Mgogoro wa Ukraine na Urusi unapima akili za Waafrika

Mgogoro wa Ukraine na Urusi unapima akili za Waafrika

Ila mtu mwenye akili ndiye anajua BRICS itakuja kutukomboa? Na unaposema nazungumzia "Ki Pro West zaidi" Wewe unazungumzia Ki pro What?.....Labda nikuulize kutokana mada yako, Je kupimwa kiakili au kufaulu huo Mtihani wa uliousema, ni ku Support URUSI au Ukraine? Are you serious unajua dunia inaelekeza wapi wewe! Let me be specific, hivi nchi za Kiafrica zinajua kweli zinaelekewa wapi? Unadhani China na Urusi ndio zitaleta hiyo Check and balance ulimwenguni? Au ni kuburuzwa kwingine tu!

Jifunze kufikiri na kujiuliza maswali magumu, ndio utajua kwa nini hata nchi nyingi zilizopata misaada au direct support toka Russia ziko kimya au hazionyeshi misimamo ya wazi wazi kwa vita vya Ukraine/Russia hata Taiwan, usidhani ni wajinga na wapumbavu, ni realistic, hawako kwenye hiyo ideal world iliyoko kichwani kwako na mbayo haitakuwepo ulimwenguni.


"Ni mtu mjinga na mpumbavu TU ndie asiyefahamu kuwa NATO itakuja kutumika kunyakua nchi zetu tena na kuzitawala upya kama china na urusi zitacollapse kijeshi na kiuchumi."

Kweli uko mbali mno kiufahamu! Hivi unataka tutawaliwe mara ngapi!? Hivi bado unadhani Africa tuna uhuru kweli! Ni aibu kwa mtu kama wewe kutamka maneno kama hayo! Nadhani ni mpumbavu na mjinga asiyeijua hali yake halisi! Karne hii hatutawaliwa na mizinga na nguvu za kijeshi! Haya ndio matatizo ya kutoyatambua maradhi yetu! Unaumwa Cancer unaitibu kwa Panadol......Africa tuna safari ndefu sana......Kavulata wewe ni msomi kama ulivyodai kama unavyodai katika mada zako nyingi.....sasa kweli tutafika kama msomi kama wewe unashindwa kujua Africa tuko wapi!

Berlin conference ( 1884-1885) ya kuigawanya Africa inafanyika tena mbele yetu na agents wengine tunashindwa kuiona...Kwa hiyo mategemeo yako umejenga kwa Mrusi na mchina....Pole sana!.
 
"Ni mtu mjinga na mpumbavu TU ndie asiyefahamu kuwa NATO itakuja kutumika kunyakua nchi zetu tena na kuzitawala upya kama china na urusi zitacollapse kijeshi na kiuchumi."

Kweli uko mbali mno kiufahamu! Hivi unataka tutawaliwe mara ngapi!? Hivi bado unadhani Africa tuna uhuru kweli! Ni aibu kwa mtu kama wewe kutamka maneno kama hayo! Nadhani ni mpumbavu na mjinga asiyeijua hali yake halisi! Karne hii hatutawaliwa na mizinga na nguvu za kijeshi! Haya ndio matatizo ya kutoyatambua maradhi yetu! Unaumwa Cancer unaitibu kwa Panadol......Africa tuna safari ndefu sana......Kavulata wewe ni msomi kama ulivyodai kama unavyodai katika mada zako nyingi.....sasa kweli tutafika kama msomi kama wewe unashindwa kujua Africa tuko wapi!

Berlin conference ( 1884-1885) ya kuigawanya Africa inafanyika tena mbele yetu na agents wengine tunashindwa kuiona...Kwa hiyo mategemeo yako umejenga kwa Mrusi na mchina....Pole sana!.
Daah! Kaka njaa ni kitu kibaya sana, najua kuwa njaa imekufanya ujisalimishe mwenyewe kwao. Sio mbaya nafahamu kuwa huwezi kuukata mkono unaokulisha. Lakini sisi tunasema haijaisha mpaka iishe.
 
Daah! Kaka njaa ni kitu kibaya sana, najua kuwa njaa imekufanya ujisalimishe mwenyewe kwao. Sio mbaya nafahamu kuwa huwezi kuukata mkono unaokulisha. Lakini sisi tunasema haijaisha mpaka iishe.
Nakushangaa unayesema Afrika tutachukuliwa "uhuru: wetu.....kama ungelikuwepo ungeleta mada hii...?
 
Nchi zetu zinaogopa kuwekewa vikwazo na nchi za Magharibi, woga wa vikwazo ndio upunguvu wa akili wenyewe. Mtu mwenyewe akili timamu anaruka vikwazo kwa kutumia akili zake. Tukiwa watoto jirani yetu alikuwa akituchapata tukila mapera yake kwenye mpera wake mmoja. Baba yetu ikamuudhi hiyo hivyo akapanda shamba la mipera ili watoto wake wasinyanyaswe na jirani, tulivumilia kwa muda TU wakati mipera yetu inakua kabla ya kuzaa. Baba hakupanda mipera TU bali alipanda na matunda mengine ambayo jirani yule hakuwa nayo. Baada ya miaka 3 sisi tukawa na variety ya matunda tena mengi sana na ya kuuza pia. Wakati tunasubiri matunda yetu tuelendelea kula mapera kutoka kwa marafiki wengine wapya na wazamani ambao walikuwa na mapera pia. Hii ndio akili timamu ya baba wa familia badala ya kunung'ukia vikwazo vya jirani kwa wanawe kula mapera.

Wazungu hawana kila kitu kama vile waafrika wasivyokuwa na kila kitu pia, ila Waafrika tunazunguukana wenyewe kwa wenyewe kwa kutumia divide and rule. Hatuna akili sawasawa na nyumbu 200 wenye mapembe marefu wanavyomkimbia fisi mmoja TU.
 
Nchi zetu zinaogopa kuwekewa vikwazo na nchi za Magharibi, woga wa vikwazo ndio upunguvu wa akili wenyewe. Mtu mwenyewe akili timamu anaruka vikwazo kwa kutumia akili zake. Tukiwa watoto jirani yetu alikuwa akituchapata tukila mapera yake kwenye mpera wake mmoja. Baba yetu ikamuudhi hiyo hivyo akapanda shamba la mipera ili watoto wake wasinyanyaswe na jirani, tulivumilia kwa muda TU wakati mipera yetu inakua kabla ya kuzaa. Baba hakupanda mipera TU bali alipanda na matunda mengine ambayo jirani yule hakuwa nayo. Baada ya miaka 3 sisi tukawa na variety ya matunda tena mengi sana na ya kuuza pia. Wakati tunasubiri matunda yetu tuelendelea kula mapera kutoka kwa marafiki wengine wapya na wazamani ambao walikuwa na mapera pia. Hii ndio akili timamu ya baba wa familia badala ya kunung'ukia vikwazo vya jirani kwa wanawe kula mapera.

Wazungu hawana kila kitu kama vile waafrika wasivyokuwa na kila kitu pia, ila Waafrika tunazunguukana wenyewe kwa wenyewe kwa kutumia divide and rule. Hatuna akili sawasawa na nyumbu 200 wenye mapembe marefu wanavyomkimbia fisi mmoja TU.

Kavulata,

Nakubaliana na wewe kwa sehemu, lakini sikubalina na wewe kwamba Africa tuko hapa tulipo " kwa kuzungukana wenyewe kwa kutumia divide and rule" Matatizo yetu ni mazito mno, kuliko ulivyoyaweka, ( ndio maana huwa nakwambia unatumia Panadol kutibu Cancer iliyotambaa mwilini) Maana kwa mtu anayetafakari kwa kina matatizo katika nchi za Kiaafrica, utaona kwamba ingawa tuko katika kipindi cha modern age, Africa in real sense bado tuko kwenye "stone age" katika kila nyanja, hasa katika kutatua matatizo yanayotukabili!

Ukitumia uchambuzi wa WW Rostow (Five stages of economic growth)Ingawa nadharia yake inaweza kuwa na mapungufu, bado Africa imekwama kwenye Ujima "Traditional Society" Kimawazo na jinsi ya kupambana na changamoto zetu! Pale pale watu weupe walipowakuta mababu zetu miaka ya 1800 ndipo hapo hapo tulipokwama leo! Unaweza kuwasemehe mababu zetu kwa kurubuniwa na shanga, gololi, na kioo, lakini leo ni viongozi ambao wamepitia vyuo vikuu, na kudai wameelimika wanarubuniwa vibaya kuliko mababu zetu waliokuwa wanatoka mapangoni! Matatizo yetu is more than divide and rule!

Huwa nashindwa mno kuwalaumu wazungu kama ndio kiini cha matatizo yetu! Nawasikiliza akina Brian Kagoro, Lumumba na Pan Africanists wengine huwa naona wanazunguka mbuyu tu, maana kila tatizo Africa ni Western World, bila kukubali (kwa mtazamo wangu) Kuna tatito kubwa katika genes ya Waafrica ambayo bado hatujaipatia dawa!
 
Kavulata,

Nakubaliana na wewe kwa sehemu, lakini sikubalina na wewe kwamba Africa tuko hapa tulipo " kwa kuzungukana wenyewe kwa kutumia divide and rule" Matatizo yetu ni mazito mno, kuliko ulivyoyaweka, ( ndio maana huwa nakwambia unatumia Panadol kutibu Cancer iliyotambaa mwilini) Maana kwa mtu anayetafakari kwa kina matatizo katika nchi za Kiaafrica, utaona kwamba ingawa tuko katika kipindi cha modern age, Africa in real sense bado tuko kwenye "stone age" katika kila nyanja, hasa katika kutatua matatizo yanayotukabili!

Ukitumia uchambuzi wa WW Rostow (Five stages of economic growth)Ingawa nadharia yake inaweza kuwa na mapungufu, bado Africa imekwama kwenye Ujima "Traditional Society" Kimawazo na jinsi ya kupambana na changamoto zetu! Pale pale watu weupe walipowakuta mababu zetu miaka ya 1800 ndipo hapo hapo tulipokwama leo! Unaweza kuwasemehe mababu zetu kwa kurubuniwa na shanga, gololi, na kioo, lakini leo ni viongozi ambao wamepitia vyuo vikuu, na kudai wameelimika wanarubuniwa vibaya kuliko mababu zetu waliokuwa wanatoka mapangoni! Matatizo yetu is more than divide and rule!

Huwa nashindwa mno kuwalaumu wazungu kama ndio kiini cha matatizo yetu! Nawasikiliza akina Brian Kagoro, Lumumba na Pan Africanists wengine huwa naona wanazunguka mbuyu tu, maana kila tatizo Africa ni Western World, bila kukubali (kwa mtazamo wangu) Kuna tatito kubwa katika genes ya Waafrica ambayo bado hatujaipatia dawa!
Well said, lakini ambacho hukifahamu kuhusu Western world ni kwamba sababu zile zilizowafanya watafute makoloni ya kutawala bado wanazo hadi leo. Walitafuta makoloni ili kupata mali ghafi za viwanda vyao, kupata nguvukazi rahisi na kupata masoko ya kuuzia bidhaa zao. Hadi Leo hii wanahakikisha kuwa vitu hivyo 3 wanavipata utake usitake. Mpaka Leo hii wao ndio wanamiliki WTO, WB na IMF, wanapanga bei za bidhaa zako na bidhaa zao pia, wanapanga ubora wa bidhaa zako, wanahamisha nguvukazi yetu yenye akili na nguvu kwa njia mbalimbali za hila ikiwemo Ile ya green card kwenda kwao na uwekezaji kwenye nchi zinazoendelea ili kupata cheaper labor. Watakuchagulia viongozi wenu watakaolinda maslahi yao na kuwaondoa wale wanaojitambua.

Watatumia misaada kwa njia ya divide and rule, yaani kiongozi anaejitambua hapati msaada na recognition kutoka West na kumkumbatia kiongozi anaetimiza maslahi yao hata kama anakula watu.

Sio kwamba nchi za Afrika zilipewa Uhuru kwasababu wazungu Wana huruma au tumewazidi nguvu, lahasha, wameondoka kwakuwa walipata njia nyingine modern za kupata malighafi, nguvukazi rahisi na masoko.
 
Well said, lakini ambacho hukifahamu kuhusu Western world ni kwamba sababu zile zilizowafanya watafute makoloni ya kutawala bado wanazo hadi leo. Walitafuta makoloni ili kupata mali ghafi za viwanda vyao, kupata nguvukazi rahisi na kupata masoko ya kuuzia bidhaa zao. Hadi Leo hii wanahakikisha kuwa vitu hivyo 3 wanavipata utake usitake. Mpaka Leo hii wao ndio wanamiliki WTO, WB na IMF, wanapanga bei za bidhaa zako na bidhaa zao pia, wanapanga ubora wa bidhaa zako, wanahamisha nguvukazi yetu yenye akili na nguvu kwa njia mbalimbali za hila ikiwemo Ile ya green card kwenda kwao na uwekezaji kwenye nchi zinazoendelea ili kupata cheaper labor. Watakuchagulia viongozi wenu watakaolinda maslahi yao na kuwaondoa wale wanaojitambua.

Watatumia misaada kwa njia ya divide and rule, yaani kiongozi anaejitambua hapati msaada na recognition kutoka West na kumkumbatia kiongozi anaetimiza maslahi yao hata kama anakula watu.

Sio kwamba nchi za Afrika zilipewa Uhuru kwasababu wazungu Wana huruma au tumewazidi nguvu, lahasha, wameondoka kwakuwa walipata njia nyingine modern za kupata malighafi, nguvukazi rahisi na masoko.

Kavulata, utakua hauko dunia ya leo kutojua interests zinazosukuma Western World na Eastern World....Iwe Marekani, Uingereza China, Urusi, India, Japan...Kila nchi inasukumwa na maslahi yake, na hilo sio kosa hata kidogo! Kila binadamu anaanza kuangali maslahi kwanza yake ili kuishi, hakuna atakaye angalia maslahi yako! Darwin aliweka wazi .." It is not the strongest of the species that survives, not the most inteligent that survives.It the most adaptable to change" Africa imegoma kuwa adaptable to change! Tumebakiwa na mawazo ya Kijima.....Critical thinking haipo, tumeimbishwa western world! western world... miaka na miaka......kila kuikicha!

La kusikitisha mno ni kwamba Africa inaonekana imeshindwa kusoma somo hilo! Wakati Western Wold wanakuja na mbinu mbali mbali, na China nao wanakuja kwa staili mpya, Africa imebakia inatambaa.....most of our problems ni zile zile .....Wanachukua madini yetu....Wanatupangia bei mali ghafi zetu....Wanachukua nguvu kazi zetu au cheap labour through Green card! Wanatumia divide and rule....! Nipe mkakati wowote ule ambao umewahi kuuisikia toka OAU ilipoanzishwa May 1963 na hata ilipojigeuza gwanda na AU 2002! Kupambana na matatizo hayo.... Watakuwa na agenda mbali mbali na matamko ya kila aina, lakini wanazunguka mduari tu!

Nchi au species yoyote inayoweza ku survive ni le ambayo iko tayari kubadilika (most adaptable to change) Hata nchi yako pendwa China imefanya hivyo. Africa unayoililia bado sana ndugu yangu Kavulata! Na hii stahili yako unayoitoa inaonyesha mzungu na sasa mchina watatutawala miaka mingine 1000!
 
Kavulata, utakua hauko dunia ya leo kutojua interests zinazosukuma Western World na Eastern World....Iwe Marekani, Uingereza China, Urusi, India, Japan...Kila nchi inasukumwa na maslahi yake, na hilo sio kosa hata kidogo! Kila binadamu anaanza kuangali maslahi kwanza yake ili kuishi, hakuna atakaye angalia maslahi yako! Darwin aliweka wazi .." It is not the strongest of the species that survives, not the most inteligent that survives.It the most adaptable to change" Africa imegoma kuwa adaptable to change! Tumebakiwa na mawazo ya Kijima.....Critical thinking haipo, tumeimbishwa western world! western world... miaka na miaka......kila kuikicha!

La kusikitisha mno ni kwamba Africa inaonekana imeshindwa kusoma somo hilo! Wakati Western Wold wanakuja na mbinu mbali mbali, na China nao wanakuja kwa staili mpya, Africa imebakia inatambaa.....most of our problems ni zile zile .....Wanachukua madini yetu....Wanatupangia bei mali ghafi zetu....Wanachukua nguvu kazi zetu au cheap labour through Green card! Wanatumia divide and rule....! Nipe mkakati wowote ule ambao umewahi kuuisikia toka OAU ilipoanzishwa May 1963 na hata ilipojigeuza gwanda na AU 2002! Kupambana na matatizo hayo.... Watakuwa na agenda mbali mbali na matamko ya kila aina, lakini wanazunguka mduari tu!

Nchi au species yoyote inayoweza ku survive ni le ambayo iko tayari kubadilika (most adaptable to change) Hata nchi yako pendwa China imefanya hivyo. Africa unayoililia bado sana ndugu yangu Kavulata! Na hii stahili yako unayoitoa inaonyesha mzungu na sasa mchina watatutawala miaka mingine 1000!
Ni kweli maslahi ya hizi nchi ndio driving force ya kila kitu wanachokifanya, mbele ya maslahi yao hakuna rafiki mzuri au mbaya. Inafahamika kuwa wao hawana Chabure hata kimoja. Hivyo wakikupa msaada, mkopo, green card, na chochote kile watizame machoni mwao utaiona dhamira Yao. Hii dunia ni rahisi sana lakini ukitaka makubwa utaina is so complex. Wako watu wanazijenga nchi nyingine kwa mikono na akili zao kwa kisingizio Cha maslahi.

Tunachohitaji ni mizania TU , checks and balances za dunia ziwe sawa la sivyo kila nchi inasukumwa na maslahi yake. Waafrika hawalipi Kodi, hawakusanyi Kodi na wanakula Kodi bila woga na kusababisha huduma mbovu kwa walipa kodi.

Nchi za magharibi ni mbaya zaidi kuliko za mashariki kwasababu zinauficha ubaya wao ndani ya makasha ya wema.
 
Dunia lazima igawanyike kwenye pande hata kama hutaki. Inaweza kugawanyika kati maskini na matajiri, Waislam na wakristo, weusi na weupe, west and east, malofa na wajanja au NATO na BRICS. Kuna siku walevu wote wako ama NATO au BRICS na wapumbavu wakabaki katikati. Huwezi kuwa pande zote kwa wakati mmoja na huwezi kuwa huna upande.
 
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.

Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) TU bila kutumia akili zao.

Wazungu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa afrika ni urusi na China kuliko watu wa Ulaya magharibi na Marekani. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa waafrika kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata Sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi za magharibi, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.
Wanaounga mkono Russia ni wale watu dizaini ya cominisim au patriotism lakin waafrica mabepar wote wako upande wa West mkuu fuatilia. Sizungumzii nchi ila watu mmojamoja. Kingine mzungu hatutawali anatuongoza kupitia watu aliowaseti miaka mingi kwenye system kupitia zile anasikia scholarship au ufadhili wa kampein za uchaguz. Na hawa watu wana nguvu za kila idara ya maisha yetu. Ukiona daimond platinum ameshinda cjui nini huko juu isifikir kashinda kimakosa. Hawa wazungu wako makin sana na watu wenye influence kwenye jamii. Kwahiyo walishatuwahi hakuna namna. Nafasi pekee uliyonayo jitahd utafute hela kwa bidii zote ili wakikushinda kwenye teknolojia na military na culture basi ukute angalau una financial freedom ambayo unaweza kuseti wanao kuelekea unakotaka. Hii imperialism ya West haitakufa leo wala kesho kama watu wanavyotudanganya cjui Marekan inaporomoka. Labda miaka mia mbili ijayo coz sasa hiv ndio kwanza wazungu wanaanza kuonja ushindani wa kweli so mpaka wafike kukubali kushindwa kabisa na vita viwalazimishe na kwa jinsi walivyowamix akili. Na ukizingatia watu wengi masikin wako tayari kuipigania hizo nchi kwa malipo ni ngumu.
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.

Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) TU bila kutumia akili zao.

Wazungu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa afrika ni urusi na China kuliko watu wa Ulaya magharibi na Marekani. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa waafrika kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata Sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi za magharibi, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.
 
Ni kweli maslahi ya hizi nchi ndio driving force ya kila kitu wanachokifanya, mbele ya maslahi yao hakuna rafiki mzuri au mbaya. Inafahamika kuwa wao hawana Chabure hata kimoja. Hivyo wakikupa msaada, mkopo, green card, na chochote kile watizame machoni mwao utaiona dhamira Yao. Hii dunia ni rahisi sana lakini ukitaka makubwa utaina is so complex. Wako watu wanazijenga nchi nyingine kwa mikono na akili zao kwa kisingizio Cha maslahi.

Tunachohitaji ni mizania TU , checks and balances za dunia ziwe sawa la sivyo kila nchi inasukumwa na maslahi yake. Waafrika hawalipi Kodi, hawakusanyi Kodi na wanakula Kodi bila woga na kusababisha huduma mbovu kwa walipa kodi.

Nchi za magharibi ni mbaya zaidi kuliko za mashariki kwasababu zinauficha ubaya wao ndani ya makasha ya wema.

Kavulata,

Hivi akili ya Waafrika itapimwa mara ngapi? Angalia hatujui hata ukweli wa Mkataba wa Bandari, na unasema kuhusu Maslahi....Nadhani sasa unaona wazi katika mikataba kama hiyo nani anatafuta maslahi....Ni heri hata kujenga mahali ambapo pana kidhi maslahi yangu binafsi katika maisha yangu haya mafupi, kuliko wale ambao "wanadai" wanaangalia maslahi ya nchi, au ambao tuwewapa kuangalia maslahi ya nchi kumbe wao wanaangalia maslahi yao! Hii ndio sababu nchi nyingi za Kiafrica ziko hapo zilipo leo, hakuna mkono wa Mabeberu hapo, ni akili ya mwafrica iko kazini!

Ndugu yangu Kavulata akili ya mwafrica ishapimwa au imejionyesha wazi iko kiwango gani toka tujipatie uhuru wetu miaka ya 60.

- Kama bado tunachimbiwa mashimo ya choo miaka 60 toka tupate Uhuru.....Unataka tupimwe akili mara ngapi hasa!

NO DECENT HOUSE WITHOUT A TOILET​

Our goal of improving 100 million lives by 2025 is directly in line with the Tanzanian government’s objective of enhancing sanitation coverage from its current 62% to 85%, while also eradicating open defecation. To achieve this, the government introduced the National Sanitation Campaign known as the ‘ NYUMBA NI CHOO’ which means ‘There’s no decent house without a decent toilet.

To support this initiative, SATO partnered with the Ministry of Health (MOH) through WaterAid Tanzania and UNICEF. (School Toilet Enhacement Programme) STEP
 
Dunia lazima igawanyike kwenye pande hata kama hutaki. Inaweza kugawanyika kati maskini na matajiri, Waislam na wakristo, weusi na weupe, west and east, malofa na wajanja au NATO na BRICS. Kuna siku walevu wote wako ama NATO au BRICS na wapumbavu wakabaki katikati. Huwezi kuwa pande zote kwa wakati mmoja na huwezi kuwa huna upande.

Kavulata,

Akili ya mwafrica, kama hatujajitambua mpaka leo, tutanyonwa tu! Tuwe upande wa NATO au BRICS haisaidii kitu! Nikuulize Non Alignment Countries (NAM) Iliyoanzishwa miaka ya 60 iliishia wapi? Ilifanikiwa nini? Ilileta mabadiliko yoyote kiuchumu! ilifanya chochote kuleta mapinduzi ya Teknolojia katika dunia ya tatu hasa Africa? Tutapigwa kulia kushoto mpaka tujitambue!
 
Well said, lakini ambacho hukifahamu kuhusu Western world ni kwamba sababu zile zilizowafanya watafute makoloni ya kutawala bado wanazo hadi leo. Walitafuta makoloni ili kupata mali ghafi za viwanda vyao, kupata nguvukazi rahisi na kupata masoko ya kuuzia bidhaa zao. Hadi Leo hii wanahakikisha kuwa vitu hivyo 3 wanavipata utake usitake. Mpaka Leo hii wao ndio wanamiliki WTO, WB na IMF, wanapanga bei za bidhaa zako na bidhaa zao pia, wanapanga ubora wa bidhaa zako, wanahamisha nguvukazi yetu yenye akili na nguvu kwa njia mbalimbali za hila ikiwemo Ile ya green card kwenda kwao na uwekezaji kwenye nchi zinazoendelea ili kupata cheaper labor. Watakuchagulia viongozi wenu watakaolinda maslahi yao na kuwaondoa wale wanaojitambua.

Watatumia misaada kwa njia ya divide and rule, yaani kiongozi anaejitambua hapati msaada na recognition kutoka West na kumkumbatia kiongozi anaetimiza maslahi yao hata kama anakula watu.

Sio kwamba nchi za Afrika zilipewa Uhuru kwasababu wazungu Wana huruma au tumewazidi nguvu, lahasha, wameondoka kwakuwa walipata njia nyingine modern za kupata malighafi, nguvukazi rahisi na masoko.

Kavulata,

Hoja zako zinathibitisha wazi uzwazwa wa akili za Mwafrica, tunajua malengo ya WTO, WB, IFM sasa sisi tumefanya nini kwa kuyatambua madhumuni ya vyombo hivyo! Umesema wao wamepata njia nyingine "modern" za kupata malighafi, nguvu kazi rahisi na masoko, Sasa Africa mpaka leo baada ya kupata uhuru wetu miaka 60 iliyopita, kwa nini tumeshindwa kupata njia " modern" za kutumia malighafi zetu! nguvu kazi zetu! na hata masoko ya bidhaa zetu! Sasa ni nani wa kumlaumu! Tuna dhahabu, pamba, almasi, Uranium, Iron nk tumeishia kutengeza guta! Na mikokoteni!

Wenzetu wanavuta nguvu kazi kwa njia mbali mbali, Greencard, Scholarships, investments nk...Sisi tunaleta Wachina kuuza maua ya plastic Kariakoo!

Ni nani kawapa Mabeberu akili za kubuni njia "modern" ya kuendeleza mafanikio yao! Na nani kamnyima Mwafrica kufikiri! Unasema wanatumia "Divide and Rule" ili watutawale, kwa nini Africa tumeshindwa kutumia hiyo silaha ya "Divide and Rule" kuigawanya NATO na Western World kwa ujumla!

Jifunze kujiuliza maswali kama haya, unaweza kupata majibu!
 
Kavulata,

Hoja zako zinathibitisha wazi uzwazwa wa akili za Mwafrica, tunajua malengo ya WTO, WB, IFM sasa sisi tumefanya nini kwa kuyatambua madhumuni ya vyombo hivyo! Umesema wao wamepata njia nyingine "modern" za kupata malighafi, nguvu kazi rahisi na masoko, Sasa Africa mpaka leo baada ya kupata uhuru wetu miaka 60 iliyopita, kwa nini tumeshindwa kupata njia " modern" za kutumia malighafi zetu! nguvu kazi zetu! na hata masoko ya bidhaa zetu! Sasa ni nani wa kumlaumu! Tuna dhahabu, pamba, almasi, Uranium, Iron nk tumeishia kutengeza guta! Na mikokoteni!

Wenzetu wanavuta nguvu kazi kwa njia mbali mbali, Greencard, Scholarships, investments nk...Sisi tunaleta Wachina kuuza maua ya plastic Kariakoo!

Ni nani kawapa Mabeberu akili za kubuni njia "modern" ya kuendeleza mafanikio yao! Na nani kamnyima Mwafrica kufikiri! Unasema wanatumia "Divide and Rule" ili watutawale, kwa nini Africa tumeshindwa kutumia hiyo silaha ya "Divide and Rule" kuigawanya NATO na Western World kwa ujumla!

Jifunze kujiuliza maswali kama haya, unaweza kupata majibu!

Kavulata,

Naomba utafakari sana nukuu hii ya Dawrin:

" It is not the strongest of the species that survives, not the most intelligent that survives. It the most adaptable to change"
 
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.

Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) TU bila kutumia akili zao.

Wazungu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa afrika ni urusi na China kuliko watu wa Ulaya magharibi na Marekani. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa waafrika kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata Sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi za magharibi, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.

Kavulata,

Unataka kujua akili za Waafrica soma uzi huo, tuliisha pimwa siku nyingi sana! Kina Mobutu, Nguema, Edema, na wengine kama hao wametuwakilisha vyema kupima akili zetu!

How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite​

 
Kavulata,

Hivi akili ya Waafrika itapimwa mara ngapi? Angalia hatujui hata ukweli wa Mkataba wa Bandari, na unasema kuhusu Maslahi....Nadhani sasa unaona wazi katika mikataba kama hiyo nani anatafuta maslahi....Ni heri hata kujenga mahali ambapo pana kidhi maslahi yangu binafsi katika maisha yangu haya mafupi, kuliko wale ambao "wanadai" wanaangalia maslahi ya nchi, au ambao tuwewapa kuangalia maslahi ya nchi kumbe wao wanaangalia maslahi yao! Hii ndio sababu nchi nyingi za Kiafrica ziko hapo zilipo leo, hakuna mkono wa Mabeberu hapo, ni akili ya mwafrica iko kazini!

Ndugu yangu Kavulata akili ya mwafrica ishapimwa au imejionyesha wazi iko kiwango gani toka tujipatie uhuru wetu miaka ya 60.

- Kama bado tunachimbiwa mashimo ya choo miaka 60 toka tupate Uhuru.....Unataka tupimwe akili mara ngapi hasa!

NO DECENT HOUSE WITHOUT A TOILET​

Our goal of improving 100 million lives by 2025 is directly in line with the Tanzanian government’s objective of enhancing sanitation coverage from its current 62% to 85%, while also eradicating open defecation. To achieve this, the government introduced the National Sanitation Campaign known as the ‘ NYUMBA NI CHOO’ which means ‘There’s no decent house without a decent toilet.

To support this initiative, SATO partnered with the Ministry of Health (MOH) through WaterAid Tanzania and UNICEF. (School Toilet Enhacement Programme) STEP
Sifa kubwa ya Wamarekani na West ni kukataa kuzikimbia nchi zao kuwakimbia watawala wabaya kwao, wanapambana na watawala kudai wanachokitaka wakiwa humohumo kwenye nchi hata ikiwalazimu kupoteza uhai wa baadhi yao kitu wanachokiita "stand for your right". Hii ni tofauti na vijana wetu kutoka Afrika, wao wanatafuta read made solutions kwa kuzisaliti nchi zao na kukimbilia ndizi na jibini kwenye nchi nyingine, na huu ndio udhaifu wa akili zetu wa kuangalia matumbo na njaa zetu za muda mfupi na kusahau kuwajengea mustakabali vizazi na vizazi vyao vijavyo kwenye taifa lao.
 
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.

Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) TU bila kutumia akili zao.

Wazungu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa afrika ni urusi na China kuliko watu wa Ulaya magharibi na Marekani. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa waafrika kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata Sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi za magharibi, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.
Mimi nahitaji arv za bure kutoka Marekani na Magharibi FULL STOP. Urusi na wanaomuunga mkono wapite kule....Hizo land cruiser zote unazoziona zenye plate number za DFP nyingi pia ubavuni zimeandikwa USAID( miradi inayofadhiliwa kwa pesa za walipa kodi wa Marekani) Sasa huyo Russia ana faida gani kwangu zaidi kutamanisha waafrika waende huko wakirudi Africa wamekuwa walevi wakutupwa.
 
Mimi nahitaji arv za bure kutoka Marekani na Magharibi FULL STOP. Urusi na wanaomuunga mkono wapite kule....Hizo land cruiser zote unazoziona zenye plate number za DFP nyingi pia ubavuni zimeandikwa USAID( miradi inayofadhiliwa kwa pesa za walipa kodi wa Marekani) Sasa huyo Russia ana faida gani kwangu zaidi kutamanisha waafrika waende huko wakirudi Africa wamekuwa walevi wakutupwa.
Umerogwa!!! Hiyo misaada sio misaada bali utekelezaji na ufanikishaji wa mambo Yao kwa kutumia misaada kupitia USAID, IMF, WB, WTO, na mashirika mengine.
 
Umerogwa!!! Hiyo misaada sio misaada bali utekelezaji na ufanikishaji wa mambo Yao kwa kutumia misaada kupitia USAID, IMF, WB, WTO, na mashirika mengine.

Kavulata, huwa unanifurahisha sana! Sasa kama unajua" sio misaada ni bali ni utekelezaji wa mambo yao" Sasa kwa nini nchi za Kiafrica zinachukua misaada hiyo! Zimelogwa? ama ni mapunguani" Na rudia tena, tuna miaka kama 60 toka nchi za Kiafrica zijipatie uhuru! Huu udumavu wa akili utakwisha lini! ? Najua unalo jibu.....! Na ukweli unauma!v
 
Back
Top Bottom