MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,747
- 2,977
Naona humjui Yesu wewe!Polee sana.
Upone kwa Jina la Yesu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona humjui Yesu wewe!Polee sana.
Upone kwa Jina la Yesu!
Ndio!Eti mwarabu no!
Ila angekuwa mzungu sawa?
Kumbe ni chuki zako tu kwa warabu!Ndio!
Mwarabu no!Kumbe ni chuki zako tu kwa warabu!
Sasa warabu watakuja watawekeza bandarini na wewe kafiri hutakuwa na la kufanya.
Unabisha?
Labda no kwenye familia yako kwenye nchi umeshachelewa na chuki zako.Mwarabu no!
Mwarabu no!Labda no kwenye familia yako kwenye nchi umeshachelewa na chuki zako.
Chawa kazini .Habari zenu wanaJF wenzangu?
Kwa wale tuliokuwa tunafuatilia methali, na misemo mbali mbali ya wahenga shuleni. Bila shaka mnaukumbuka msemo huu unaosema kuwa siku ya kufa nyani basi miti yote atakayoshika itamtereza...
Habari ndio hiyo mkuu. Open your eyes.Duuh
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaBandari haitawaacha salama aiseee
Poleni sanaNasikia wanataka badili sheria ili kuondoa ulinzi wa Mali za watanzania usiwe chini ya wananchi na ni bunge la September mzigo unakuja bungeni
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaWat
Wakati wewe uko busy hapa kukejeli harakati za kupinga ule mkataba wa kilaghai wa kuuzwa bandari zetu, unasahau kuwa mama na washauri wake huko presha zinapanda, sukari hazishuki, trip za kwenda toilet haziishi, jasho jembamba linawatoka, hawajui cha kufanya, woga umewajaa, hawaamini kama watanganyika wamekuwa jeuri kiasi hiki.
Ngoma bado mbichi.
Mkataba wa kilaghai hauwezi kutekelezeka.
Kwa aina ya raisi tulie nae sasa, amini bila chembe ya wasi wasi kwamba hakuna askofu njaa wala sheikh ubwabwa atakaefanikiwa kumshikia raisi akili. JPM hakukoseaTumechelewa sana Mama apige kazi aachane na maaskofu na mashekhe ..
Pole sana Bandari ndio hiyo imeendaBut mwarabu no!
Pale kwa sasa hawana chao, mwenye kuona ameshindwa kuvumilia uendeshaji wa nchi basi akaombe hifadhi vatican au saudi arabia.Imeisha hiyo. Watafute sehemu nyingine ya kuiba sio Bandarini tena!
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaMi ni mbaguzi kwa kweli, tena mbaguzi hasa, we jua hivyo!
Iwe no iwe yes Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaMwarabu no!
Waliosababisha hiyo mifumo mibovu ni nani? Yaani ujinyee halafu uwalaum walikupa chakula, Pumbavu kabsaHabari zenu wanaJF wenzangu?
Kwa wale tuliokuwa tunafuatilia methali, na misemo mbali mbali ya wahenga shuleni. Bila shaka mnaukumbuka msemo huu unaosema kuwa siku ya kufa nyani basi miti yote atakayoshika itamtereza...
Umeandika sana upumbavu wako.Ingawa wewe ni kikaragosi ambae hujui hata jinsi hili suala lilivyowakalia kooni hao mabwana zako.Habari zenu wanaJF wenzangu?
Kwa wale tuliokuwa tunafuatilia methali, na misemo mbali mbali ya wahenga shuleni. Bila shaka mnaukumbuka msemo huu unaosema kuwa siku ya kufa nyani basi miti yote atakayoshika itamtereza...
makuwadi ya warabu yaliyohongwa yamekata pumzi hadi kina chongolo wameitele mikutano badala yake mabwabwa na makuwadi ndio yamebaki kushabikia ujinga.Habari zenu wanaJF wenzangu?
Kwa wale tuliokuwa tunafuatilia methali, na misemo mbali mbali ya wahenga shuleni. Bila shaka mnaukumbuka msemo huu unaosema kuwa siku ya kufa nyani basi miti yote atakayoshika itamtereza...
Endelea kujipa moyoWat
Wakati wewe uko busy hapa kukejeli harakati za kupinga ule mkataba wa kilaghai wa kuuzwa bandari zetu, unasahau kuwa mama na washauri wake huko presha zinapanda, sukari hazishuki, trip za kwenda toilet haziishi, jasho jembamba linawatoka, hawajui cha kufanya, woga umewajaa, hawaamini kama watanganyika wamekuwa jeuri kiasi hiki.
Ngoma bado mbichi.
Mkataba wa kilaghai hauwezi kutekelezeka.