britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
CHANZO SAHIHI
Kuna Mgongano Mkubwa sana ambao unaitesa Serikali Na CCM.
Juzi maeneo ya Area C Ndani ya Kihoteli kidogo Double K Dodoma haya yamebainika,
Hakuna jambo liliwashtua watu kama Magufuli kuondoka Hasa Wale walikuwa wanamsujudu,
Wale akina Kesi, Mlinga, Ndugai na Msukuma Bungeni walikuwa wanaomsujudu Sana Magufuli kupita kiasi
Maumivu ya Polepole na Bashiru ni Kuona waliowadharau wameshika hatamu.
Makamu wa Rais wa Magufuli alidharauliwa Sana kiasi kwamba watu walishindwa kumuhusisha kwa Mambo Mengi na kwenda kwa Namba Moja kwa Moja , lakini amekuja kuwa Mkuu wao,
KIPINDI CHA SHULE YA UONGOZI CHA POLEPOLE
Walio Nyuma ya scenario hii ni wafuatao
1. Mkumbo Kitila
2. Pole pole
3. Bashiru
4. Mr Mtagwaba wa Dodoma
5. Msukuma
6. Ndugai
Wanaopinga haya Mambo na Kumuunga Mkono Mama Samia Ni wafuatao
1. Professor Sospeter Muhongo
2. Rweyemamu alokuwa Ikulu
3. Mzee Warioba
4. Akson Tulia
5. Rose Banji
6. January Makamba huyu Kuna kundi la watu Zaidi 20 wamemwagwa mtandaoni Kukabiliana naye
7. Jenester
8. Ummy Mwalimu
9. Mzee Mwingi
10. Bernard Membe
11. Nchemba japo Ni bendera fuata upepo Kama kigwangalla
Wazee wengine hawaoneshi Kuwa Na Upande kama Jakaya na Butiku wameendelea kukweka kutoa ya Moyoni
Kuna Mgongano Mkubwa sana ambao unaitesa Serikali Na CCM.
Juzi maeneo ya Area C Ndani ya Kihoteli kidogo Double K Dodoma haya yamebainika,
Hakuna jambo liliwashtua watu kama Magufuli kuondoka Hasa Wale walikuwa wanamsujudu,
Wale akina Kesi, Mlinga, Ndugai na Msukuma Bungeni walikuwa wanaomsujudu Sana Magufuli kupita kiasi
Maumivu ya Polepole na Bashiru ni Kuona waliowadharau wameshika hatamu.
Makamu wa Rais wa Magufuli alidharauliwa Sana kiasi kwamba watu walishindwa kumuhusisha kwa Mambo Mengi na kwenda kwa Namba Moja kwa Moja , lakini amekuja kuwa Mkuu wao,
KIPINDI CHA SHULE YA UONGOZI CHA POLEPOLE
Walio Nyuma ya scenario hii ni wafuatao
1. Mkumbo Kitila
2. Pole pole
3. Bashiru
4. Mr Mtagwaba wa Dodoma
5. Msukuma
6. Ndugai
Wanaopinga haya Mambo na Kumuunga Mkono Mama Samia Ni wafuatao
1. Professor Sospeter Muhongo
2. Rweyemamu alokuwa Ikulu
3. Mzee Warioba
4. Akson Tulia
5. Rose Banji
6. January Makamba huyu Kuna kundi la watu Zaidi 20 wamemwagwa mtandaoni Kukabiliana naye
7. Jenester
8. Ummy Mwalimu
9. Mzee Mwingi
10. Bernard Membe
11. Nchemba japo Ni bendera fuata upepo Kama kigwangalla
Wazee wengine hawaoneshi Kuwa Na Upande kama Jakaya na Butiku wameendelea kukweka kutoa ya Moyoni