Tetesi: Mgeja na wenzake watano kurudi CCM

Lowasa ni liability au ni asset? Swali Dr Slaa linakaribia kupata majibu. Unafiq!unafiq! Tanzania tunaongoza. CDM mkamwombe msamaha Slaa,vinginevyo laana ya huyo mtu mzima itawamaliza
Wataelewa tu
 
Mmesha zoeleka
Jahazi linayumba hilo
 
Hivi kwa hii kasi ya.magufuli inawezekanaje CDM kubaki salama?
Sio kina mgeja tu,jiandaeni kwa makubwa zaidi!
Wengi tu watarudi ni muda tu wakusubiri, siku zote wahenga husema "Ng'ombe akivunjika mguu hurudi zizini kwake" haitafika 2020 hata Mamvi nae atawakimbia.
 
kwa huo mfano wako, kwahyo unataka kutuambia kuwa lowasa amehama kutoka real madrid na kuja majimaji fc (wanalizombe) na kuja kuwa nahodha wao? maana wakati yuko CCM alikua hana namba, akahamia CDM akapewa na ugombea wa urais kabsa.
 
kwa huo mfano wako, kwahyo unataka kutuambia kuwa lowasa amehama kutoka real madrid na kuja majimaji fc (wanalizombe) na kuja kuwa nahodha wao? maana wakati yuko CCM alikua hana namba, akahamia CDM akapewa na ugombea wa urais kabsa.
Alikuwa hana namba? Ni mchezaji gani alikuwa maarufu huko hata kura za maoni akasomba kama gharika? Sema Kocha tuu hakumpenda kwani umaarufu wa mchezaji huyo ulikuwa unamfunika Kocha dhaifu
 
UNAJUA MTU
 
Njaaa jamani,njaaa jamani,CCM green pasture ipo,ssa Cdm jua Kali na njaaa!
 
Du of all people kuna mtu alitegemea kiumbe km Mngeja atamudu kukaa ipinzani kweli? Na kuna myu yeyote kstika upinzani anayewezs kusikitika kwa kuondoka Mngeja? Mtu kula yake ilotokana na chama?
 
Du of all people kuna mtu alitegemea kiumbe km Mngeja atamudu kukaa ipinzani kweli? Na kuna myu yeyote kstika upinzani anayewezs kusikitika kwa kuondoka Mngeja? Mtu kula yake ilotokana na chama?
Njaaa jamani,mnataka wakale wapi?
 
Alikuwa hana namba? Ni mchezaji gani alikuwa maarufu huko hata kura za maoni akasomba kama gharika? Sema Kocha tuu hakumpenda kwani umaarufu wa mchezaji huyo ulikuwa unamfunika Kocha dhaifu
Hehehe eti mchezaji gani maarufu!!
Kapata la pua hana hamu
Yupo kama mdoli saivi
 
Lowasa ni liability au ni asset? Swali Dr Slaa linakaribia kupata majibu. Unafiq!unafiq! Tanzania tunaongoza. CDM mkamwombe msamaha Slaa,vinginevyo laana ya huyo mtu mzima itawamaliza
Chadema ni zaidi ya Slaa wewe umekunywa uji wa wapi .
 


Mh!! kuna kila dalili hao wakalipiziwa kwa kufinyiwa hukohuko kwenye kakaptura kadogo kanakoitangulia sarawili
 
Kumbe wengi ni wachumia tumbo mungu atawachoma kwa uroho wenu wa madaraka
 

wenye uelewa huu hapa TZ ni wachache mno.

haikuwa sahihi kumtusi na kumchafua Dr. Slaa.

majizi waliomkimbia Magufuli CCM kwenda kujificha CHADEMA matokeo yake wamefifisha sana jitihada za kukuza upinzani wa kweli dhidi ya CCM.

...sijui nani ashukuruwe kwa kosa la kifundi lililofanywa na CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu 2015
 
Alikuwa hana namba? Ni mchezaji gani alikuwa maarufu huko hata kura za maoni akasomba kama gharika? Sema Kocha tuu hakumpenda kwani umaarufu wa mchezaji huyo ulikuwa unamfunika Kocha dhaifu
kumbe mtu kuwa fisadi ni umaarufu? any way. 'mzee' alikua MCHAFU sana kimaadili thats y mkwere akamchinjia baharini, naomba usiniulize uchafu upi alikua nao mzee koz mm sitakujibu zaiid ya kukwambia ukamwulize mh LEMA aliyewah kusema kuwa "NI HESHIMA NA UTUKUFU KWA MWENYEZI MUNGU WATU KUMZOMEA MTU MCHAFU KAMA LOWASA KUTOKANA NA UFISADI WAKE"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…