Mgogoro wa Bandari na Vita vya Misemo: Kupanguliwa kwa Mipango na Uongozi

Mkuu jitu shoga kama huyu dudumizi una haja gani ya kumuelekeza unaona wazi Kuna uwazi usio wa kawaida kwenye sehemu yake ya haja kubwa don't waste ur time please time will tell
 
Tumechelewa sana Mama apige kazi aachane na maaskofu na mashekhe ..
Mama zenu mmewaacha vijijin huko wengine mmewazika, Samia si mama yenu bali Rais wenu, tumien cheo chake vizuri ili musipotoshe hii nchi, kwa miaka yote hiyo mliyoongoza nchi mmechelewaje kama kila awamu na kila mwaka ni chama chenu kimeshika nchi?

Unakuta watu aina yenu mnategemewa ktk familia, hopeless kabisa
 
Mkuu umemaliza kila kitu.
 
wenye ID Nyingi mara nyingi hua ni wale matapeli wasiojikubali, wanatafta namna ili kuonyesha wanaungwa mkono, issue ya DP WORLD waliounda ID fake ili kuisapot ni wale wasiojielewa, wanatengeneza mazingira ili nao waonekane wapo kwa idadi sawa na wanaopinga, uhalisia ni kwamba jambo hili halifai ndani na nje ya jf, na haihitaji kuunda identity fake kulipigania wala kulikataa.
 
Ukitaka kujua kama wanaopinga mkataba ni wadogo, angalia mahudhurio ya mikutano yao jinsi ilivyopuuzwa na wananchi.

Huu mkutano wa kupinga bandari ulitangazwa wiki nzima kwamba utahudhuriwa na wanasiasa wenye majina kama Lisu, Dr Slaa, Mbowe, pia walikuwepo wakili Mwabukusi na maaskofu mbali mbali, lkn wananchi walikataa ulaghai wao na kuamua kuwapuuza wenye mkutano wao.
 

Attachments

  • b1130002-4cef-4948-b6ae-e129c8aff461.jpg
    82.8 KB · Views: 2
  • 96b1cb7b-6117-48fc-80e4-ef0f5ee7f754.jpg
    74.2 KB · Views: 2
Wee msakatonge tuu umetumwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…