jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Katika kuthibitisha ule usemi wa wananchi wengi kuwa UKAWA ni genge la wapiga deal inaonekana mnyukano wa kugawana vyeo umeanza rasmi kabla hata ya kikao cha bunge.
CUF wanalalamikia Anatropia yule dada aliyewakosesha Jimbo la Segerea baada ya kukomaa mwanzo mwisho kutetea haki yake kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum.
Kimsingi jimbo hilo lilitakiwa kumsimamisha mtu wa CHADEMA ingawa Mtatiro akataka kutia fitna lakini huyu mwanadada akakomaa na baadae kuiacha njia nyeupe kwa mgombea wa CCM.
UPDATES.
Nimetonywa kuwa mgawanyo wa viti maalum ndani ya CHADEMA ndio umeleta mtifuano mkali zaidi.
Watu wanalalamika kukatwa bila sababu.
Watu wanalalamikia nguvu walizotumia kuipambania CHADEMA lakini wamekatwa na baadhi ya waliopata hawakuwahi kuwa kwenye harakati mbalimbali za CHADEMA.
CUF wanalalamikia Anatropia yule dada aliyewakosesha Jimbo la Segerea baada ya kukomaa mwanzo mwisho kutetea haki yake kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum.
Kimsingi jimbo hilo lilitakiwa kumsimamisha mtu wa CHADEMA ingawa Mtatiro akataka kutia fitna lakini huyu mwanadada akakomaa na baadae kuiacha njia nyeupe kwa mgombea wa CCM.
UPDATES.
Nimetonywa kuwa mgawanyo wa viti maalum ndani ya CHADEMA ndio umeleta mtifuano mkali zaidi.
Watu wanalalamika kukatwa bila sababu.
Watu wanalalamikia nguvu walizotumia kuipambania CHADEMA lakini wamekatwa na baadhi ya waliopata hawakuwahi kuwa kwenye harakati mbalimbali za CHADEMA.