Mgogoro wa Ukraine na Urusi unapima akili za Waafrika

Mgogoro wa Ukraine na Urusi unapima akili za Waafrika

Hizo ndizo akili za mwafrika. Hii vita ni vita ya urusi/china na Marekani kwa maslahi ya Marekani,, Ulaya Magharibi inamuunga mkono Marekani kwasababu za kihistoria tu.

Wazungu wa magharibi na wale wote wanounga mkono Marekani walipata kusaidiwa na Marekani huko nyuma. Lakini Waafrika wamesahau aliyewasaidia huko nyuma. Tuko kama nyani rafiki yetu ni yule anaetutupia ndizi Sasa leoleo.
Wewe ni hopeless kabisa.
Unataka kuzilazimisha nchi zote za Afrika zisimame upande wa Urusi dhidi ya Ukraine.
Kwa nini Urusi ameivamia nchi ya Ukraine na kuikalia kimabavu!
Je Urusi anatofauti gani na wale waliotuvamia na kututawala enzi zile?
IMG_20230212_031009.jpg
 
Wewe mleta mada ni pimbi ulieshiba viazi unatafuta njaa kwa kuleta mada za kipuuzi.

Hivi hao wajamaa zako unaowatetea si ndio wanaongoza kwa kugawana Africa nyakati hizi? China kafanya nini huko Zambia, Kenya na sehemu kibao tu anatamani ardhi ya Africa iwe jamuhuri ya China.

Wajamaa wamejaa mambo ya kizamani kuchukua ardhi za watu wengine kwa nguvu.
Harafu naongezea kwa kumuuliza swali hivi! Ni kwa nini Urusi ameivamia na kuikalia kwa mabavu nchi ya Ukraine?
Je huu siyo ukoloni?
Mpaka hapo Urusi keshavunja mkataba wa umoja wa mataifa unaopiga marufuku nchi moja kuivamia nchi nyingine na kuikalia kimabavu.
Akumbuke kwamba Saddam Husein naye aliivamia Kuwait na kuikalia kimabavu lakini Baba wa Dunia Marekani akishirikiana na nchi washirika waliweza kumtoa mvamizi.
 
Kuwaunga mkono Urusi kwa sababu walisaida harakati za uhuru ni "zilipendwa"
West walivyoitawala Africa Kwa ukoloni na kuua,kuiba na kutuuza utumwani ni sio zilipwndwa ni sawa? Ngombe sana ww🚮
 
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.

Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) TU bila kutumia akili zao.

Wazungu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa afrika ni urusi na China kuliko watu wa Ulaya magharibi na Marekani. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa waafrika kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata Sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi za magharibi, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.
Hofu ya kukosa, na hofu ya kuchukiwa! Ibaki wazi tokea kutawaliwa imebaki sumu yakuwa tegemezi na kutoka kwenye mtego huo ni swala la kujitoa sadaka pasipo kuhofia upande wowote!
 
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.

Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) TU bila kutumia akili zao.

Wazungu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa afrika ni urusi na China kuliko watu wa Ulaya magharibi na Marekani. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa waafrika kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata Sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi za magharibi, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.

Kavulata,

Ume generalize mno jamaa yangu Kavulata! Kuna nchi nyingi za Kiafrica zimepata uhuru pasipo msaada wa Urusi. Kumbuka Nchi nyingi za Kiafrica zimepata Uhuru miaka ya 60, ( Cameron, Togo, Madagascar, The Democtric Republic of Congo,Somalia Benin Niger,Burikina Faso, Ivory Coast,Chad, The Central Africa Republic,Gabon, Senegal, Mali, Nigeria) January hadi Dec 1960 kulikuwa na nchi kama 17 hivi zilikuwa zimejipatia Uhuru bila msaada wa Urusi na kulikuwa na sababu nyingi hata za ndani za nchi hizo kuachilia Makoloni yao pia.

Mrusi Kaingia baadaye kabisa miaka ya 80, na unauona mkono wake kwa Mataifa ambayo hayakupata uhuru miaka 60 Kama Zimbabwe, Angola, Mozambique, Namibia na South Africa. Kwa Kifupi mchango wa Urusi ni kwa nchi chache sana, Huu ni ukweli wa Kihistoria. Na hata Mrusi kuingia Zimbabwe na Angola ni baadhi ya Wananchi wa Nchi hizo kugawanyika wao wenyewe wafuate mfumo gani. In short influence ya Urusi inaanza miaka ya 80.

Na unaposema " Wazungu wanajua rafiki mkubwa wa Africa ni Urusi na China kuliko watu wa Ulaya Magharibi na Marekani" Sielewi una Maana gani, labda ungefafanua....maana nchi kama China interest yake kubwa kwa Africa imeanza miaka ya 90, ukiondoa nchi kama Tanzania kujengewa reli ya Tazara (1970) labda Ghana kipindi cha Nkurumah... Hivyo ni Wazungu wa wapi Hasa unaowazungumza?

Labda iweke sawa mada yako, kuna propaganda nyingi mno kila upande, lakini mojawapo ya propaganda inayoazagaa kwa baadhi ya Waafrica kuwa China na Urusi ni rafiki wa kweli wa Africa, bila kujua naye pia anataitafuta Africa kwa maslahi yao.
 
proRussia wengi hawajui hata historia rahisi sana, wanajiandikia kwa kubwatuka tu.
Kavulata,

Ume generalize mno jamaa yangu Kavulata! Kuna nchi nyingi za Kiafrica zimepata uhuru pasipo msaada wa Urusi. Kumbuka Nchi nyingi za Kiafrica zimepata Uhuru miaka ya 60, ( Cameron, Togo, Madagascar, The Democtric Republic of Congo,Somalia Benin Niger,Burikina Faso, Ivory Coast,Chad, The Central Africa Republic,Gabon, Senegal, Mali, Nigeria) January hadi Dec 1960 kulikuwa na nchi kama 17 hivi zilikuwa zimejipatia Uhuru bila msaada wa Urusi na kulikuwa na sababu nyingi hata za ndani za nchi hizo kuachilia Makoloni yao pia.

Mrusi Kaingia baadaye kabisa miaka ya 80, na unauona mkono wake kwa Mataifa ambayo hayakupata uhuru miaka 60 Kama Zimbabwe, Angola, Mozambique, Namibia na South Africa. Kwa Kifupi mchango wa Urusi ni kwa nchi chache sana, Huu ni ukweli wa Kihistoria. Na hata Mrusi kuingia Zimbabwe na Angola ni baadhi ya Wananchi wa Nchi hizo kugawanyika wao wenyewe wafuate mfumo gani. In short influence ya Urusi inaanza miaka ya 80.

Na unaposema " Wazungu wanajua rafiki mkubwa wa Africa ni Urusi na China kuliko watu wa Ulaya Magharibi na Marekani" Sielewi una Maana gani, labda ungefafanua....maana nchi kama China interest yake kubwa kwa Africa imeanza miaka ya 90, ukiondoa nchi kama Tanzania kujengewa reli ya Tazara (1970) labda Ghana kipindi cha Nkurumah... Hivyo ni Wazungu wa wapi Hasa unaowazungumza?

Labda iweke sawa mada yako, kuna propaganda nyingi mno kila upande, lakini mojawapo ya propaganda inayoazagaa kwa baadhi ya Waafrica kuwa China na Urusi ni rafiki wa kweli wa Africa, bila kujua naye pia anataitafuta Africa kwa maslahi yao.
 
proRussia wengi hawajui hata historia rahisi sana, wanajiandikia kwa kubwatuka tu.
Yoda,

Jamaa wengi hawajui Historia, na bila kujitambua kwamba wamemezwa na Propaganda tu, au kutoka na chuki zao dhidi ya Nchi za magharibi wanaondoa hata ufahamu wa Historia na kukosa objectivity. Kuanzia enzi za Lenin kipindi cha USSR, interest ya Urusi ilikuwa ndogo mno Africa, focus yao yote ilikuwa kueneza Socialism ulaya ambako ndio ilikua mizizi ya Capitalism, Afrika ilikuwa ni makoloni tu na hakukua kabisa na hao "proletarians" ambao wanaweza kuleta mapinduzi yoyote yale.

Urusi (USSR) ya akina Nikita Khrushchev ndio hasa ilianza kuonyesha interests baadaye kuanzisha Patrice Lumumba People" Friendship University miaka ya 60, kumbuka kuwa nchi nyingi tayari zimekuwa zimejipatia uhuru, huku influences za Magharibi zilikuwa tayari zimejikita Africa.
 
Kuilazimisha nchi iliyoko huru na kuichagulia iwe upande gani katika huu mgogoro pia ni zaidi ya ukoloni mambo leo.
Ukiwa huru si sabab ya kuunga mkono uhalifu , katetee mwiz anapokuwa anapigwa uone
 
Wazungu wanamuona mwafrika kama mtu ambae hajafikia uwezo wa kiakili kama walivyo wao kutokana na matendo yetu.

Nikupe mfano ambao wewe utaufahamu kutokana na akili yako. Kwenye nchi yenye watu 60m Mwanasaiasa atapitaje bila kupingwa kwenye uchaguzi na hali ikabakia kuwa shwari mitaani? akili ni hizi kama zako
Huyo anakupinga nae ndo wale wale , mchele kutoka 2400 hadi 3200 na mijitu inakenua mtaan anaupiga mwing
 
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.

Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) TU bila kutumia akili zao.

Wazungu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa afrika ni urusi na China kuliko watu wa Ulaya magharibi na Marekani. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa waafrika kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata Sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi za magharibi, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.
Hivi Bado unajihisi wewe si binadamu kamili??
 
Kipimo halisi Cha akili kinaonekana kwenye mahusiano kati ya mtu na mtu. Bila kujali dini, kabila, rangi, Wala taifa kwenye mahusioano lazima kuwe na win-win na lose-lose kwa pande zote. Hakuna ubendera fuata upepo.

Mwafrika lazima ajue kuwa siku ya kutawaliwa tena physically, mentally na socially na wazungu haiko mbali sana. Na chombo kitakachotumika kufanikisha kutawaliwa physically ni NATO. Nchi za Magharibi zitajitwalia makoloni kwa msaada wa NATO kinachosubiriwa TU ni kuanguka kwa "wajamaa" na dunia kubakia unipolar. Kibaya zaidi waafrika hatuna akili hizo za kuona mbali, tunashangilia kurushiwa ndizi na mikate leoleo. Bado tuna akili zilezile za akina mangungo wa zama zile ila Sasa tuna neo mangungo.
Kwamba hawa wachina waliyoifunga afrika kwa mikataba mibovu ya kuweka bond sehem nyeti za nchi , hawa hawana mpango wa kututawala ila wazungu ambao kwa miongo sasa walijiweka mbali sana na bara la afrika wao ndo tuwahofie watatuwala ?
 
Wewe ni hopeless kabisa.
Unataka kuzilazimisha nchi zote za Afrika zisimame upande wa Urusi dhidi ya Ukraine.
Kwa nini Urusi ameivamia nchi ya Ukraine na kuikalia kimabavu!
Je Urusi anatofauti gani na wale waliotuvamia na kututawala enzi zile?View attachment 2625337
Ndo maana wanasema waafrika Wana ubongo ambao bado unaendelea kukua, bado ni dhaifu kwenye kufikiria critically, just next to baboon. Kwani anachofanya urusi kina tofauti gani na kilichofanyw Iraq, Syria, Libya, Yugoslavia, nk.
 
Hata nyani unapomtupia ndizi na mikate anafikiria utaendelea kumtupia ndizi kila siku. Tangu tupate Uhuru wazungu wamekuwa wakitutupia ndizi mpaka kukidhani kuwa bila wao tutakufa kesho asubuhi. Hivyo tunalindana tusiwaudhi Wala kuwasema vibaya. Wazungu wanatuambia kuwa kwao hakuna free lunch lakini mwafrika haelewi msemo huo. Hatutaki kulipa kodi Wala kukusanya Kodi ila Tunataka kuomba TU. Misaada tunayopewa ama inaishia kwenye matumbo ya viongozi au fedha zinarudi uswis kufichwa na viongozi wetu.
Umekomaa na wanaotupa misaada ambayo ni hiari yetu pia kupokea au raah ila huwagusi hawa wachina wanaweka rehan sehem nyeti zetu ili watupe mikopo yenye riba kubwa ili tushindwe wapokonye miradi , hawa kwako ni watu wema
 
Kavulata,

Ume generalize mno jamaa yangu Kavulata! Kuna nchi nyingi za Kiafrica zimepata uhuru pasipo msaada wa Urusi. Kumbuka Nchi nyingi za Kiafrica zimepata Uhuru miaka ya 60, ( Cameron, Togo, Madagascar, The Democtric Republic of Congo,Somalia Benin Niger,Burikina Faso, Ivory Coast,Chad, The Central Africa Republic,Gabon, Senegal, Mali, Nigeria) January hadi Dec 1960 kulikuwa na nchi kama 17 hivi zilikuwa zimejipatia Uhuru bila msaada wa Urusi na kulikuwa na sababu nyingi hata za ndani za nchi hizo kuachilia Makoloni yao pia.

Mrusi Kaingia baadaye kabisa miaka ya 80, na unauona mkono wake kwa Mataifa ambayo hayakupata uhuru miaka 60 Kama Zimbabwe, Angola, Mozambique, Namibia na South Africa. Kwa Kifupi mchango wa Urusi ni kwa nchi chache sana, Huu ni ukweli wa Kihistoria. Na hata Mrusi kuingia Zimbabwe na Angola ni baadhi ya Wananchi wa Nchi hizo kugawanyika wao wenyewe wafuate mfumo gani. In short influence ya Urusi inaanza miaka ya 80.

Na unaposema " Wazungu wanajua rafiki mkubwa wa Africa ni Urusi na China kuliko watu wa Ulaya Magharibi na Marekani" Sielewi una Maana gani, labda ungefafanua....maana nchi kama China interest yake kubwa kwa Africa imeanza miaka ya 90, ukiondoa nchi kama Tanzania kujengewa reli ya Tazara (1970) labda Ghana kipindi cha Nkurumah... Hivyo ni Wazungu wa wapi Hasa unaowazungumza?

Labda iweke sawa mada yako, kuna propaganda nyingi mno kila upande, lakini mojawapo ya propaganda inayoazagaa kwa baadhi ya Waafrica kuwa China na Urusi ni rafiki wa kweli wa Africa, bila kujua naye pia anataitafuta Africa kwa maslahi yao.
Cassavaleaves:

Umenena vema kwa kiwango chako. Hata hivyo hizo nchi ambazo unasema zimesaidiwa na urusi kwenye ukombozi wao je, unaujua msimamo wao kwenye hii vita? Je, zimejitokeza hadharani kusema sisi tunUnga upende huu? Lakini ziko nchi za Afrika ambazo pia zilisaidia nchi nyingine za Afrika kupata Uhuru kwa kusaidiwa na urusi na China la sivyo zisingeweza peke Yao kufanikisha ukombozi wa nchi hizo. Je, na hizo nchi zilizosaidiwa na urusi kimbinu, kisilaha na kifesha kwenye mapambano ya kuzikomboa nchi nyingine umezisikia zinasema nini juu ya mzozo huo? Ni waoga kusema wako upande gani kwa kuogopa kuacha kutupiwa ndizi na west, cowards.

Sifa za binadamu kamili ni yule anaeweza kusimamia ukweli hata kama kufanya hivyo kunaweza kuwa mwisho wa uhai wake. Mitume, manabii na wanasayansi wa kweli walikuwa tayari kukatwa vichwa vyao kwa kusimamia kile wanachokiamini, na walikatwa vichwa kweli lakini hawakuyumba. Kama sio misimamo kama hiyo Leo hii kusingekuwa na dini hizi, Wala sayansi hizi.
 
Harafu naongezea kwa kumuuliza swali hivi! Ni kwa nini Urusi ameivamia na kuikalia kwa mabavu nchi ya Ukraine?
Je huu siyo ukoloni?
Mpaka hapo Urusi keshavunja mkataba wa umoja wa mataifa unaopiga marufuku nchi moja kuivamia nchi nyingine na kuikalia kimabavu.
Akumbuke kwamba Saddam Husein naye aliivamia Kuwait na kuikalia kimabavu lakini Baba wa Dunia Marekani akishirikiana na nchi washirika waliweza kumtoa mvamizi.
Inaonekana kuwa huna unachokifahamu kuhusu huu mzozo wa Ukraine. Chimbuko halisi la mgogoro ni NATO/Marekani kuinyemelea urusi. Ujio wa zeelensky madarakani ni kwa njia ya Marekani. Majimbo yenye watu wanaozungumza kirusi Dombas hayajamchagua zeelensky, hivyo zeelensky akaamua kufuta lugha ya kirusi Ukraine nzima na elimu yote itolewe kwa lugha ya kiukraine. Wanaozungumza kirusi waligoma mpango huo hivyo wakaona Bora wajitenge na Ukraine itakayozungumza kiukraine. Baada ya zeelensky kuona hivyo akaamza kuwatwanga kwa msaada wa west, na hapo ndipo Putin akaamua kuwaunga mkono Russian speaking people wasiuae.
 
Hofu ya kukosa, na hofu ya kuchukiwa! Ibaki wazi tokea kutawaliwa imebaki sumu yakuwa tegemezi na kutoka kwenye mtego huo ni swala la kujitoa sadaka pasipo kuhofia upande wowote!
Akili zetu tunajofia kukosa mikopo, misaada na watalii. Na hofu nyingine ni viongozi kupigwa marufuku kukanyanga west, hofu nyingine kuu kupita zote ni kuihofia kuyakosa madaraka ealiyonayo. Yaani west kuunga mkono waasi, wapinzani, nk.
 
Cassavaleaves:

Umenena vema kwa kiwango chako. Hata hivyo hizo nchi ambazo unasema zimesaidiwa na urusi kwenye ukombozi wao je, unaujua msimamo wao kwenye hii vita? Je, zimejitokeza hadharani kusema sisi tunUnga upende huu? Lakini ziko nchi za Afrika ambazo pia zilisaidia nchi nyingine za Afrika kupata Uhuru kwa kusaidiwa na urusi na China la sivyo zisingeweza peke Yao kufanikisha ukombozi wa nchi hizo. Je, na hizo nchi zilizosaidiwa na urusi kimbinu, kisilaha na kifesha kwenye mapambano ya kuzikomboa nchi nyingine umezisikia zinasema nini juu ya mzozo huo? Ni waoga kusema wako upande gani kwa kuogopa kuacha kutupiwa ndizi na west, cowards.

Sifa za binadamu kamili ni yule anaeweza kusimamia ukweli hata kama kufanya hivyo kunaweza kuwa mwisho wa uhai wake. Mitume, manabii na wanasayansi wa kweli walikuwa tayari kukatwa vichwa vyao kwa kusimamia kile wanachokiamini, na walikatwa vichwa kweli lakini hawakuyumba. Kama sio misimamo kama hiyo Leo hii kusingekuwa na dini hizi, Wala sayansi hizi.
Kavulata,

Mbona unaleta mada kama kijana wa kijiweni? Au ndio kiwango chako cha kufikiri kimegota hapo! Historia iko wazi mno nchi nyingi za Kiafrika zilipata uhuru wao miaka ya 60! Wakati China imevaa nepi inapambana na hali yake. Ni baada ya kufariki kwa Mao (1976) ndio ilipoanza kubalehe! hii economic reforms iliyoiondoa China pale ilipokuwepo ni ya 1978 jana tu. Ndio maana misaada ya China kuzisadia nchi za Kiafrica ni za miaka 1980. Kumbuka mradi mkubwa uliofanyika Africa na China kwa Africa ni reli ya TAZARA, mpaka walipojitambua na kuanza kutoa mikopo hii ya kausha damu!

Na unapozungumzia Urusi, historia iko wazi engagement kubwa ni miaka 1980 tu, maana hata huko Congo ilikuwa ni kung"ang'ania na West. Hivyo misaada ya Urusi katika ukombozi ni nchi chache ambazo hazikuwa chini ya Mwingereza ukiondoa Zimbabwe.

Sina muda wa kuijadili mada yako " Mgogoro wa Urusi na Ukraine unapima akili za Wafrika" hauleweki kabisa unataka kusema nini......! Labda wana bodi wengine watakusaidia kufafanua ili iweze kueleweka.
 
Kavulata,

Mbona unaleta mada kama kijana wa kijiweni? Au ndio kiwango chako cha kufikiri kimegota hapo! Historia iko wazi mno nchi nyingi za Kiafrika zilipata uhuru wao miaka ya 60! Wakati China imevaa nepi inapambana na hali yake. Ni baada ya kufariki kwa Mao (1976) ndio ilipoanza kubalehe! hii economic reforms iliyoiondoa China pale ilipokuwepo ni ya 1978 jana tu. Ndio maana misaada ya China kuzisadia nchi za Kiafrica ni za miaka 1980. Kumbuka mradi mkubwa uliofanyika Africa na China kwa Africa ni reli ya TAZARA, mpaka walipojitambua na kuanza kutoa mikopo hii ya kausha damu!

Na unapozungumzia Urusi, historia iko wazi engagement kubwa ni miaka 1980 tu, maana hata huko Congo ilikuwa ni kung"ang'ania na West. Hivyo misaada ya Urusi katika ukombozi ni nchi chache ambazo hazikuwa chini ya Mwingereza ukiondoa Zimbabwe.

Sina muda wa kuijadili mada yako " Mgogoro wa Urusi na Ukraine unapima akili za Wafrika" hauleweki kabisa unataka kusema nini......! Labda wana bodi wengine watakusaidia kufafanua ili iweze kueleweka.
Ndugu yangu cassavaleaves unaongea kivulana zaidi na ki pro west. Reli ya tazara ilijengwa na China kama sehemu ya kusaidia ukombozi wa nchi za kusini lakini hata hizo nchi Leo hii haziko wazi kuhusu Taiwan. Lakini bila checks and balances dunia hii itakuwa sehemu ambayo haikaliki, Soviet ndio iliyokuwa ikifanya kazi ya checks and balances kwa nchi za Marekani na West (NATO), baada ya Soviet kufa Sasa kazi hiyo inafanywa na China na Russia na baadae BRICS sooner. Hizi ndizi na jibini tunazorushiwa zisitubaishe na kusahau historia, ukweli na mwenendo wa dunia unakoelekea. Ni mtu mjinga na mpumbavu TU ndie asiyefahamu kuwa NATO itakuja kutumika kunyakua nchi zetu tena na kuzitawala upya kama china na urusi zitacollapse kijeshi na kiuchumi.
 
Ndugu yangu cassavaleaves unaongea kivulana zaidi na ki pro west. Reli ya tazara ilijengwa na China kama sehemu ya kusaidia ukombozi wa nchi za kusini lakini hata hizo nchi Leo hii haziko wazi kuhusu Taiwan. Lakini bila checks and balances dunia hii itakuwa sehemu ambayo haikaliki, Soviet ndio iliyokuwa ikifanya kazi ya checks and balances kwa nchi za Marekani na West (NATO), baada ya Soviet kufa Sasa kazi hiyo inafanywa na China na Russia na baadae BRICS sooner. Hizi ndizi na jibini tunazorushiwa zisitubaishe na kusahau historia, ukweli na mwenendo wa dunia unakoelekea. Ni mtu mjinga na mpumbavu TU ndie asiyefahamu kuwa NATO itakuja kutumika kunyakua nchi zetu tena na kuzitawala upya kama china na urusi zitacollapse kijeshi na kiuchumi.

Ila mtu mwenye akili ndiye anajua BRICS itakuja kutukomboa? Na unaposema nazungumzia "Ki Pro West zaidi" Wewe unazungumzia Ki pro What?.....Labda nikuulize kutokana mada yako, Je kupimwa kiakili au kufaulu huo Mtihani wa uliousema, ni ku Support URUSI au Ukraine? Are you serious unajua dunia inaelekeza wapi wewe! Let me be specific, hivi nchi za Kiafrica zinajua kweli zinaelekewa wapi? Unadhani China na Urusi ndio zitaleta hiyo Check and balance ulimwenguni? Au ni kuburuzwa kwingine tu!

Jifunze kufikiri na kujiuliza maswali magumu, ndio utajua kwa nini hata nchi nyingi zilizopata misaada au direct support toka Russia ziko kimya au hazionyeshi misimamo ya wazi wazi kwa vita vya Ukraine/Russia hata Taiwan, usidhani ni wajinga na wapumbavu, ni realistic, hawako kwenye hiyo ideal world iliyoko kichwani kwako na mbayo haitakuwepo ulimwenguni.
 
Back
Top Bottom