NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake humu jukwaani!!!Msimbeze Britanica!!!Nyufa ndani ya chama ni vitu vya kawaida!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UZuri mama anawajua wanafiki wote ni suala la muda tuJennister hampendi mama haswaa nashangaa bado yupo na wizara
Watu wengi wakikaribia au kufikisha umri wa kustaafu huwa wanarudi CCM sijui kwa nini?!Mkuu britanicca , CCM ni chama rasmi hivyo chanzo pekee cha uhakika cha habari za CCM ni kwenye ofisi za CCM, vikao, au viongozi gazzeted wa CCM.
Hiki chanzo cha ndani ya kihoteli cha Double K, hapo Dodoma, hakiwezi kuwa ni chanzo cha uhakika cha habari za CCM, unless unithibitishie kilikuwa ni kikao rasmi cha chama au jumuiya zake, vinginevyo inawezekana ni wana CCM wahuni individuals na mawazo na mitazamo yao hasi ya kihuni huni!. Ukisikia uongo, uzushi, fitna na majungu sasa ndio huu. Nashauri wana jf waandamizi kama wewe Mkuu britanicca , ukikutana na majungu ya type hii, yenye kuchafua majina ya watu, anaweza kuripoti kama hivi ila ilikubidi wewe ufanye self censorship kwa kutotaja hayo majina. Huku ni kuchafua watu kwa majungu kujenga fitna.
CCM kama chama, hakina mgogoro wowote wa ndani. Hakuna CCM JPM na CCM SSH. CCM chini ya SSH ni CCM ni moja as strong as ever ndani ya chama, nje ya chama, na kwenye uongozi wa Serikali.
P
Mkuu Paskali, go ahead my brother!Mkuu Freddie Matuja , kwanza asante kwa hoja hii, naunga mkono hoja asilimia 100% chini ya 100% na kwa ruhusa yako, naomba kulitumia bandiko lako hili kama mbegu ya kurutubisha bandiko langu fulani.
P
Pole Mkuu. Hapo nyuma ulikuwa unailewa siasa siku hizi unatabili sana tu.CHANZO SAHIHI
Kuna Mgongano Mkubwa sana ambao unaitesa Serikali Na CCM.
Juzi maeneo ya Area C Ndani ya Kihoteli kidogo Double K Dodoma haya yamebainika,
Hakuna jambo liliwashtua watu kama Magufuli kuondoka Hasa Wale walikuwa wanamsujudu,
Wale akina Kesi, Mlinga, Ndugai na Msukuma Bungeni walikuwa wanaomsujudu Sana Magufuli kupita kiasi
Maumivu ya Polepole na Bashiru ni Kuona waliowadharau wameshika hatamu.
Makamu wa Rais wa Magufuli alidharauliwa Sana kiasi kwamba watu walishindwa kumuhusisha kwa Mambo Mengi na kwenda kwa Namba Moja kwa Moja , lakini amekuja kuwa Mkuu wao,
KIPINDI CHA SHULE YA UONGOZI CHA POLEPOLE
Walio Nyuma ya scenario hii ni wafuatao
1. Mkumbo Kitila
2. Pole pole
3. Bashiru
4. Mr Mtagwaba wa Dodoma
5. Msukuma
6. Ndugai
Wanaopinga haya Mambo na Kumuunga Mkono Mama Samia Ni wafuatao
1. Professor Sospeter Muhongo
2. Rweyemamu alokuwa Ikulu
3. Mzee Warioba
4. Akson Tulia
5. Rose Banji
6. January Makamba huyu Kuna kundi la watu Zaidi 20 wamemwagwa mtandaoni Kukabiliana naye
7. Jenester
8. Ummy Mwalimu
9. Mzee Mwingi
10. Bernard Membe
11. Nchemba japo Ni bendera fuata upepo Kama kigwangalla
Wazee wengine hawaoneshi Kuwa Na Upande kama Jakaya na Butiku wameendelea kukweka kutoa ya Moyoni
Mkuu Kalamu, msingi wa hoja yangu kuhusu maadui ni wale ambao walitajwa na mchonga JKN. Ila unaweza kuongeza kwenye list wa kwako na tunaweza kukubaliana kwa hoja.Maadui ndio hao?
Huku ni kukariri kusikokuwa na maana! Miaka 60, bado unaamini hao ndio maadui wa nchi hii? Nikikuambia adui namba moja wa Tanzania sasa hivi ni CCM utakataa, kwa vile tu huko ndiko unakopatia maslahi yako?
Kama hao uliowataja ndio bado unaamini ndio maadui, watakuwa maadui kwa hisani ya CCM; kwa maana hiyo CCM ndiye adui mkubwa sana; kahodhi kila kitu, hataki hata wananchi wafanye maamuzi yao nani awe kiongozi wao.
Bado huoni/huamini "adui" ni nani"?
Thanks Fred, I'll do.Mkuu Paskali, go ahead my brother!
Kwa ulichoandika na ulivyoandika hapa bila shaka hiyo Elimu yako ya majuu haina msaada kwako wala kwa Taifa. Ulisomea majuu wapi mkuu?,Kwani huyo kijora ni mTZ/ anapangua kila kitu alichopanga JPM hadi kuwarudisha kwenye mabodi watu waliothibitika kuwa wezi na wahumu uchumi,,,hana maana ni mtu wa maalimu Seif na kwa bahati mbaya katiba uchwara ndiyo iliyompa kijiti hivyo mazuzu mnaotaka katiba uchochoro isomeni hiyo ni bora rais akifa basi uchaguzi wa raisi peke yake in 90 days after funeral tosha siyo chaka la kumleta mtu aliyesoma sana kuliko wote Tanganyika,, Tundu Lissu aliyezaliwa na degree ya sheria bila kusoma na kumbe ati kasomea TZ std one hadi chuo mfyuu Someni majuu kama sisi huku mtihani hauvuji, hutizamii na kanguo kadogo wadada hawavui ili kupass,,,, rais msomi anakuja,,,mnaota saaaaana
Watu wanatetea tumbo zao hakuna cha hayo makundi...Kila mmoja anajitahidi kujionyesha kuwa afaa...Rais anawekwa kwenye wakati mgumu kisa tumbo zetu...Lets get serious, nchi hii inahitaji kufanya kazi kuijenga na siyo kutafuta nafasi ya kushambulia hata kidogo kilichotengenezwa...Heard me?Wakubwa, Mzee baba JPM ashalala. Hatafufuka na ukurasa wake umefungwa.
Rais SSH amechukua kijiti kwa mujibu wa katiba yetu. Na kwa madaraka ya Rais kuanzia VP mpaka asie na cheo, we all serve her pleasure.
Kwa msingi huu, sioni kwanini kuwa na team JPM wakati JPM hayupo. Angekuwa labda msituni anapigania kurejea kungekuwa na mantiki ya kuwa na team JPM.
Watanzania tuishi kwa kuheshimu misingi ya katiba yetu. Nataka kuamini JPM aliteua SSH kama VP wake kwa muhula wa pili 2020 akiwa na imani nae kumsaidia majukumu yake.
Kuanzaia March 19, 2021, Madam President SSH ndie CinC na tunawajibika kumuunga mkono kwa yale anayofanya yenye maslahi ya taifa. Kama kuna pahala anapokosea, tuna nafasi ya ku-critique na kutoa hoja mbadala afanyeje ili Tanzania tutayoitaka tuione ikitokea tungali hai na kwa faida ya vizaji vijavyo.
Maadui wa nchi hii bado ni Umasikini, Ujinga na maradhi, kama tukijikita kwenye kuwakabili hao maadui zetu, itakuwa na tija kwetu kuliko kubaki tunabishana na team JPM na SSH wakati hawa wawili walichukua form ya Urais wa JMT 2015 na 2020 kwa pamoja.
![]()
![]()
![]()
kwa mujibu wako mnamleta nani? kupitia chama kipi?Kwani huyo kijora ni mTZ/ anapangua kila kitu alichopanga JPM hadi kuwarudisha kwenye mabodi watu waliothibitika kuwa wezi na wahumu uchumi,,,hana maana ni mtu wa maalimu Seif na kwa bahati mbaya katiba uchwara ndiyo iliyompa kijiti hivyo mazuzu mnaotaka katiba uchochoro isomeni hiyo ni bora rais akifa basi uchaguzi wa raisi peke yake in 90 days after funeral tosha siyo chaka la kumleta mtu aliyesoma sana kuliko wote Tanganyika,, Tundu Lissu aliyezaliwa na degree ya sheria bila kusoma na kumbe ati kasomea TZ std one hadi chuo mfyuu Someni majuu kama sisi huku mtihani hauvuji, hutizamii na kanguo kadogo wadada hawavui ili kupass,,,, rais msomi anakuja,,,mnaota saaaaana
Umechelewa sana kumjua rangi yake halisi. Hizo taarifa unazosema ulikuwa unampa credibility ukizichunguza utaona uliingia mkengeMan if you continue like this, you are losing your credibility! Huwa nakuamini Sana, Sasa gossiping za Nini? Let's credible news not ya midundiko, mitaani etc etc
Kweli kijamaa kulikua kigonjwa Cha moyo cheki mguu ulivo mwembaba[emoji7][emoji7][emoji109][emoji109][emoji123][emoji123]
Siempre Chifu Mkuu Hangaya[emoji120]
View attachment 2010652
Ulisoma ughaibuni? Ulisoma ufundi cherehani au kuosha vyombo, mbona mwandiko kama mdogo wangu wa darasa la sitaKwani huyo kijora ni mTZ/ anapangua kila kitu alichopanga JPM hadi kuwarudisha kwenye mabodi watu waliothibitika kuwa wezi na wahumu uchumi,,,hana maana ni mtu wa maalimu Seif na kwa bahati mbaya katiba uchwara ndiyo iliyompa kijiti hivyo mazuzu mnaotaka katiba uchochoro isomeni hiyo ni bora rais akifa basi uchaguzi wa raisi peke yake in 90 days after funeral tosha siyo chaka la kumleta mtu aliyesoma sana kuliko wote Tanganyika,, Tundu Lissu aliyezaliwa na degree ya sheria bila kusoma na kumbe ati kasomea TZ std one hadi chuo mfyuu Someni majuu kama sisi huku mtihani hauvuji, hutizamii na kanguo kadogo wadada hawavui ili kupass,,,, rais msomi anakuja,,,mnaota saaaaana
Mimi siwezi kuwalaumu hao wenye vyama vingine, kwa sababu siwajui, sijawahi hata siku moja wakaingilia maisha yangu. Ila najua CCM, hasa hii CCM ya miaka hii ya karibuni, hawa wameingilia kila aina ya maisha ya waTanzania, wawe wanachama wao au wa upinzani, au wasiwe wanachama au wapenzi wa chama chochote cha siasa, CCM ndiye mhusika. Kwa hiyo huwezi kumuondolea lawama, eti kwa sababu hata vyama vingine wanafanya kama afanyavyo CCM!Mkuu Kalamu, msingi wa hoja yangu kuhusu maadui ni wale ambao walitajwa na mchonga JKN. Ila unaweza kuongeza kwenye list wa kwako na tunaweza kukubaliana kwa hoja.
Mathalani, Rushwa ni moja wa adui, ila anaweza kuwa kwenye tier 2 ya adui ambae bila shaka ujinga au umasikini weweza kumfanya adui rushwa nae akamea na kuota mizizi.
Kumbuka kuna waziri mmoja aliwahi kwenda UK kusaini mkataba hotelini, mhusika huenda akifaidika na kuondokana na umasikini yeye na familia yake, ila kansa anayoijenga bila shaka inazidi kuwastawisha umasikini katika jamii yetu.
Na ukitaka kujua rushwa ni kansa, hata chaguzi za vyama vya siasa ambavyo sio CCM, nako kitu kidogo lishakuwa jambo la kawaida, kitu ambacho sio sawa kwenye jamii yetu. Kuwalaumu CCM pekee wakati rushwa na ujinga na umasikini uu sehemu ya ukawaida hata kwenye vyama vya siasa ambavyo ni challenger wa CCM, sio kitu sawa.
Issue ya UMEME na MAJI ni siasa iangaliwe vizuri haiendani na spirit ya ILANI YA UCHAGUZI YA CCM italeta shida 2025 siyo mbali. Wakati ni sasa rekebisha mambo haraka. Mgao hapana, Makamba it is not for political hygien. Mengine kuhusu makundi ni bra bra tu. Watu wanataka vitendo na matokeo chanya, makundi yataondoka yenyewe."VITA VYA WANUFAIKA WA MIFUMO",PRESIDENT SAMIAH MUST PROGRAME FRESH TEAM,MAANA WAKO WATU WASIOJIFICHA KWA RAIS NI KIKWAZO CHA WAZI,PIA NAWASIFU KWA MOYO WANGU WOTE PM,VP HAWA THEY WORK HARD PURELY WITH MADAAM MUNGU AWABARIKI SANA,KATIKA UMEME SIJUI KUNA SHIDA GANI?,YULE TESHA APANDISHWE JUU/DARAJA HE KNOW IN AND OUT HOW TO SOLVE THIS.
N.b,Mfumo unapobadilika nenda nao usishupaze shingo utavunjika zama zimepita nchi imetulia woga umeondoka,vifo vya ajabu na ghafla vimeondoka labda vifo vilivyobakia Kwa sasa ni vya wivu wa mapenzi, nchi ni tulivu ikiwa na tumaini jema na jipya mipaka ipo salama,Thank you TPDF,Uchumi unakuwa uwekezaji unaongezeka what else...
!