Mgogoro wa Kariakoo unashinikizwa zaidi na wafanyabiashara wakubwa

Mgogoro wa Kariakoo unashinikizwa zaidi na wafanyabiashara wakubwa

Inawezekana hao wanafanya biashara wadogo wananunua mzigo kwa hao wakubwa.
Mali kauli, unaenda unapewa mzigo wa kiasi kadhaa ukauze, ukibaki rudisha ulichouza unalipa kwa don unachukua posho yako.

Sasa wakitokea hao washenzi wakakukamata wakupige fine au rushwa ina maana unatoka kapa.
Sasa nani akubali kufanya kazi bure
 
Na ndicho nilichokiandika jana kuna watu walikua wanakuja kutisha watu nilikuwepo luanzia saa 12 asubui kkoo
Kwa Hali ilikofikia ilistahili iwe hivyo,
Mabadiliko hayawez kuletwa na watu wawili au watatu, lazima wote tuwajibike
 
Mjinga ww haupo kkoo mimi nipo hapo kkoo nimejionea yote na jana watu walifungua saa 4 asubui wakaanza kutishwa fungeni na ukikaza unafanyiwa fujo lwahyo watu wanaogopa kufungua kwasababu ya kubebewa mali zao tu ila mgomo ni wa wakubwa wenye mastoo
Na hao wenye mastoo ndo wanawauzia hao wadogo, Kama mwenyewe stoo anaumia, Wewe mdg unabaki vipi salama.
 
Dawa hapo ni moja tu, Serikali iende na MAKUFULI yake, kila palipofungwa waongeza makufuli yao kama ma3 hivi.

Wakitaka kufungua waende Lugalo kufata funguo zingine.
Kwahyo nisifunge duka langu?
 
Acha upumbavu wa kutetea udhalimu. Sio lazima kila mtu agome ndio tuone kwamba kuna tatizo. Matatizo yapo mengi tu na sio wafanyabiashara tu kila mtu angepaswa kugoma. Au wewe ni afisa wa TRA nini?
Uyu jamaa anakera sana
 
Ww ndo upo kkoo na umeona kila kitu na ndio lengo la uzi huu ila kuna wajinga hata kkoo huwenda wana miezi hawajafika ila wanakuja kubisha hapa.

Jana watu baadh walianza kufungua saa 4 wakaanza kuja watu kuwatisha watu wakaogopa wakafunga.

Mimi si support kinachofanywa na TRA
Taarifa za mgomo zilitembea sana siku ya jumapili, kwahyo kuna wengine jumapili hawakuja kwahyo taarifa wakaja kukutana nazo jumatatu wakiwa washafungua maduka
 
Ww mpumbavu mimi sio mwalimu na nipo kkoo. Nilichokisema ndo uhalisia wafanya biashara wengi hapo kkoo wanachukua mali kwa matajiri hao wamiliki wa stoo kubwa sasa wanaohamasisha mgomo tena kibabe ni hao madon wa stoo.

Jana saa 4 wafanyabiashara walianza kufungua maduka saa 4 asubui na nilikuwepo kkoo toka asubui, walipoanza kufungua kuna watu wakaanza kuja kuwatisha fungeni na ukikaza unafanyiwa fujo unaweza kupoteza mali ukikaza kwahyo wengi wanafunga kwa uoga na sio kwamba kwasababu ya mgomo.
Hao madon sio wananchi na watu kama watu wengine wanaokandamizwa?

Kwavile ni madon hawana haki ya kulalamika wakionewa?

Au wenye haki nchi hii ni nyie masikini pekee yake?

Stop discrimination
 
Hii ishu iko controversial sana... hapo kuna maslahi ya wengi wakiwemo viongozi wakubwa wa nchi hii. Kwa upande wangu nadhani wakubwa wakutane na kukubaliana mambo yao ili biashara ziendele. Wakubwa wengi wana biashara zao hapo. TRA haina neno endapo wakubwa watakubaliana.
Viongoz wakubwa nao wanabiahara zao hapohapo k'koo kuanzia wabunge,mawaziri,majaji n.k
 
Hao madon sio wananchi na watu kama watu wengine wanaokandamizwa?

Kwavile ni madon hawana haki ya kulalamika wakionewa?

Au wenye haki nchi hii ni nyie masikini pekee yake?

Stop discrimination
Anaongea hasichokijua uyo,
Anasahau kua hao madon ndo walipakodi wakubwa nchi hii kuliko hao wadogo.
 
Ukiniuliza mimi nasema ni shinikizo la wanaharakati wanaotafuta mitaji ya Ajenda zao.

Ukifuatilia vizuri, utasikia na kuona ni jinsi gani Viongozi na hata Wanaharakati wa CHADEMA jinsi walivyoteka suala hili na kulifanya la Kisiasa.

Kwa maoni yangu, ni suala la Kisiasa zaidi kuliko Biashara.
Saa nyingine jaribu kutumia akili. CHADEMA wanahusika vipi na biashara za Kkoo? Maoni yako ni ya kipumbavu. Sio kila kitu unaleta siasa. CHADEMA hawahusiki na hili na wala hawajatoa tamko lolote.
 
Migomo ya hivi,

Ukijifanya kichwa ngumu unapotezwa kwny game.

Maana bidhaa nyng hapa k'koo karibu kila sekta madon wake wakubwa hawazidi 5, hao wanaheshimika sana, Wana influence kubw kwny mzunguko, serikali na chama.

Hao wakiungana, wanaamua Jambo lao kwa mustakabali mzima wa k'koo yote na sisi wauzaji wadogo wa chini tuuzeje na tupate faida kias gani.

Ukikaza fuvu lako, ukajifanya mzalendo uchwara, Unatengwa na kufanyiwa figisu kibao ili upotee kbs kwny biashara.

Hebu Ni nambie,
Ni Nani mwny guts za kukaza fuvu ili wanae wasiende chooni? Jibu Ni HAYUPO.

TUNAKOMAA WOTE HADI KIELEWEKE[emoji106]
Hao madon no kina Rosti tamu!!?miliki wa msimbazi!!?na Bt mwenyewe!!?

Lengo lao wanataka ku destabilize Nini!!?
 
Naona kitachoenda apo ni kuupoonza wale wanaojitafutia Chochote cha kilasiku ikiwa wale wanaoshusha makontena bandarini washajimudu na hii inakuja kutugharimu wa Hali ya chini sasa maandamano yalikua Yana wahusu nini wale wanaoweka bidhaa za chini 🤔🤔
 
Mjinga ww haupo kkoo mimi nipo hapo kkoo nimejionea yote na jana watu walifungua saa 4 asubui wakaanza kutishwa fungeni na ukikaza unafanyiwa fujo lwahyo watu wanaogopa kufungua kwasababu ya kubebewa mali zao tu ila mgomo ni wa wakubwa wenye mastoo
Bro kama hujui jambo c ukae kimya tu. Ukimuona mtu anapambania maisha yake kama huwez kumsaidia basi ucmkatishe tamaa.
 
Wewe ni upungufu wa akili unaokusumbua. Nionyeshe mfanyabiashara wa CHADEMA au kiongozi yeyote wa CHADEMA aliyekwenda Kariakoo!
Wapi hapo niliposema namuona mfanyabiashara wa CHADEMA-Kariakoo?
Isitoshe, ni wapi niliposema namuona Kiongozi wa CHADEMA Kariakoo?
Manake kudai tu "nikuonyeshe" , ni dhahiri hata hukuelewa nilichobandika kwani mantiki yako ni batili.

Pili,

umeshawahi kusikia wapi ati Mfanyabiashara wa CHADEMA?
 
Mjinga ww haupo kkoo mimi nipo hapo kkoo nimejionea yote na jana watu walifungua saa 4 asubui wakaanza kutishwa fungeni na ukikaza unafanyiwa fujo lwahyo watu wanaogopa kufungua kwasababu ya kubebewa mali zao tu ila mgomo ni wa wakubwa wenye mastoo
Sasa kwa akili zako Wakubwa wenye mastoo ambao saa nyingine wanakupa mzigo kwa mali kauli wakigoma wewe unabakije nje ya mgomo?.

Tufanye wasikulazimishe kugoma lakini wakala pozi mwezi tu wewe mdogo mwenye mzigo wa kuuza wiki ukimaliza si ndo ushaingia mgomoni tayari?.
 
Saa nyingine jaribu kutumia akili.
Futa hedhi wewe kabla ya kupanua domo lako.
CHADEMA wanahusika vipi na biashara za Kkoo?
Kwa mantiki hiyo unasema CHADEMA hawahusiki na Biashara za Kariakoo, manake ndicho unachokipinga, au kwa lugha nyingine, unapinga kwa sababu nimesema CHADEMA ni Wafanyabiashara Kariakoo?
Kuna tatizo hapo
Maoni yako ni ya kipumbavu.
Kusema 'maoni yangu' ni ya kipumbavu haina maana yeyote ile, zaidi ya wewe kutaka kunifedhehesha. Utashindwa tu
Sio kila kitu unaleta siasa. CHADEMA hawahusiki na hili na wala hawajatoa tamko lolote.
Umemsikia Lissu akigusia suala hili? rejea bandiko langu. Umewasikia wabunge bungeni wakiyasema haya? rejea bandiko langu. Umemsoma ERYTHROCYTE CHADEMA wa kindakindaki hapa Jamvini akigusia haya? again, rejea bandiko langu au Ukome kuja na hedhi zako na chupi mkononi, isitoshe unaonyesha hujui hata maana ya "maoni yangu"

CHADEMA kutotoa tamko lelote haufanyi suala hili kutokuwa na chemichemi za Kisiasa. Hatahivyo, kwa jinsi ulivyojitokeza na madai yako, na nitarudia, Kwa maoni yangu ni sawa na kabaha anayepayuka hadharani kwa hasira huku akiwa ameshika chupi mkononi yenye alama za hedhi na mitiririko mapajani kuwa huku akimaka na sauti kubwa kuwa nimekimbia tendo la ndoa! Osha mdomo wako.


 
Back
Top Bottom