Bikis
Member
- Feb 23, 2019
- 52
- 74
Wasalaam kutoka Ngorongoro.
JF na Great thinkers wote wa humu wamekuwa na mchango mkubwa kwa matatizo yanayowakabili wananchi wa Tanzania kutoka maeneo mbalimbali...
Nawandikia hivi ikiwa kuna mgogoro mkubwa ndani ya Ngorongoro ikihusishwa na nia ya Serikali kutaka kuwaondoa wananchi hao wapata takriban 100,000 ili kupisha shughuli ya uhifadhi na utalii
Wananchi hawa wamedai baada ya ahadi ya kuhamishwa kutoka Serengeti kuja Ngorongoro hapakuwa na makubaliano ya kwamba baada ya kipindi fulani wataondolewa tena kutoka Ngorongoro kupelekwa pasipojulikana!!
Wananchi wameendelea kuwa na imani na Rais Samia Suluhu lakini wamekuwa wakilalamika kwamba huenda Rais anadanganywa na wataalam haswa mhifadhi mkuu bwana Manongi pamoja na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii.
Angalia malalamiko ya wananchi hapo chini
JF na Great thinkers wote wa humu wamekuwa na mchango mkubwa kwa matatizo yanayowakabili wananchi wa Tanzania kutoka maeneo mbalimbali...
Nawandikia hivi ikiwa kuna mgogoro mkubwa ndani ya Ngorongoro ikihusishwa na nia ya Serikali kutaka kuwaondoa wananchi hao wapata takriban 100,000 ili kupisha shughuli ya uhifadhi na utalii
Wananchi hawa wamedai baada ya ahadi ya kuhamishwa kutoka Serengeti kuja Ngorongoro hapakuwa na makubaliano ya kwamba baada ya kipindi fulani wataondolewa tena kutoka Ngorongoro kupelekwa pasipojulikana!!
Wananchi wameendelea kuwa na imani na Rais Samia Suluhu lakini wamekuwa wakilalamika kwamba huenda Rais anadanganywa na wataalam haswa mhifadhi mkuu bwana Manongi pamoja na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii.
Angalia malalamiko ya wananchi hapo chini