Elections 2015 Mgogoro wa UKAWA kuhamia bungeni, Antropia Theoneste akwaa Viti Maalum

Elections 2015 Mgogoro wa UKAWA kuhamia bungeni, Antropia Theoneste akwaa Viti Maalum

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Katika kuthibitisha ule usemi wa wananchi wengi kuwa UKAWA ni genge la wapiga deal inaonekana mnyukano wa kugawana vyeo umeanza rasmi kabla hata ya kikao cha bunge.

CUF wanalalamikia Anatropia yule dada aliyewakosesha Jimbo la Segerea baada ya kukomaa mwanzo mwisho kutetea haki yake kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum.

Kimsingi jimbo hilo lilitakiwa kumsimamisha mtu wa CHADEMA ingawa Mtatiro akataka kutia fitna lakini huyu mwanadada akakomaa na baadae kuiacha njia nyeupe kwa mgombea wa CCM.


UPDATES.

Nimetonywa kuwa mgawanyo wa viti maalum ndani ya CHADEMA ndio umeleta mtifuano mkali zaidi.

Watu wanalalamika kukatwa bila sababu.

Watu wanalalamikia nguvu walizotumia kuipambania CHADEMA lakini wamekatwa na baadhi ya waliopata hawakuwahi kuwa kwenye harakati mbalimbali za CHADEMA.
 
Mnakesha mkiomba dua mbaya ukawa haifi na kwa Taarifa yako Mtatiro na CUF hakuna mwenye kinyongo na Mtu na hayo ni miongoni mwa mapungufu ambayo wana ukawa wamekubali na kuzika tofauti zao subirini bakora tu Bungeni,Halmashauri,vyuoni,kazini yani ni bakora tu
 
Mnakesha mkiomba dua mbaya ukawa haifi na kwa Taarifa yako Mtatiro na CUF hakuna mwenye kinyongo na Mtu na hayo ni miongoni mwa mapungufu ambayo wana ukawa wamekubali na kuzika tofauti zao subirini bakora tu Bungeni,Halmashauri,vyuoni,kazini yani ni bakora tu
Mna ahadi za matumaini kila kukicha
 
Usikurupuke Julius Mtatiro Kama siku tano zilizopita kupitia Facebook alipendekeza Antropia ateuliwe ubunge wa viti Maalumu,siasa sio ajira ndugu kubwa jinga.
 
Last edited by a moderator:
Usikurupuke Julius Mtatiro Kama siku tano zilizopita kupitia Facebook alipendekeza Antropia ateuliwe ubunge wa viti Maalumu,siasa sio ajira ndugu kubwa jinga.

Kuandika facebook haimaanishi kinyongo kimeisha.

Si mlisema huu mgogoro wa jimbo la segerea umetatuliwa..?nini kilijiri baadaye
 
Last edited by a moderator:
Mtatiro mwenyewe alipendekeza, huyu jamaa ni zaidi ya umjuavyo. Atakuja kuwa rais wako.

Mtatiro huyu aliyeukosa urais wa UDSM au?
Pengine angekubali kuanzia harakati zake chadema angefika mbali
 
Hata Mimi sidhani MTU aliyegharimu jimbo kupewe viti maalumu, kama hilo ni kweli na hatutapewa maelezo yoyote ya kutetea uamuzi huo NITAJITOA UKAWA Mara moja.

na mm ntakuunga mkono, huyu dada nmemchukia kweli km chadema inashindwa kuwachukulia hatua kali watu km hawa, ikulu itapasikia redioni. nina mashaka alihongwa na ccm. Ukifuatilia vzr uchaguz wa Ilala, segelea, kgamboni na mbagala, km UKAWA wangekua na umoja kweli, ccm wasingepata hata jimbo moja Dar
 
Hata Mimi sidhani MTU aliyegharimu jimbo kupewe viti maalumu, kama hilo ni kweli na hatutapewa maelezo yoyote ya kutetea uamuzi huo NITAJITOA UKAWA Mara moja.

Kwa hili ukawa wamefanya ujinga kwahyo wanapenda tabia hizi za antropia. Uteuzi umenibore huu
 
Mambo ya nyumba ya jirani yanakuwasha wakati yako huyawez.... ID yako inafanana na ulicho post hapa.... hujui hata nini kilitokea na juhudu alizo chukua yule dada ku make sure jina lake halirudi toka NEC ....
 
Kweli chadema ina wenyewe yani huyo mdada pamoja na kulalamikiwa na makamanda wenzenu bado mna mpa ubunge?
Huyo antropia atakua chakla cha wakubwa,
anyway mtatiro yuko fresh ,nimemkubali baada ya kukubali matokeo bila kuleta longolongo,
 
Back
Top Bottom