Mgogoro wa Ukraine na Urusi unapima akili za Waafrika

Mgogoro wa Ukraine na Urusi unapima akili za Waafrika

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.

Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) TU bila kutumia akili zao.

Wazungu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa afrika ni urusi na China kuliko watu wa Ulaya magharibi na Marekani. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa waafrika kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata Sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi za magharibi, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.
 
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.
Aisee Saa nyingine inakuwa vigumu kuelewa mtu kama wewe unafikiria vipi. Yaani unajiona wewe una kasoro ya kuwa Binadamu kamili kwa sababu gani?

Mzungu, hamjali Mwafrika yeyote yule na hilo lipo wazi.

Kwanza mtu kama wewe ndie unaejifariji kuwa wanakujali wakati huo huo unajiona kama haujakamilika kama Binadamu. Kuna tatizo mahali. Nani anayekufanya ujione uko nusu Binadamu? Nini kimekusibu?
 
Yaani haya ni matusi ya wazi wazi na ya Kijumla.Mtakivuna mnachokipanda.
 
Kuwaunga mkono Urusi kwa sababu walisaida harakati za uhuru ni "zilipendwa"
Hizo ndizo akili za mwafrika. Hii vita ni vita ya urusi/china na Marekani kwa maslahi ya Marekani,, Ulaya Magharibi inamuunga mkono Marekani kwasababu za kihistoria tu.

Wazungu wa magharibi na wale wote wanounga mkono Marekani walipata kusaidiwa na Marekani huko nyuma. Lakini Waafrika wamesahau aliyewasaidia huko nyuma. Tuko kama nyani rafiki yetu ni yule anaetutupia ndizi Sasa leoleo.
 
Aisee Saa nyingine inakuwa vigumu kuelewa mtu kama wewe unafikiria vipi. Yaani unajiona wewe una kasoro ya kuwa Binadamu kamili kwa sababu gani...
Wazungu wanamuona mwafrika kama mtu ambae hajafikia uwezo wa kiakili kama walivyo wao kutokana na matendo yetu.

Nikupe mfano ambao wewe utaufahamu kutokana na akili yako. Kwenye nchi yenye watu 60m Mwanasaiasa atapitaje bila kupingwa kwenye uchaguzi na hali ikabakia kuwa shwari mitaani? akili ni hizi kama zako
 
Kuilazimisha nchi iliyoko huru na kuichagulia iwe upande gani katika huu mgogoro pia ni zaidi ya ukoloni mambo leo.
Hakuna nchi iliyolazimishwa kuunga nchi fulani mkono, Africa ndio inalalamika au kuogopa itanyimwa misaada ikiunga mkono uvamizi wa Urusi. Yani kuna Waafrika wanataka waunge mkono Urusi huku wakiendelea kupata faida zilezile wanazozipata kutoka West!
 
Wazungu wanamuona mwafrika kama mtu ambae hajafikia uwezo wa kiakili kama walivyo wao kutokana na matendo yetu. Nikupe mfano ambao wewe utaufahamu kutokana na akili yako. Kwenye nchi yenye watu 60m Mwanasaiasa atapitaje bila kupingwa kwenye uchaguzi na hali ikabakia kuwa shwari mitaani? akili ni hizi kama zako
Hapana, ni Akili kama za Moderators wa JF na wewe.
 
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.
Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) TU bila kutumia akili zao.

Wazungu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa afrika ni urusi na China kuliko watu wa Ulaya magharibi na Marekani. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa waafrika kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata Sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi za magharibi, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi Yao.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi Cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.
Ninafikiri tuwe upande wenye masilahi kwetu, not necessarily historia.
 
Hizo ndizo akili za mwafrika. Hii vita ni vita ya urusi/china na Marekani kwa maslahi ya Marekani,, Ulaya Magharibi inamuunga mkono Marekani kwasababu za kihistoria TU. Wazungu wa magharibi na wale wote wanounga mkono Marekani walipata kusaidiwa na Marekani huko nyuma. Lakini Waafrika wamesahau aliyewasaidia huko nyuma. Tuko kama nyani rafiki yetu ni yule anaetutupia ndizi Sasa leoleo.
Marekani pia ilisaidia kupatikana kwa uhuru Africa Kusini ilipoamua kuiwekea vikwazo serikali ya Makaburu.
Pia China wako katika mahusiano mazuri na Marekani kwa sasa, wanafanya biashara kubwa pamoja na pia China iko na Trillion za $ katika reserves zake na imenunua bonds za mabilioni za serikali ya Marekani(kwa maneno mengine China ndiye mkopeshaji mkubwa zaidi wa US kwa sasa baada ya Japan!)
 
Mwafrika anaongelea tumboni kwakuwa ubongo wake ni tegemezi. Anashindwa kusema HAPANA hata kama hapendi na anashindwa kusema NDIYo hata kama anataka kwa kuhofia kunyimwa ndizi. Matumbo ndio yanayoongea na kuamua kwa mtindo wa uchawa.
 
Hapana, ni Akili kama za Moderators wa JF na wewe.
Kipimo halisi Cha akili kinaonekana kwenye mahusiano kati ya mtu na mtu. Bila kujali dini, kabila, rangi, Wala taifa kwenye mahusioano lazima kuwe na win-win na lose-lose kwa pande zote. Hakuna ubendera fuata upepo.

Mwafrika lazima ajue kuwa siku ya kutawaliwa tena physically, mentally na socially na wazungu haiko mbali sana. Na chombo kitakachotumika kufanikisha kutawaliwa physically ni NATO. Nchi za Magharibi zitajitwalia makoloni kwa msaada wa NATO kinachosubiriwa TU ni kuanguka kwa "wajamaa" na dunia kubakia unipolar. Kibaya zaidi waafrika hatuna akili hizo za kuona mbali, tunashangilia kurushiwa ndizi na mikate leoleo. Bado tuna akili zilezile za akina mangungo wa zama zile ila Sasa tuna neo mangungo.
 
.
20230509_170908.jpg
 
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.

Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) TU bila kutumia akili zao.

Wazungu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa afrika ni urusi na China kuliko watu wa Ulaya magharibi na Marekani. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa waafrika kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata Sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi za magharibi, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.
Kha! Mjomba, Nani kasema tena hayo au hilo umeliibua kutoka wapi kaka? Komaa na hali yako. Waache hao wapimane wenyewe katika mgogoro wao. Wewe katafute pesa cku iwe yenye kheri na amani kwako.
 
Kipimo halisi Cha akili kinaonekana kwenye mahusiano kati ya mtu na mtu. Bila kujali dini, kabila, rangi, Wala taifa kwenye mahusioano lazima kuwe na win-win na lose-lose kwa pande zote. Hakuna ubendera fuata upepo.

Mwafrika lazima ajue kuwa siku ya kutawaliwa tena physically, mentally na socially na wazungu haiko mbali sana. Na chombo kitakachotumika kufanikisha kutawaliwa physically ni NATO. Nchi za Magharibi zitajitwalia makoloni kwa msaada wa NATO kinachosubiriwa TU ni kuanguka kwa "wajamaa" na dunia kubakia unipolar. Kibaya zaidi waafrika hatuna akili hizo za kuona mbali, tunashangilia kurushiwa ndizi na mikate leoleo. Bado tuna akili zilezile za akina mangungo wa zama zile ila Sasa tuna neo mangungo.
Tafadhali sana wacha kunirushia matusi . Koma kabisa. Shika adabu

Na Ulegee popote Ulipo. Utaumia.

Utajwachinjwa bure .
 
Kha! Mjomba, Nani kasema tena hayo au hilo umeliibua kutoka wapi kaka? Komaa na hali yako. Waache hao wapimane wenyewe katika mgogoro wao. Wewe katafute pesa cku iwe yenye kheri na amani kwako.
Huna insight, unadhani haikuhusu, na hiyo ndio akili ya waafrika wengi. Wanaendeshwa na matukio mpaka liwafike. Uwezo wetu wa kufikiria critically ni mdogo sana. Mzungu anasafirisha mchanga hadi Ulaya lakini watu hawashituki. Neo mangungolism.
 
Back
Top Bottom