Mgogoro wa Bandari na Vita vya Misemo: Kupanguliwa kwa Mipango na Uongozi

Mgogoro wa Bandari na Vita vya Misemo: Kupanguliwa kwa Mipango na Uongozi

Umeandika sana upumbavu wako.Ingawa wewe ni kikaragosi ambae hujui hata jinsi hili suala lilivyowakalia kooni hao mabwana zako.

Wewe Mr Dudumizi njoo na majibu

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Mkuu jitu shoga kama huyu dudumizi una haja gani ya kumuelekeza unaona wazi Kuna uwazi usio wa kawaida kwenye sehemu yake ya haja kubwa don't waste ur time please time will tell
 
Tumechelewa sana Mama apige kazi aachane na maaskofu na mashekhe ..
Mama zenu mmewaacha vijijin huko wengine mmewazika, Samia si mama yenu bali Rais wenu, tumien cheo chake vizuri ili musipotoshe hii nchi, kwa miaka yote hiyo mliyoongoza nchi mmechelewaje kama kila awamu na kila mwaka ni chama chenu kimeshika nchi?

Unakuta watu aina yenu mnategemewa ktk familia, hopeless kabisa
 
Habari zenu wanaJF wenzangu?

Kwa wale tuliokuwa tunafuatilia methali, na misemo mbali mbali ya wahenga shuleni. Bila shaka mnaukumbuka msemo huu unaosema kuwa siku ya kufa nyani basi miti yote atakayoshika itamtereza.

Msemo huu kwa wale vichwa nazi mnaweza kuuchukulia poa, lkn kiuhalisia una maana kubwa sana.

Hebu angalia mwenyewe jinsi wale jamaa zetu waliokuwa wameigeuza bandari yetu shamba la bibi, walivyohangaika kupambania ugali wao kupitia kwenye migongo ya watu mbali mbali walioamini kuwa wanaushawishi wa kuweza kuzuia mipango mizuri ya serikali yenye lengo la kuleta ufanisi, uchapakazi na usimamizi mzuri pale bandarini.

Jamaa walianza kwa kuwatumia wanasiasa uchwara kupigia jaramba tonge lao, walivyoona wanasiasa hao hawana impact yoyote na mikutano yao haifuatiliwi na wananchi, wakahamia kwa yule wakili njaa huku akiongozwa na yule Dr aliewahi kufilisiwa hela zote na hawara yake hadi kupelekea Dr huyo kuanza kulalia na kushindia mihogo.

Baada ya Dr mihogo nae wakili wake nao kuangukia pua, ndo likatafutwa kundi la wale wanaoitwa viongozi wa dini. Kundi hili ni miongoni mwa wafaidika wakubwa wa mfumo mbovu uliopo Sasa pale bandarini, hivyo kitendo cha kuingilia swala hili hakikuwashangaza raia wengi, kwani tulijua ni lazima kundi hili lingejitokeza tu hasa pale walipoona wanaotumwa wanachemsha kukamilisha mission.

Kundi hilo la wanaoitwa viongozi wa dini na wanufaika wa mfumo mbovu waliingia katika swala lenyewe kichwa kichwa bila kuwa na data, au kuweka data zinazoonesha ni % ngapi ya watanzania wanaopinga mkataba wa bandari na % ngapi wanapinga.

Najua viongozi hao huenda walifanya utafiti wao kupitia JF na mitandao mingine ya kijamii bila kujua kwamba mitandao mingi au naweza kusema yote haina idadi halisi ya member wake.

Mfano hapa JF ni kawaida kumkuta member mmoja ana ID 10, kwahiyo members 10 wenye ID kumi kumi wakikoment kwa kila ID moja moja utapata watu 100, hivyo viongozi hao wakiona hiyo 100 wanajua ni members tofauti tofauti, kumbe kiuhalisia ni members 10 tu wenye IDs kumi kumi.

Walitegemea ile idadi waliyojitungia ingesababisha uungwaji mkono kutoka kwa watu wengine mbali mbali, including viongozi wengine wa dini na madhehebu mbali mbali, bahati nzuri wale viongozi wenye akili na maono kama askofu Shoo wameshawaelewa na kuwapuuza viongozi hao, hali inayopelekea viongozi hao wa dini wawatumie chawa wao kuwashambulia kina askofu Shoo kwa kukataa kugeuzwa kondoo kwa masilahi yao wenyewe.

Kwa msururu huo nafikiri mmeshaona wenyewe jinsi jamaa kila wanachoshika au kupanga kinapanguliwa

Narudia tena, hayati Magufuli hakumchagua raisi Samia kuwa mgombea mwenza kwa bahati mbaya. Bali alifanya vile kutokana na kuijua vizuri misimamo thabiti ya huyu mama. Hayati Magufuli alipokufa watu wakajua labda mama atashikwa masikio kiurahisi na kutelekeza miradi yote aliyoianzisha jemedari wetu na mzalendo wetu wa kweli hayati John Pombe Magufuli.

Wakaja kushtuka masikio ya mama yanateleza hayashikiki, miradi kaisimamia imeisha na kuanzisha ya kwake yenye tija, kwahiyo kelele zenu ni za mfa maji huwa lazima atape tape.

Yale makaratasi yalioandikwa na viongozi hao wakwepa kodi, hayatobadilisha chochote, na hawatoweza kumfanya raisi chochote. Trust me 🤞
Mkuu umemaliza kila kitu.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu?

Kwa wale tuliokuwa tunafuatilia methali, na misemo mbali mbali ya wahenga shuleni. Bila shaka mnaukumbuka msemo huu unaosema kuwa siku ya kufa nyani basi miti yote atakayoshika itamtereza.

Msemo huu kwa wale vichwa nazi mnaweza kuuchukulia poa, lkn kiuhalisia una maana kubwa sana.

Hebu angalia mwenyewe jinsi wale jamaa zetu waliokuwa wameigeuza bandari yetu shamba la bibi, walivyohangaika kupambania ugali wao kupitia kwenye migongo ya watu mbali mbali walioamini kuwa wanaushawishi wa kuweza kuzuia mipango mizuri ya serikali yenye lengo la kuleta ufanisi, uchapakazi na usimamizi mzuri pale bandarini.

Jamaa walianza kwa kuwatumia wanasiasa uchwara kupigia jaramba tonge lao, walivyoona wanasiasa hao hawana impact yoyote na mikutano yao haifuatiliwi na wananchi, wakahamia kwa yule wakili njaa huku akiongozwa na yule Dr aliewahi kufilisiwa hela zote na hawara yake hadi kupelekea Dr huyo kuanza kulalia na kushindia mihogo.

Baada ya Dr mihogo nae wakili wake nao kuangukia pua, ndo likatafutwa kundi la wale wanaoitwa viongozi wa dini. Kundi hili ni miongoni mwa wafaidika wakubwa wa mfumo mbovu uliopo Sasa pale bandarini, hivyo kitendo cha kuingilia swala hili hakikuwashangaza raia wengi, kwani tulijua ni lazima kundi hili lingejitokeza tu hasa pale walipoona wanaotumwa wanachemsha kukamilisha mission.

Kundi hilo la wanaoitwa viongozi wa dini na wanufaika wa mfumo mbovu waliingia katika swala lenyewe kichwa kichwa bila kuwa na data, au kuweka data zinazoonesha ni % ngapi ya watanzania wanaopinga mkataba wa bandari na % ngapi wanapinga.

Najua viongozi hao huenda walifanya utafiti wao kupitia JF na mitandao mingine ya kijamii bila kujua kwamba mitandao mingi au naweza kusema yote haina idadi halisi ya member wake.

Mfano hapa JF ni kawaida kumkuta member mmoja ana ID 10, kwahiyo members 10 wenye ID kumi kumi wakikoment kwa kila ID moja moja utapata watu 100, hivyo viongozi hao wakiona hiyo 100 wanajua ni members tofauti tofauti, kumbe kiuhalisia ni members 10 tu wenye IDs kumi kumi.

Walitegemea ile idadi waliyojitungia ingesababisha uungwaji mkono kutoka kwa watu wengine mbali mbali, including viongozi wengine wa dini na madhehebu mbali mbali, bahati nzuri wale viongozi wenye akili na maono kama askofu Shoo wameshawaelewa na kuwapuuza viongozi hao, hali inayopelekea viongozi hao wa dini wawatumie chawa wao kuwashambulia kina askofu Shoo kwa kukataa kugeuzwa kondoo kwa masilahi yao wenyewe.

Kwa msururu huo nafikiri mmeshaona wenyewe jinsi jamaa kila wanachoshika au kupanga kinapanguliwa

Narudia tena, hayati Magufuli hakumchagua raisi Samia kuwa mgombea mwenza kwa bahati mbaya. Bali alifanya vile kutokana na kuijua vizuri misimamo thabiti ya huyu mama. Hayati Magufuli alipokufa watu wakajua labda mama atashikwa masikio kiurahisi na kutelekeza miradi yote aliyoianzisha jemedari wetu na mzalendo wetu wa kweli hayati John Pombe Magufuli.

Wakaja kushtuka masikio ya mama yanateleza hayashikiki, miradi kaisimamia imeisha na kuanzisha ya kwake yenye tija, kwahiyo kelele zenu ni za mfa maji huwa lazima atape tape.

Yale makaratasi yalioandikwa na viongozi hao wakwepa kodi, hayatobadilisha chochote, na hawatoweza kumfanya raisi chochote. Trust me 🤞
wenye ID Nyingi mara nyingi hua ni wale matapeli wasiojikubali, wanatafta namna ili kuonyesha wanaungwa mkono, issue ya DP WORLD waliounda ID fake ili kuisapot ni wale wasiojielewa, wanatengeneza mazingira ili nao waonekane wapo kwa idadi sawa na wanaopinga, uhalisia ni kwamba jambo hili halifai ndani na nje ya jf, na haihitaji kuunda identity fake kulipigania wala kulikataa.
 
wenye ID Nyingi mara nyingi hua ni wale matapeli wasiojikubali, wanatafta namna ili kuonyesha wanaungwa mkono, issue ya DP WORLD waliounda ID fake ili kuisapot ni wale wasiojielewa, wanatengeneza mazingira ili nao waonekane wapo kwa idadi sawa na wanaopinga, uhalisia ni kwamba jambo hili halifai ndani na nje ya jf, na haihitaji kuunda identity fake kulipigania wala kulikataa.
Ukitaka kujua kama wanaopinga mkataba ni wadogo, angalia mahudhurio ya mikutano yao jinsi ilivyopuuzwa na wananchi.

Huu mkutano wa kupinga bandari ulitangazwa wiki nzima kwamba utahudhuriwa na wanasiasa wenye majina kama Lisu, Dr Slaa, Mbowe, pia walikuwepo wakili Mwabukusi na maaskofu mbali mbali, lkn wananchi walikataa ulaghai wao na kuamua kuwapuuza wenye mkutano wao.
 

Attachments

  • b1130002-4cef-4948-b6ae-e129c8aff461.jpg
    b1130002-4cef-4948-b6ae-e129c8aff461.jpg
    82.8 KB · Views: 2
  • 96b1cb7b-6117-48fc-80e4-ef0f5ee7f754.jpg
    96b1cb7b-6117-48fc-80e4-ef0f5ee7f754.jpg
    74.2 KB · Views: 2
Habari zenu wanaJF wenzangu?

Kwa wale tuliokuwa tunafuatilia methali, na misemo mbali mbali ya wahenga shuleni. Bila shaka mnaukumbuka msemo huu unaosema kuwa siku ya kufa nyani basi miti yote atakayoshika itamtereza.

Msemo huu kwa wale vichwa nazi mnaweza kuuchukulia poa, lkn kiuhalisia una maana kubwa sana.

Hebu angalia mwenyewe jinsi wale jamaa zetu waliokuwa wameigeuza bandari yetu shamba la bibi, walivyohangaika kupambania ugali wao kupitia kwenye migongo ya watu mbali mbali walioamini kuwa wanaushawishi wa kuweza kuzuia mipango mizuri ya serikali yenye lengo la kuleta ufanisi, uchapakazi na usimamizi mzuri pale bandarini.

Jamaa walianza kwa kuwatumia wanasiasa uchwara kupigia jaramba tonge lao, walivyoona wanasiasa hao hawana impact yoyote na mikutano yao haifuatiliwi na wananchi, wakahamia kwa yule wakili njaa huku akiongozwa na yule Dr aliewahi kufilisiwa hela zote na hawara yake hadi kupelekea Dr huyo kuanza kulalia na kushindia mihogo.

Baada ya Dr mihogo nae wakili wake nao kuangukia pua, ndo likatafutwa kundi la wale wanaoitwa viongozi wa dini. Kundi hili ni miongoni mwa wafaidika wakubwa wa mfumo mbovu uliopo Sasa pale bandarini, hivyo kitendo cha kuingilia swala hili hakikuwashangaza raia wengi, kwani tulijua ni lazima kundi hili lingejitokeza tu hasa pale walipoona wanaotumwa wanachemsha kukamilisha mission.

Kundi hilo la wanaoitwa viongozi wa dini na wanufaika wa mfumo mbovu waliingia katika swala lenyewe kichwa kichwa bila kuwa na data, au kuweka data zinazoonesha ni % ngapi ya watanzania wanaopinga mkataba wa bandari na % ngapi wanapinga.

Najua viongozi hao huenda walifanya utafiti wao kupitia JF na mitandao mingine ya kijamii bila kujua kwamba mitandao mingi au naweza kusema yote haina idadi halisi ya member wake.

Mfano hapa JF ni kawaida kumkuta member mmoja ana ID 10, kwahiyo members 10 wenye ID kumi kumi wakikoment kwa kila ID moja moja utapata watu 100, hivyo viongozi hao wakiona hiyo 100 wanajua ni members tofauti tofauti, kumbe kiuhalisia ni members 10 tu wenye IDs kumi kumi.

Walitegemea ile idadi waliyojitungia ingesababisha uungwaji mkono kutoka kwa watu wengine mbali mbali, including viongozi wengine wa dini na madhehebu mbali mbali, bahati nzuri wale viongozi wenye akili na maono kama askofu Shoo wameshawaelewa na kuwapuuza viongozi hao, hali inayopelekea viongozi hao wa dini wawatumie chawa wao kuwashambulia kina askofu Shoo kwa kukataa kugeuzwa kondoo kwa masilahi yao wenyewe.

Kwa msururu huo nafikiri mmeshaona wenyewe jinsi jamaa kila wanachoshika au kupanga kinapanguliwa

Narudia tena, hayati Magufuli hakumchagua raisi Samia kuwa mgombea mwenza kwa bahati mbaya. Bali alifanya vile kutokana na kuijua vizuri misimamo thabiti ya huyu mama. Hayati Magufuli alipokufa watu wakajua labda mama atashikwa masikio kiurahisi na kutelekeza miradi yote aliyoianzisha jemedari wetu na mzalendo wetu wa kweli hayati John Pombe Magufuli.

Wakaja kushtuka masikio ya mama yanateleza hayashikiki, miradi kaisimamia imeisha na kuanzisha ya kwake yenye tija, kwahiyo kelele zenu ni za mfa maji huwa lazima atape tape.

Yale makaratasi yalioandikwa na viongozi hao wakwepa kodi, hayatobadilisha chochote, na hawatoweza kumfanya raisi chochote. Trust me [emoji1696]
Wee msakatonge tuu umetumwa!
 
Back
Top Bottom