Mgogoro wa Kariakoo unashinikizwa zaidi na wafanyabiashara wakubwa

Toa unafiki wako hapa,, mgomo tumekubaliana wafanyabiashara wote!!?

😂😂Kwanza case ishakua solved sisi hatuwataki task force na washapigwa marufuku ha ha hahaa..asa hvi ni mwendo wa kuandikiwa notes tu ndio kitu tunataka toka t.r.a ..ww mjinga mjinga usiye na msimamo jirekebishe.
 
Bongo kwenye maslahi hatuna hata ushikamano, kudai haki waoga hatuwezi kufanya hata maandamano...

Yap niliona kuna wehu vichwa maji walijidai wana hasira na hela, wakapuuza agizo wakafungua maduka.

Huo sio uungwana hata kidogo kufurahia mwingine kuumia kwasababu wewe upamde wako hauna madhara.

Yale mabaunsa yali play part vizuri sana hakuna muuza duka ambaye alifungua duka halafu mabaunsa wakapita na duka likawa wazi.
 
Na ndicho nilichokiandika jana kuna watu walikua wanakuja kutisha watu nilikuwepo luanzia saa 12 asubui kkoo
 
Hatufungui bhnaa, hakuna cha nini wala nini, miaka yote tushawashauri TRA hawasikii
Mjinga ww haupo kkoo mimi nipo hapo kkoo nimejionea yote na jana watu walifungua saa 4 asubui wakaanza kutishwa fungeni na ukikaza unafanyiwa fujo lwahyo watu wanaogopa kufungua kwasababu ya kubebewa mali zao tu ila mgomo ni wa wakubwa wenye mastoo
 
Ili kuweka usawa inabidi machinga nao wapewe EFD
 
Sababu ya bandarini na stoo ndio vipi sababu yq wafanyabiashara wa nje na wengine kuwa harrased? Hio inamhusu mfanyabiashara mdogo kuliko mkubwa.
Umeelewa kweli?
 
Acha upumbavu wa kutetea udhalimu. Sio lazima kila mtu agome ndio tuone kwamba kuna tatizo. Matatizo yapo mengi tu na sio wafanyabiashara tu kila mtu angepaswa kugoma. Au wewe ni afisa wa TRA nini?
 
Ww mpumbavu mimi sio mwalimu na nipo kkoo. Nilichokisema ndo uhalisia wafanya biashara wengi hapo kkoo wanachukua mali kwa matajiri hao wamiliki wa stoo kubwa sasa wanaohamasisha mgomo tena kibabe ni hao madon wa stoo.

Jana saa 4 wafanyabiashara walianza kufungua maduka saa 4 asubui na nilikuwepo kkoo toka asubui, walipoanza kufungua kuna watu wakaanza kuja kuwatisha fungeni na ukikaza unafanyiwa fujo unaweza kupoteza mali ukikaza kwahyo wengi wanafunga kwa uoga na sio kwamba kwasababu ya mgomo.
 
Dawa hapo ni moja tu, Serikali iende na MAKUFULI yake, kila palipofungwa waongeza makufuli yao kama ma3 hivi.

Wakitaka kufungua waende Lugalo kufata funguo zingine.
 
Bila kujali ni wakubwa ama niwadogo ishu ni wafanyabiashara! Hizo bla bla bla zingine hazina mantiki bila kujali wingi wao au ukubwa wao
 
Inawezekana hao wanafanya biashara wadogo wananunua mzigo kwa hao wakubwa.
Ndo kunachofanyika na wengi wanapewa mali wauze ndo wanapeleka pesa, kuna matajiri wa ma stoo mengi hao ndo wameishikilia kkoo na wana maamuzi kama haya na kushinikiza watu kibabe wagome
 
Ww ndo upo kkoo na umeona kila kitu na ndio lengo la uzi huu ila kuna wajinga hata kkoo huwenda wana miezi hawajafika ila wanakuja kubisha hapa.

Jana watu baadh walianza kufungua saa 4 wakaanza kuja watu kuwatisha watu wakaogopa wakafunga.

Mimi si support kinachofanywa na TRA
 
Acha upumbavu wa kutetea udhalimu. Sio lazima kila mtu agome ndio tuone kwamba kuna tatizo. Matatizo yapo mengi tu na sio wafanyabiashara tu kila mtu angepaswa kugoma. Au wewe ni afisa wa TRA nini?
Ww mpumbavu nimetetea wapi ? Mimi nimetoa taarifa ya kinachoendelea kkoo na nilichokiona.

Choko ww
 
Umeelewa kweli?
Nimeelewa nini mkuu? Kama unauza pipi na Big G kariakoo its up to you, ila mimi wateja wangu wengi ni hao wa Congo, Zambia, Malawi etc, hivyo huu Mgomo kiasi fulani unanihusu, sio siri hawa wageni wengi wanasumbuliwa na Tra/Polisi na maafisa wengine, imefika stage hawataki hata mizigo yao ilale kwa ma Transporter sababu wanajua Anytime jamaa watatinga kuomba Rushwa.

Mimi si Mfanyabiashara mkubwa.
 
Ndo kunachofanyika na wengi wanapewa mali wauze ndo wanapeleka pesa, kuna matajiri wa ma stoo mengi hao ndo wameishikilia kkoo na wana maamuzi kama haya na kushinikiza watu kibabe wagome
Kama kuna tatizo kugoma ni haki yao. Na hao wadogo wanapaswa kusapoti maana wanawategemea hao wakubwa.
 
Nilichosema mimi si support kinachofanywa na TRA ila nilichokisema hapa ni kwamba wengi wanaogopa kufungua kwa kutishwa na mgomo unashinikizwa zaidi na matajiri wa kubwa hapo kkoo.

Sasa hayo yametoka wapi? Jifunze kuheshimu watu usiowafahamu
 
Nilichosema mimi si support kinachofanywa na TRA ila nilichokisema hapa ni kwamba wengi wanaogopa kufungua kwa kutishwa na mgomo unashinikizwa zaidi na matajiri wa kubwa hapo kkoo.

Sasa hayo yametoka wapi? Jifunze kuheshimu watu usiowafahamu
Tatizo unaforce matatizo yote ni ya wafanyabiashara wakubwa, hakuna wafanyabiashara wakubwa ambao walitaka kufungua na wadogo wakawa wamefunga?

Kila mtu ana biashara zake na matatizo yake, cha muhimu ni umoja.
 
Nlikuwa nakusoma kwenye kupiga miti michepuko tu!

wafanyabiashara wadogo hawana ubavu wowote wengi wanakua na frame ya kawaida anachukua sample za bidhaa kwa mfanyabiashara mkubwa, mteja akienda pale anakua anaandikiwa order anaenda store au analetewa dukani pale pale. Katika mazingira kama hayo boss wako agome afu ww ufungue?

Kariakoo ina wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…