Just a person
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 984
- 1,232
Hee umeme umerud sasa maan ilikuwa giza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapa ndipo tatizo lilipo!Hawezi,itawezekanaje ajishighulikie mwenyewe,hao wahusika na yeye ni damudamu
Siyo kweli. Mara hii mshasahau kama Magufuli alitengua uteuzi wa Rafiki yake Kitwanga?Na hapa ndipo tatizo lilipo!
Haya ndiyo matokeo ya kuunda serikali kwa kuhusisha ndugu na marafiki. Kamwe hutaweza kuwawajibisha punde wanapoboronga.
Busy kuoa kila sikuAwesu yuko wapi?
Mimi nilidhani ni ukame kumbe ni hujuma😳 Halafu Chalamila anasema kuna waziri yuko nje anaitafuta hela za kampeni 2025.Mbogamboga mtauana wallah!Hiki kinachoendelea kimyakimya ni mchakato wa kuturudisha kuleee miaka ilee ya 2005, 2006, 2007...... miaka ambayo Dar Es Salaam na Tanzania kwa ujumla ilikua imepambwa na mikokoteni ilishosheheni madumu ya korie yaliyobeba maji na magari yenye matank ya maji kila kona.
Kwa kasi ya ajabu tunarudi miaka Ile ambayo mazingira yalikua yamepambwa kwa sauti za majenereta usiku na mchana
Au ndio ule mkakati wa kuutaka urais umeanza!? Acheni mambo yenu buana. Mama Samia yupo sana bado, ndio kwanza kumekucha
Hali ni mbaya sana na hatari kwa afya kwa jiji lenye wakazi wengi zaidi nchini, Dar Es Salaam. Watu tumepona kwenye corona lakini sasa mnataka kutulazimisha tufe kwa kipindupindu
Watendaji mnaohusika kwenye haya maeneo fanyeni kile kilichokua kinafanyika miaka mitano iliyopita hadi tukasahau kabisa kero ya umeme na maji. Kupewa nafasi ya kuhudumia wananchi kwa huduma muhimu kama umeme na maji halafu hao wananchi wakakosa hizo huduma ni wazi kabisa kwamba kufanya imeshindikana. Bora kuiacha office kuliko kukaa kwenye office halafu huduma asipatikane
Tanesco na idara za maji sisi wananchi tunamuamini rais wetu na yeye amewaamini nyie. Mnapopewa dhamana ya kutuhudumia halafu mnaamua kutuhujumu tutapaza sauti kwamba kazi imewashinda. Heri kuteua na kutumbua kuliko wananchi kuteseka kwa kukosa huduma za msingi tena ambazo wanazichangia kwa kodi zao wenyewe
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wetu Samia Suluhu Hasan
Kazi iendelee
Cc Wizara ya Afya Tanzania
Chacha Wangwe? Nyie watu mbona kama mmelogwa vile!!Ukitaka kujua hii sio issue ya ccm tuu nenda akhera ukakutane na chachawangwe
Yeye kaandika 'chachawangwe'😳😳😳Chacha Wangwe? Nyie watu mbona kama mmelogwa vile!!
Wanasema maji kwenye mabwawa yote matatu yamepungua (Magufuli alishaambiwa akakaza shingo) sasa kuna katazo kubwa sanaa hata kuanzisha chujio mpya za maji kwenye mito mbali mbali.
Inasemwa harakati za kuhahakisha kwamba maji yanafika kwenye Bwawa la Nyerere ndiyo kipaumbele kwa sasa. Na wataalam (Siyo wanasiasa) wanasema inawezekana kitaalam mitambo ya kuzalishia umeme kuwashwa mwaka 2027 chini ya hapo itawashwa kisiasa kuwafurahisha wajinga.
Maana kulijaza lile bwawa siyo shughuli ndogo ati!!
Mimi nimeandika Chacha Wangwe. Kaandika kama anasema mimi nimeandika kama naandika.Yeye kaandika 'chachawangwe'😳😳😳
Kabisa. Na kuna tetesi kwamba hilo bwawa likijazwa maji yake yatarudi nyuma toka kwenye kizuia maji cha bwawa kwa kilomita mia.Tungebaki na gesi tu, hilo bwawa linaweza kuwa changamoto sana
Kwahiyo sasa hivi mnatumia jenereta bila kuzibwa mdomo!?Jenereta hata enzi za Magufuli zilikuwepo ila watu walizibwa midomo
Una mavi mengi sana kichwani kaka.Wanasema maji kwenye mabwawa yote matatu yamepungua (Magufuli alishaambiwa akakaza shingo) sasa kuna katazo kubwa sanaa hata kuanzisha chujio mpya za maji kwenye mito mbali mbali.
Inasemwa harakati za kuhahakisha kwamba maji yanafika kwenye Bwawa la Nyerere ndiyo kipaumbele kwa sasa. Na wataalam (Siyo wanasiasa) wanasema inawezekana kitaalam mitambo ya kuzalishia umeme kuwashwa mwaka 2027 chini ya hapo itawashwa kisiasa kuwafurahisha wajinga.
Maana kulijaza lile bwawa siyo shughuli ndogo ati!!