Mgawo mkali wa umeme na maji unaoendelea nchini ni wazi kabisa watendaji wa Serikali mnaihujumu Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan

Wanasema maji kwenye mabwawa yote matatu yamepungua (Magufuli alishaambiwa akakaza shingo) sasa kuna katazo kubwa sanaa hata kuanzisha chujio mpya za maji kwenye mito mbali mbali.

Inasemwa harakati za kuhahakisha kwamba maji yanafika kwenye Bwawa la Nyerere ndiyo kipaumbele kwa sasa. Na wataalam (Siyo wanasiasa) wanasema inawezekana kitaalam mitambo ya kuzalishia umeme kuwashwa mwaka 2027 chini ya hapo itawashwa kisiasa kuwafurahisha wajinga.

Maana kulijaza lile bwawa siyo shughuli ndogo ati!!
 
Na hapa ndipo tatizo lilipo!

Haya ndiyo matokeo ya kuunda serikali kwa kuhusisha ndugu na marafiki. Kamwe hutaweza kuwawajibisha punde wanapoboronga.
Siyo kweli. Mara hii mshasahau kama Magufuli alitengua uteuzi wa Rafiki yake Kitwanga?
 
Majibu yanaweza kuwa haya:
1. Wanatengeneza tatizo ila baadae mtu apewe sifa na nyimbo za pambio kwa kulitatua.
2. Uwezo wa utendaji wa wizara husika umefikia ukomo
3. Hujuma, wizi, ufisadi na mengineyo
 
Mimi nilidhani ni ukame kumbe ni hujuma😳 Halafu Chalamila anasema kuna waziri yuko nje anaitafuta hela za kampeni 2025.Mbogamboga mtauana wallah!
 
Mimi nilidhani ni ukame kumbe ni hujuma😳 Halafu Chalamila anasema kuna waziri yuko nje anaitafuta hela za kampeni 2025.Mbogamboga mtauana wallah!

Ukitaka kujua hii sio issue ya ccm tuu nenda akhera ukakutane na chachawangwe
 
Jamhuri ya Muuuungano,kazi ya kulamba asali iendelee!
Waache tu Watumishi wa serikali watutese,Mama anawaangalia kwa jicho legevu🀣🀣🀣
 
Tungebaki na gesi tu, hilo bwawa linaweza kuwa changamoto sana
 
Tungebaki na gesi tu, hilo bwawa linaweza kuwa changamoto sana
Kabisa. Na kuna tetesi kwamba hilo bwawa likijazwa maji yake yatarudi nyuma toka kwenye kizuia maji cha bwawa kwa kilomita mia.

Kama ni kweli itakuwa ni balaa!!
 
Una mavi mengi sana kichwani kaka.

Punguza kidogo mavi hayo huenda ukawa na pointi mbili tatu zenye ujazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…