Mgogoro KKKT Dayosisi ya Konde nani alaumiwe?

Wataarifu hao waumini wakae watulie, tunawapa pole sana kwa usumbufu uliojitokeza na tuna ahidi haitajitokeza tena.
 
Mimi nimetembea na mama yako siwezi kua mtoto mdogo.

Mgogoro wa wameru kuchomeana kanisani wewe binti huna cha kunifundisha mimi
Ukiishiwa hoja usilete ngono ulizofundishwa utotoni.
Na hata sasa umzee lakini unakumbuka ulivyotendwa kinyume.
 
Mpaka mgogoro huu umefika hapa ni lazima Roho wa Mungu atajibu, kwa mema au mabaya.
Inaelekea kuna maagano hatufunuliwi.
Yatafunuliwa tu.
 
Nimekuja kugundua askofu mwaikali japo simjui Ila alikuwa na Sababu za msingi Sana kuitoa hyo dayosis huko tukuyu na kuleta mbeya mjini
Ni vzr sna ingekuwa hvyo ili iwe rais kufikika kwa watu wote kuliko mtu kutokea ileje huko ndani huko au kamsamba ndani uko aje akatize mbeya Mjini na kwenda tukuyu kupata huduma za kidayosis wkt mbeya mjini ndiko kuliko center nzuri

Askfu mwaikali sijaona kosa lake la kuenguliwa ktk kiti chake cha halali kbsa na maono yake

Mpk imepelekea askofu kufukuzwa kwenye msiba wa askofu gehaz malazuza ambaye pia mwanae Alex gehaz malazuza alishapata kuwa mkuu wa kanisa hili akiliendesha kibabe San havyo hvyo hata Bab ake askof gehaz malazuza alishapata kuwa mkuu pia wa kanisa hili ktk kipindi Cha nyuma hvyo ikumbukwe kuwa hado dayossi imepelekwa kijijini huko tukuyu Ni kwamba kulianzia mbali San

Mgogoro huu engineer wake Ni Alex gehaz malazuza Bab askofu huyu Ni mkabila San na pia Yuko nyuma ya hili kuhakikisha kuwa makao hayaami katk kijij hicho Cha tukuyu

Wamemuonea sna. Asko Dr Edward mwaikali napanga kumchamgia pesa ili apeleke swala hili mahakamani
Na
Wanyakyusa acheni kuchafua kanisa kwa tamaa zenu za madaraka na Kama vip hameni tu huku ndio maaan makanisa Ni mengin sna huko sabubu kubwa ni kwamba mnapenda madaraka sna ktk kuongoza kanisa na uchawi muache pia kuapply
 
Mimi niko Dsm kama Mluteri.
Wewe ni pandikizi tu.
Hapajawahi kuwepo Askofu Gehaz Malasusa.
Umetumwa bila shaka, jaribu tena.
 
Askofu Gehaz Malasusa?
Bro jaribu tena , waliokutuma wakupe full details
 
Note
nimesali uyule kkkt hapo na pia Luanda hapa for two good year nomejione mengi sna
Nilifika sumbawang nako nikamkuta askofu Ni mkali kawafukuza wachaga wachungaji wote pale mjini sumbawanga kwa viwu mkuubwa tu sijawi Tia mguu pale.tokea niyaone hayo kwa macho
 
Mimi niko Dsm kama Mluteri.
Wewe ni pandikizi tu.
Hapajawahi kuwepo Askofu Gehaz Malasusa.
Umetumwa bila shaka, jaribu tena.
Babu mm pia Niko dsm hapa njoo unipige hapa

Ila hujui na utakah ujue kuwa gehaz malazuza alishapata pia kuwa mkuu wa kanisa hili la kkkt ujui na uwezi kujuwa fatili. Viongozi waliongoza kanisa hili utakuja nishukuru

Nakumbuak Hadi msiba wake ulifanyika hapo kkkt mbezi beach alikoagiwa kwenda kwao tukuyu kuzikwa

Pia ktk msiba wake ndiko kulikotokea hili la kufukuzwa na kuondokewa na ocd askofu mwaikali pale kweny msiba wa Bab ake na askofu Alex malazuza
 
Ni Askofu Alex Malasusa
 
Na meru huko kilishawakaga long time
 
Bado una unga unga ulivyohadithiwa.
Jaribu tena.
 
uko vizuri mgoloko,pia makao makuu ya CAF yahame misri,yaje afrika ya kati,maana ni senta nzuri kwa africa,pia makao makuu ya OAU,yahame ethiopia yaende africa ya kati,maana ni senta nzuri,na umoja wa mataifa uhame marekani,uje africa maana ni senta kwa mabara yote...
 
Jitahidi Upitie JF Mara Kwa Mara Siyo Wakati Wote Unaanzisha Thread Tu
Mods Wakiunga Utalalama Ila Habari Hii Ipo Humu Tangu Mwanzo, Chanzo Cha Mgogoro
Link tafadhali Mkuu hususan kwenye kipengele cha chanzo cha mgogoro na mimi binafsi ningependa kujua
 
Nyie wengine ni vitoto vidogo.

Hamjui mgogoro mkubwa wa Dayosisi ya Meru kujitenga toka Dayosisi ya Kaskazini miaka ya 90.

Kimsingi ukabila kati ya wachaga na wameru ambapo watu waliuana.
Katibu mkuu alikuwa Mwenegoha(?)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…