saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
rudi shule acha kuandika upuuzi.Kimamlaka RC ni mwakilishi wa President. Ana nguvu kuliko PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
rudi shule acha kuandika upuuzi.Kimamlaka RC ni mwakilishi wa President. Ana nguvu kuliko PM
nani atauana na nani, hivi mnatumia akili kweli kufikiri? Mwananchi auane na serikali? Au hata hujaelewa kilichoandikwaIpelekwe mahakamani, hakuna suluhisho, watavutana huko mwisho wataanza kuuwana.
Hujajibu ulichoulizwa mkuu,soma tena then changia upyaAlipata ardhi ya wanachi kwa rushwa,kumbuka pia hata pm alipata ubunge ki haramu.
Wapi nilipoandika "serikali"?nani atauana na nani, hivi mnatumia akili kweli kufikiri? Mwananchi auane na serikali? Au hata hujaelewa kilichoandikwa
Mkuu Mimi nitumwe na nani? Nimekuwa nikifuatilia hili jambo toka awali coz najua kuna shida Jiji hapo na si vinginevyo maana MTU hadi kupewa hati na kibali cha ujenzi hii siyo kazi ndogo na isitoshe barua ya rais kusema katwaa ardhi hiyo hakuna kuna njama toka kwa Adolf Nduguru katibu mkuu TAMISEMI na ex RC Mza Malima wanajua walichofanya. Kwanini RC Mwanza alizima simu alipoenda kuzuia ujenzi iwapo maelekezo yalikuwa ya mama? Aliogopa mini iwapo ni maelekezo ya Mh rais kutwaa viwanja hivyo Naomba 194 na 195 hapo Rwagasore? Huna fact ndg hili jambo litamchafua mh rais na PM kuonekana hawana mawasiliano na PM ataonekana mwongo mwongo tu wakati upuuzi umetengenezwa TAMISEMIAcha uzushi, we umetumwa siyo bure. RC hawezi kukurupuka wakati kuna uamuzi ulishafanywa na waziri mkuu, acheni uchonganishi usio na mantiki.
Cha kustaajabisha hupo nkuranga sasa hivi lakini kama kawa unapokea tu Canadian social benefits na government handouts kutoka serikali ya makafr wagalatia. You don't even feel guilty conscious?No way, forget it, huwa sikutani na watu wa kwenye ntandao. Hunijuwi sikujuwi.
Kwetu Mkuranga kwa mkanada.
Unaelewa kuwa Canada Uislam unakuwa kuliko imani yoyote ile nyengine?Cha kustaajabisha hupo nkuranga sasa hivi lakini kama kawa unapokea tu Canadian social benefits na government handouts kutoka serikali ya makafr wagalatia. You don't even feel guilty conscious?
Unaelewa kuwa Canada Uislam unakuwa kuliko imani yoyote ile nyengine?
Ulitaka niende nchi ya Waislam nikawasilimishe Waislam? Siku hizi tunawapiga daawa mpaka night clubs.
Hao mbona wengi tu, wala hawatupi shida. Ndiyo sababu tupo Canada tunawapiga Daawa waondokane na ushoga.Huyu hapa ni shoga wa Kiislamu Vancouver View attachment 2715251
Mahakama zetu hakuna haki hata ingefika bado mwenye kisu kikali ndiye ale nyama.Kesi ilifika mahakamani?