Mgogoro wa Bandari na Vita vya Misemo: Kupanguliwa kwa Mipango na Uongozi

Mgogoro wa Bandari na Vita vya Misemo: Kupanguliwa kwa Mipango na Uongozi

Bandari haitawaacha salama aiseee
Pamoja na kwamba kuna wengine wametuibia miaka na miaka kupitia mgongo wa dini. Serikali itawasamehe ili tuanze upya.

Lkn bandari haiwezi kurudishwa katika mikono yao tena. Trust me
 
Nasikia wanataka badili sheria ili kuondoa ulinzi wa Mali za watanzania usiwe chini ya wananchi na ni bunge la September mzigo unakuja bungeni
Sio unasikia, ukweli ni kwamba hata sasa bandari haipo chini ya wananchi kama unavyodanganywa, bali ipo chini ya genge la wakwepa kodi, waiba mafuta na vifaa mbali mbali pale bandarini, wapitisha madawa ya kulevya na vishoka wao.

Ndomaana baada ya kugundua kwamba serikali inataka kuwanyang'anya ili iwape watu watakaohakikisha kila anaepitisha mzigo bandarini analipa kodi na ushuru, sasa wameanza kutatalika kama mahindi ya kukaangwa ndani ya sifuria au kuku aliekatwa kichwa ghafla.
 
Kwenye ukweli, uongo hujitenga. Hata kama inachukua saa kadhaa, au siku kadhaa au miaka ladhaa.

Kuna wakati si busara kujifanya mjuzi sana wa Mambo maana yakibadilila, utakosa pakuufichia uso wako.

Nilicho na hakika nacho ni kimoja..
MWENYEZI MUNGU atatuongoza salama.
 
Pamoja na kwamba kuna wengine wametuibia miaka na miaka kupitia mgongo wa dini. Serikali itawasamehe ili tuanze upya.

Lkn bandari haiwezi kurudishwa katika mikono yao tena. Trust me
Kina nani hao? Mbona mnadanganyana sana🤣🤣🤣🤣🤣

Hakuna sehemu mnatumia akili zenu hata kidogo?

Wazee wa kufanya re-evention wanawacheka
 
Wat

Wakati wewe uko busy hapa kukejeli harakati za kupinga ule mkataba wa kilaghai wa kuuzwa bandari zetu, unasahau kuwa mama na washauri wake huko presha zinapanda, sukari hazishuki, trip za kwenda toilet haziishi, jasho jembamba linawatoka, hawajui cha kufanya, woga umewajaa, hawaamini kama watanganyika wamekuwa jeuri kiasi hiki.

Ngoma bado mbichi.
Mkataba wa kilaghai hauwezi kutekelezeka.
Hahahaha mama apandishwe sukari na joka lenu la kibisa lililodhibitiwa hata na yule mtu mwembamba hapo Rwanda.

Ilikuwa zamani, lkn kwa sasa hawana jipya, ndomana leo Kagame anawapangia cha kufanya na namna ya kuendesha ibada zao huko Rwanda.
 
Ila hili la moto,ccm kutema shida kumeza tabu .niko pale
 
Habari zenu wanaJF wenzangu?

Kwa wale tuliokuwa tunafuatilia methali, na misemo mbali mbali ya wahenga shuleni. Bila shaka mnaukumbuka msemo huu unaosema kuwa siku ya kufa nyani basi miti yote atakayoshika itamtereza.

Msemo huu kwa wale vichwa nazi mnaweza kuuchukulia poa, lkn kiuhalisia una maana kubwa sana.

Hebu angalia mwenyewe jinsi wale jamaa zetu waliokuwa wameigeuza bandari yetu shamba la bibi, walivyohangaika kupambania ugali wao kupitia kwenye migongo ya watu mbali mbali walioamini kuwa wanaushawishi wa kuweza kuzuia mipango mizuri ya serikali yenye lengo la kuleta ufanisi, uchapakazi na usimamizi mzuri pale bandarini.

Jamaa walianza kwa kuwatumia wanasiasa uchwara kupigia jaramba tonge lao, walivyoona wanasiasa hao hawana impact yoyote na mikutano yao haifuatiliwi na wananchi, wakahamia kwa yule wakili njaa huku akiongozwa na yule Dr aliewahi kufilisiwa hela zote na hawara yake hadi kupelekea Dr huyo kuanza kulalia na kushindia mihogo.

Baada ya Dr mihogo nae wakili wake nao kuangukia pua, ndo likatafutwa kundi la wale wanaoitwa viongozi wa dini. Kundi hili ni miongoni mwa wafaidika wakubwa wa mfumo mbovu uliopo Sasa pale bandarini, hivyo kitendo cha kuingilia swala hili hakikuwashangaza raia wengi, kwani tulijua ni lazima kundi hili lingejitokeza tu hasa pale walipoona wanaotumwa wanachemsha kukamilisha mission.

Kundi hilo la wanaoitwa viongozi wa dini na wanufaika wa mfumo mbovu waliingia katika swala lenyewe kichwa kichwa bila kuwa na data, au kuweka data zinazoonesha ni % ngapi ya watanzania wanaopinga mkataba wa bandari na % ngapi wanapinga.

Najua viongozi hao huenda walifanya utafiti wao kupitia JF na mitandao mingine ya kijamii bila kujua kwamba mitandao mingi au naweza kusema yote haina idadi halisi ya member wake.

Mfano hapa JF ni kawaida kumkuta member mmoja ana ID 10, kwahiyo members 10 wenye ID kumi kumi wakikoment kwa kila ID moja moja utapata watu 100, hivyo viongozi hao wakiona hiyo 100 wanajua ni members tofauti tofauti, kumbe kiuhalisia ni members 10 tu wenye IDs kumi kumi.

Walitegemea ile idadi waliyojitungia ingesababisha uungwaji mkono kutoka kwa watu wengine mbali mbali, including viongozi wengine wa dini na madhehebu mbali mbali, bahati nzuri wale viongozi wenye akili na maono kama askofu Shoo wameshawaelewa na kuwapuuza viongozi hao, hali inayopelekea viongozi hao wa dini wawatumie chawa wao kuwashambulia kina askofu Shoo kwa kukataa kugeuzwa kondoo kwa masilahi yao wenyewe.

Kwa msururu huo nafikiri mmeshaona wenyewe jinsi jamaa kila wanachoshika au kupanga kinapanguliwa

Narudia tena, hayati Magufuli hakumchagua raisi Samia kuwa mgombea mwenza kwa bahati mbaya. Bali alifanya vile kutokana na kuijua vizuri misimamo thabiti ya huyu mama. Hayati Magufuli alipokufa watu wakajua labda mama atashikwa masikio kiurahisi na kutelekeza miradi yote aliyoianzisha jemedari wetu na mzalendo wetu wa kweli hayati John Pombe Magufuli.

Wakaja kushtuka masikio ya mama yanateleza hayashikiki, miradi kaisimamia imeisha na kuanzisha ya kwake yenye tija, kwahiyo kelele zenu ni za mfa maji huwa lazima atape tape.

Yale makaratasi yalioandikwa na viongozi hao wakwepa kodi, hayatobadilisha chochote, na hawatoweza kumfanya raisi chochote. Trust me 🤞
trust you gwa nyoko hakuna mwarabu wa dubei atawekeza pale kwa mkataba ule kiufupi wamengia choo cha shimo hao DP Weird!
 
Habari zenu wanaJF wenzangu?

Kwa wale tuliokuwa tunafuatilia methali, na misemo mbali mbali ya wahenga shuleni. Bila shaka mnaukumbuka msemo huu unaosema kuwa siku ya kufa nyani basi miti yote atakayoshika itamtereza.

Msemo huu kwa wale vichwa nazi mnaweza kuuchukulia poa, lkn kiuhalisia una maana kubwa sana.

Hebu angalia mwenyewe jinsi wale jamaa zetu waliokuwa wameigeuza bandari yetu shamba la bibi, walivyohangaika kupambania ugali wao kupitia kwenye migongo ya watu mbali mbali walioamini kuwa wanaushawishi wa kuweza kuzuia mipango mizuri ya serikali yenye lengo la kuleta ufanisi, uchapakazi na usimamizi mzuri pale bandarini.

Jamaa walianza kwa kuwatumia wanasiasa uchwara kupigia jaramba tonge lao, walivyoona wanasiasa hao hawana impact yoyote na mikutano yao haifuatiliwi na wananchi, wakahamia kwa yule wakili njaa huku akiongozwa na yule Dr aliewahi kufilisiwa hela zote na hawara yake hadi kupelekea Dr huyo kuanza kulalia na kushindia mihogo.

Baada ya Dr mihogo nae wakili wake nao kuangukia pua, ndo likatafutwa kundi la wale wanaoitwa viongozi wa dini. Kundi hili ni miongoni mwa wafaidika wakubwa wa mfumo mbovu uliopo Sasa pale bandarini, hivyo kitendo cha kuingilia swala hili hakikuwashangaza raia wengi, kwani tulijua ni lazima kundi hili lingejitokeza tu hasa pale walipoona wanaotumwa wanachemsha kukamilisha mission.

Kundi hilo la wanaoitwa viongozi wa dini na wanufaika wa mfumo mbovu waliingia katika swala lenyewe kichwa kichwa bila kuwa na data, au kuweka data zinazoonesha ni % ngapi ya watanzania wanaopinga mkataba wa bandari na % ngapi wanapinga.

Najua viongozi hao huenda walifanya utafiti wao kupitia JF na mitandao mingine ya kijamii bila kujua kwamba mitandao mingi au naweza kusema yote haina idadi halisi ya member wake.

Mfano hapa JF ni kawaida kumkuta member mmoja ana ID 10, kwahiyo members 10 wenye ID kumi kumi wakikoment kwa kila ID moja moja utapata watu 100, hivyo viongozi hao wakiona hiyo 100 wanajua ni members tofauti tofauti, kumbe kiuhalisia ni members 10 tu wenye IDs kumi kumi.

Walitegemea ile idadi waliyojitungia ingesababisha uungwaji mkono kutoka kwa watu wengine mbali mbali, including viongozi wengine wa dini na madhehebu mbali mbali, bahati nzuri wale viongozi wenye akili na maono kama askofu Shoo wameshawaelewa na kuwapuuza viongozi hao, hali inayopelekea viongozi hao wa dini wawatumie chawa wao kuwashambulia kina askofu Shoo kwa kukataa kugeuzwa kondoo kwa masilahi yao wenyewe.

Kwa msururu huo nafikiri mmeshaona wenyewe jinsi jamaa kila wanachoshika au kupanga kinapanguliwa

Narudia tena, hayati Magufuli hakumchagua raisi Samia kuwa mgombea mwenza kwa bahati mbaya. Bali alifanya vile kutokana na kuijua vizuri misimamo thabiti ya huyu mama. Hayati Magufuli alipokufa watu wakajua labda mama atashikwa masikio kiurahisi na kutelekeza miradi yote aliyoianzisha jemedari wetu na mzalendo wetu wa kweli hayati John Pombe Magufuli.

Wakaja kushtuka masikio ya mama yanateleza hayashikiki, miradi kaisimamia imeisha na kuanzisha ya kwake yenye tija, kwahiyo kelele zenu ni za mfa maji huwa lazima atape tape.

Yale makaratasi yalioandikwa na viongozi hao wakwepa kodi, hayatobadilisha chochote, na hawatoweza kumfanya raisi chochote. Trust me [emoji1696]

We nae ni mpuuzi kama wapuuzi wengi
 
Ila hili la moto,ccm kutema shida kumeza tabu .niko pale
Hamna kitu kibaya, kinachouma na kukatisha tamaa kama kumpigia kelele mtu anaekupuuza.

Madongo aliyorusha askofu shoo yamewavua nguo na kuwakatisha tamaa jamaa 😂😂😂
 
Wahashamu ma askofu shikilia hapohapo
 

Attachments

  • Screenshot_20230821_112100_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20230821_112100_WhatsAppBusiness.jpg
    39.4 KB · Views: 1
Tunaposema hatutaki mkataba wa kinyonyaji

Ni faida mpaka kwa wana mburula wa ccm wanaosema chukua yoteyote!
Nakuonea huruma kwa kutumia muda wako, bando lako na nguvu zako kutetea masilahi ya baba wa wenzako.
 
Endelea kupigia chapuo uuzwaji wa nchi yako,, kesho na keshokutwa muanze tena kujiliza liza kwanini Kariakoo imetekwa na waarabu kila duka ni wao,,
Aliekudanganya hivyo saa hizi ashavuta chake anakula na familia yake, wewe kabwela unabakia na uzalendo wako uchwara.
 
Wat

Wakati wewe uko busy hapa kukejeli harakati za kupinga ule mkataba wa kilaghai wa kuuzwa bandari zetu, unasahau kuwa mama na washauri wake huko presha zinapanda, sukari hazishuki, trip za kwenda toilet haziishi, jasho jembamba linawatoka, hawajui cha kufanya, woga umewajaa, hawaamini kama watanganyika wamekuwa jeuri kiasi hiki.

Ngoma bado mbichi.
Mkataba wa kilaghai hauwezi kutekelezeka.
"Ngoma bado mbichi.
Mkataba wa kilaghai hauwezi kutekelezeka". Naunga mkono hoja!
 
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sana
Ukute wewe mwenyewe haujui hata bandari hiyo Iko wapi.

Wanaokudanganya kuwa bandari inaondoka, ndio wanajua ilipo na ndio wanaotafuna mamilioni ya bandari.

Wewe endeleza uzalendo uchwara kwa kupigania ugali wa wenzako.
 
Aliekudanganya hivyo saa hizi ashavuta chake anakula na familia yake, wewe kabwela unabakia na uzalendo wako uchwara.
Waarabu wameshakataliwa na wenye nchi,, rudisheni kishika uchumba cha watu,, ama sivyo kiwake na nasikia wenye nchi hawataki hata kusubiri hiyo 2025,,

Nacheka lakini naogopa,,
 
Back
Top Bottom