Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda ukawa sahihi ila sio sana kama hao kina Kitila ni wapinzani mbona bado wana vyeo vya uwaziri?...vipi kuhusu Prof Kabudi?CHANZO SAHIHI
Kuna Mgongano Mkubwa sana ambao unaitesa Serikali Na CCM.
Juzi maeneo ya Area C Ndani ya Kihoteli kidogo Double K Dodoma haya yamebainika,
Hakuna jambo liliwashtua watu kama Magufuli kuondoka Hasa Wale walikuwa wanamsujudu,
Wale akina Kesi, Mlinga, Ndugai na Msukuma Bungeni walikuwa wanaomdujudu Sana Magufuli kupita kiasi
Maumivu ya Polepole na Bashiru ni Kuona waliowadharau wameshika hatamu.
Makamu wa Rais wa Magufuli alidharauliwa Sana kiasi kwamba watu walishindwa kumuhusisha kwa Mambo Mengi na kwenda kwa Namba Moja Moja kwa Moja , lakin amekuja kuwa Mkuu wao,
KIPINDI CHA SHULE YA UONGOZI CHA POLEPOLE
Walio Nyuma ya scenario hii ni wafuatao
1. Mkumbo kitila
2. Pole pole
3. Bashiru
4. Mr Mtagwaba wa Dodoma
5. Msukuma
6. Ndugai
Wanaopinga haya Mambo na Kumuunga Mkono Mama Samia Ni wafuatao
1. Professor Sospeter Muhongo
2. Rweyemamu alokuwa Ikulu
3. Mzee Warioba
4. Akson Tulia
5. Rose Banji
6. January Makamba huyu Kuna kundi la watu Zaid 20 wamemwagwa mtandaoni Kukabiliana naye
7. Jenester
8. Ummy Mwalimu
9. Mzee Mwingi
10. Bernard Membe
11. Nchemba japo Ni bendera fuata upepo Kama kigwangalla
Wazee wengine hawaoneshi Kuwa Na Upande kama Jakaya Na Butiku wameendelea kukweka kutoa ya Moyoni
Mpiga ramli kazini. Magufuli na Samia waligombana lini?
Kwani Magufuli hakuwahi kuamua baadaye akabdili uamuzi wake? Hajawahi kutumbua baadaye akawarudisha haohao aliowatumbua? Acheni kupiga ramli chonganishi...hawakugombana lakini inaelekea ssh alikuwa hamkubali jpm.
..ona sasa hivi ameteua watu wangapi waliotumbuliwa na jpm.
..amebadili maamuzi mangapi aliyoyafanya jpm.
..nadiriki kusema ssh hakuwa mfuasi wala mshirika wa jpm.
Mbona akina Jk waliweza kupambana na Mkapa leading to 2005 na wakashinda? Suala sio kuwa na nguvu tu bali kujua jinsi ya kuitumia.Naomba utambue hakuna anayeweza kupambana na kiongozi mkuu akiwa madarakani zaidi zaidi wanajichosha tu, hata watu wote ndani ya Chama wasipomuunga mkono bado atatoboa so long as yupo madarakani, pengine Hao wanaompinga hawajajua nguvu ya Rais
Kwani Magufuli hakuwahi kuamua baadaye akabdili uamuzi wake? Hajawahi kutumbua baadaye akawarudisha haohao aliowatumbua? Acheni kupiga ramli chonganishi.
Kwani huyo kijora ni mTZ/ anapangua kila kitu alichopanga JPM hadi kuwarudisha kwenye mabodi watu waliothibitika kuwa wezi na wahumu uchumi,,,hana maana ni mtu wa maalimu Seif na kwa bahati mbaya katiba uchwara ndiyo iliyompa kijiti hivyo mazuzu mnaotaka katiba uchochoro isomeni hiyo ni bora rais akifa basi uchaguzi wa raisi peke yake in 90 days after funeral tosha siyo chaka la kumleta mtu aliyesoma sana kuliko wote Tanganyika,, Tundu Lissu aliyezaliwa na degree ya sheria bila kusoma na kumbe ati kasomea TZ std one hadi chuo mfyuu Someni majuu kama sisi huku mtihani hauvuji, hutizamii na kanguo kadogo wadada hawavui ili kupass,,,, rais msomi anakuja,,,mnaota saaaaana..hawakugombana lakini inaelekea ssh alikuwa hamkubali jpm.
..ona sasa hivi ameteua watu wangapi waliotumbuliwa na jpm.
..amebadili maamuzi mangapi aliyoyafanya jpm.
..nadiriki kusema ssh hakuwa mfuasi wala mshirika wa jpm.
Kuna Faida gani kuwa na Timu Magufuli, wakati Ameshakufa? Na hatafufuka6. January Makamba huyu Kuna kundi la watu Zaid 20 wamemwagwa mtandaoni Kukabiliana naye
Number. Sita uongo January ndio amemwaga watu mitandaoni na Id mpya za kukutetea sisi hatumkubali kwa sababu Hana sifa ya Kua kiongozi na tupo hapa enzi na enzi tunakosoa panapofaa kukosolewa na kusifia penye kustaili sifa hatujatumwa na mtu na hatuna ID Mpya
January umetukana sana viongozi kwa account ya Kigogo including mama Samiha sijui kwa nini TISS hawajakuchukulia hatua
Sukuma gang, wapinga pinga hawana agenda kwa sasa, wameshtuka mshtuko mkuu, yule mchato kutolewa uwaziri.Nakubariana na hoja yako hao ni sukuma gang hata bavicha nao wanawashangaa hawa jamaa wametokea wapi
Eti Jennister leo yuko kwa Mana duuuuu unafiki huoooo
Kwa kanda? Kwa hiyo Tanga kuwa na mawaziri 3 ni kigezo cha kanda ipi.Kuna Faida gani kuwa na Timu Magufuli, wakati Ameshakufa? Na hatafufuka
Uwaziri unagawanywa kwa Kanda, Samia anayo akili, hawezi kujaza watu wa Kanda Moja
Samia anatibu majeraha
heshimu watu sponsor hufariki!!!!Hadithi yako inatufundisha nini