Man from cuba
JF-Expert Member
- May 2, 2021
- 571
- 1,394
Kanisa la kiinjili la kiluteri Tanzania KKKT dayosisi ya konde limeingia majaribuni baada ya mgogoro wa muda mrefu uliotokana na uamuzi wa askofu wake Dkt. Mwaikali kuhamisha kiti cha askofu kutoka Tukuyu kulipokuwepo makao makuu ya dayosisi ya konde kuyapeleka Mbeya mjini uamuzi uliozua mgogoro mkubwa kwa waumini wa KKKT Tukuyu mjini kumtimua askofu Mwaikali hadi kuokolewa na polisi.
Mgogoro huo umedumu kwa muda mrefu licha ya juhudi mbalimbali za kusuluhisha.
Waumini wengi wanahoji kama viongozi wao wanakuwa kwenye mgogoro je kondoo nani wa kuwachunga?? Je dini kwa sasa zimekuwa biashara Hadi kuzusha ugomvi wa kuzomeana makanisani??
Mgogoro huo umedumu kwa muda mrefu licha ya juhudi mbalimbali za kusuluhisha.
Waumini wengi wanahoji kama viongozi wao wanakuwa kwenye mgogoro je kondoo nani wa kuwachunga?? Je dini kwa sasa zimekuwa biashara Hadi kuzusha ugomvi wa kuzomeana makanisani??