuhujumu tutapaza sauti kwamba kazi imewashinda. Heri kuteua na kutumbua kuliko wananchi kuteseka kwa kukosa huduma za msingi tena ambazo wanazichangia kwa kodi zao wenyewe
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wetu Samia Suluhu Hasan
Kazi iendelee
Cc Wizara ya Afya Tanzania
Tusubiri tuone. !Atakavyowabadilikia ndio watamuelewa vizuri zaidi