Mgogoro wa Ukraine na Urusi unapima akili za Waafrika

Mgogoro wa Ukraine na Urusi unapima akili za Waafrika

Sifa kubwa ya Wamarekani na West ni kukataa kuzikimbia nchi zao kuwakimbia watawala wabaya kwao, wanapambana na watawala kudai wanachokitaka wakiwa humohumo kwenye nchi hata ikiwalazimu kupoteza uhai wa baadhi yao kitu wanachokiita "stand for your right". Hii ni tofauti na vijana wetu kutoka Afrika, wao wanatafuta read made solutions kwa kuzisaliti nchi zao na kukimbilia ndizi na jibini kwenye nchi nyingine, na huu ndio udhaifu wa akili zetu wa kuangalia matumbo na njaa zetu za muda mfupi na kusahau kuwajengea mustakabali vizazi na vizazi vyao vijavyo kwenye taifa lao.

Kavulata, ngoja nikurahishie point zako ambazo unashindwa kuziweka vizuri.. unaposema " Hii ni tofauti na vijana wetu kutoka Africa, wao wanatafuta ready made solutions kwa kuzisaliti nchi zao...." Hivi unawatenga vipi vijana wa Kiafrica na viongozi wao, tena waliochaguliwa kwa maelfu ya kura, wanaowasaliti wananchi wao kwa ufisadi, mikataba mibovu, ubadhirifu nk! Ni nani hasa msaliti Kavulata! Mbona unakua kama mbuni uliyeingiza kichwa ndani ya udongo ukidhani huonekani!

Naomba ujiulize tena, ni nani hasa anayeisaliti nchi za Kiafrica kama sio hao viongozi wanaosaini mikataba ya kuja kuchimbiwa vyoo! Sijui uko katika msimamo upi katika swala la bandari Tanzania, Watanzania baadhi wanaona ni usaliti wa hali juu katika mkataba huo! Kama ni kweli miaka 100 kuweka bandari rehani inatisha! Nasema kama ni kweli! Ila kwako kijana aliyekuja Marekani kutafuta unafuu wa maisha yake na familia yake, kwako ndio msaliti wa Nchi.....Ufahamu wako unatisha!

Ninaweza kukupa mifano mingi, maana ya Tanzania unaijua sana, unajua ubadhirifu alioufanya Jacob Zuma, au ubadhirifu alioufanya Jose Santos kumwacha binti ya Milionea, au mwanamapinduzi wako Robert Mugabe ambaye kila kukicha unaona lindi la utajiri wake! Na list ndefu sana...! Hao ndio wasaliti! Wewe umekuwa kipofu na ubongo wako umekosa kufikiri kama umeshindwa kujua ni nani hasa msaliti Africa!

Mitazamo kama hiyo itafanya Africa isifike popote! Maana hujui kabisa kiini ya matatizo yetu na jinsi ya kuyatatua!
 
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.

Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) TU bila kutumia akili zao.

Wazungu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa afrika ni urusi na China kuliko watu wa Ulaya magharibi na Marekani. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa waafrika kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata Sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi za magharibi, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.

Kavulata,

Afrika iliisha pimwa akili siku nyingi! Najua hupendi kumeza hicho kidonge kichungu. Toka babu yako na babu yangu waliposhindwa kumzuia mtu mwenye ngozi nyeupe, awe mzungu, mwarabu, mreno au yoyote aliposhuka pwani ya Africa miaka 1800, tayari waliisha tuwekea msingi wa kushindwa na imekua vigumu kubadili mwelekeo huo!

Walipotuletea dini nyingine na kubadili dini za kienyeji, walipotuletea mfumo wa elimu na kuondoa elimu za jadi, walipotupa vigezo vipya vya kupima maendeleo au maana ya maendeleo ni nini, Waafrica tayari tuliisha pigwa ngwala kubwa kubwa katika fikra zetu, na ni ukombozi wa fikra tu ndio unaoweza kututoa hapa!

Ila kinachoumiza zaidi ni kwa watu kama wewe unayedhani ni Mchina na Mrusi ndiye ataketupa msaada! Bila kujua tunajiingiza katika utumwa wa mtu mweupe bila kujua ni wale wale tu!
 
Umerogwa!!! Hiyo misaada sio misaada bali utekelezaji na ufanikishaji wa mambo Yao kwa kutumia misaada kupitia USAID, IMF, WB, WTO, na mashirika mengine.
Kwa hiyo Bora Russia anaetupa nn kwa mfano sisi kama nchi masikini?
 
Kavulata, huwa unanifurahisha sana! Sasa kama unajua" sio misaada ni bali ni utekelezaji wa mambo yao" Sasa kwa nini nchi za Kiafrica zinachukua misaada hiyo! Zimelogwa? ama ni mapunguani" Na rudia tena, tuna miaka kama 60 toka nchi za Kiafrica zijipatie uhuru! Huu udumavu wa akili utakwisha lini! ? Najua unalo jibu.....! Na ukweli unauma!v
udumavu huu sio wa bahati mbaya wala wa kujitakia kaka, ni man made. Kama "mkoloni" amejimilikisha masoko kupiyia WTO, amemiliki mitaji kupitia IMF na WB, amemiliki politics zote kupitia UN wewe mwafrika utauzia wapi bidhaa zako na kwa bei gani? kiongozi wa afrika anaejitambua hadumu madarakani na yule asiyejitambua atadumu madarakani milele hata kama ni dikteta. Kaka unahitaji maombi!!
 
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.

Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) TU bila kutumia akili zao.

Wazungu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa afrika ni urusi na China kuliko watu wa Ulaya magharibi na Marekani. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa waafrika kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata Sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi za magharibi, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.


Kavulata,

Kutokana na nukuu Africa inashindwa kumuunga mkono mrusi sababu ya kutupiwa ndizi na western countries, hivi huyu Sergey Lavrov anatafuta nini Africa? Unajua toka Vita vianze na Ukraine katembelea Africa mara ngapi! Unajua naye anatupa nini? Kama Western wanatupia nchi za Africa ndizi, Urussi inajaribu kutupa mapera ili iungwe mkono!

Kwa kifupi Urussi imejikuta imechelewa sana kuwa na influence endelevu Africa baada ya kusaidia baadhi ya nchi katika kudai uhuru wake! Vita vya Ukraine wametambua wameachwa mno na nchi za Magharibi hata China!

"During the Soviet times, at the height of fighting against Western colonialism, there were economic offerings of the Soviet era. However, all these cards are a matter of the past, while in the present it has been difficult for Russia to offer Africa anything of value that could compete with large-scale Western investment or Chinese infrastructure projects (until recently), Professor Kirill Babaev wrote in his article.

Going forward, Russian officials have to note: That in another publication headlined “Russian Business in Africa: Missed Opportunities and Prospects” in the journal Russia in Global Affairs, Professor Alexei Vasilyev, former Special Representative of the Russian Federation to African Countries and Director of the Institute for African Studies, wrote in that article that Russian companies are pursuing their various economic interests in Africa.

But, Africa still accounts for just 1.5% of Russia’s investment which is a drop in the ocean. It must be admitted that Russia’s economic policy grossly lacks dynamism in Africa. “African countries have been waiting for us for far too long, we lost our positions in post-apartheid Africa and have largely missed new opportunities. Currently, Russia lags behind leading foreign countries in most economic parameters in this region,” he underlined in the article. Source: (Modern Diplomacy: Sergey Lavrov Embarks on Geopolitical Lecturing Tour to Africa)

Mkono mtupu haulambwi..! Urusi imetambua hivyo dakika ya mwisho..!
 
udumavu huu sio wa bahati mbaya wala wa kujitakia kaka, ni man made. Kama "mkoloni" amejimilikisha masoko kupiyia WTO, amemiliki mitaji kupitia IMF na WB, amemiliki politics zote kupitia UN wewe mwafrika utauzia wapi bidhaa zako na kwa bei gani? kiongozi wa afrika anaejitambua hadumu madarakani na yule asiyejitambua atadumu madarakani milele hata kama ni dikteta. Kaka unahitaji maombi!!

Kavulata,

Nani anahitaji maombi hasa Kavulata, tulikuwa wapi wakati wanajimilikisha makoloni? Unauliza tutauzia wapi bidhaa zetu! Hivi ni ni jukumu la nani kukutafutia masoko ya bidhaa zako! Africa ziko nchi 52, zinashindwa kuuziana bidhaa! Zinashindwa kuunganisha barabara kati ya nchi na nchi! Ni rahisi kupata visa ya USA,Germany, UK, France, kuliko kupata visa ya Sierra Leonne, Burkina Faso, Ghana hata wakati mwingine Nigeria! Nani wa kumlaumu hasa! ,tuna Africa Union, sijui SADIC, Africa Community na madubwana mengi ya namna hiyo! lakini tuko pale pale! Mmeimbishwa wimbo WTO, WB,NATO....mpaka imeua ufahamu wa kutatua matatizo yetu! tumeshindwa kabisa kufikiri na sasa imebakia China au Urusi ndio mkombozi wetu! Tunarudi pale pale! Inasikitisha sana! Kama sio kuhuzunisha! Na msomi kama wewe ndio umebeba fikra hizo!

Nadhani wewe ndio unahitaji maombi! Hivyo miaka hiyo yote Africa imekosa viongozi wanaojitambua! Hebu nitajie hata hao waliojitambua wamefanya nini kubadili huu umaskini wa fikra, uchumi, uduni wa katika teknolojia nk!

Funguka macho ujue uhalisia wa mambo, labda utaweza kuleta mawazo chanya ya kutatua matatizo, hayo mawazo mgando ya kila kitu ni mabeberu, mabeberu hayatakufikisha popote!
 
Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.


Kavulata,

Kutokana na nukuu Africa inashindwa kumuunga mkono mrusi sababu ya kutupiwa ndizi na western countries, hivi huyu Sergey Lavrov anatafuta nini Africa? Unajua toka Vita vianze na Ukraine katembelea Africa mara ngapi! Unajua naye anatupa nini? Kama Western wanatupia nchi za Africa ndizi, Urussi inajaribu kutupa mapera ili iungwe mkono!

Kwa kifupi Urussi imejikuta imechelewa sana kuwa na influence endelevu Africa baada ya kusaidia baadhi ya nchi katika kudai uhuru wake! Vita vya Ukraine wametambua wameachwa mno na nchi za Magharibi hata China!

"During the Soviet times, at the height of fighting against Western colonialism, there were economic offerings of the Soviet era. However, all these cards are a matter of the past, while in the present it has been difficult for Russia to offer Africa anything of value that could compete with large-scale Western investment or Chinese infrastructure projects (until recently), Professor Kirill Babaev wrote in his article.

Going forward, Russian officials have to note: That in another publication headlined “Russian Business in Africa: Missed Opportunities and Prospects” in the journal Russia in Global Affairs, Professor Alexei Vasilyev, former Special Representative of the Russian Federation to African Countries and Director of the Institute for African Studies, wrote in that article that Russian companies are pursuing their various economic interests in Africa.

But, Africa still accounts for just 1.5% of Russia’s investment which is a drop in the ocean. It must be admitted that Russia’s economic policy grossly lacks dynamism in Africa. “African countries have been waiting for us for far too long, we lost our positions in post-apartheid Africa and have largely missed new opportunities. Currently, Russia lags behind leading foreign countries in most economic parameters in this region,” he underlined in the article. Source: (Modern Diplomacy: Sergey Lavrov Embarks on Geopolitical Lecturing Tour to Africa)

Mkono mtupu haulambwi..! Urusi imetambua hivyo dakika ya mwisho..!
Kweli kabisaa, Urusi imeachwa nyuma na nchi za western kuhusu Africa. Sababu kuu 2 ziko wazi kuwa nchi za western ni wezi wa rasilimali za Afrika, walifanya hivyo wakati wa ukoloni na wanafanya hivyo Sasa kwa njia tofauti tofauti ikiwemo ya green card, kuchochea vita za wenyewe kwa wenyewe, mikataba ya kitapeli ya madini, nk, nchi za western hazina Mali hata kidogo wanategea wizi. pili, Urusi ilikuwa bado inajitafuta baada ya kuanguka kwa Soviet, ilikuwa inajijengea upya nguvu za kiuchumi na kijeshi kwanza kwa kutumia rasilimali zake mwenyewe na kuisahau Afrika na kuikumbatia Asia ya uarabuni inayoonewa na nchi za western kwaajili ya kuzijaribu silaha zake dhidi ya zile za western.
 
Kavulata,

Nani anahitaji maombi hasa Kavulata, tulikuwa wapi wakati wanajimilikisha makoloni? Unauliza tutauzia wapi bidhaa zetu! Hivi ni ni jukumu la nani kukutafutia masoko ya bidhaa zako! Africa ziko nchi 52, zinashindwa kuuziana bidhaa! Zinashindwa kuunganisha barabara kati ya nchi na nchi! Ni rahisi kupata visa ya USA,Germany, UK, France, kuliko kupata visa ya Sierra Leonne, Burkina Faso, Ghana hata wakati mwingine Nigeria! Nani wa kumlaumu hasa! ,tuna Africa Union, sijui SADIC, Africa Community na madubwana mengi ya namna hiyo! lakini tuko pale pale! Mmeimbishwa wimbo WTO, WB,NATO....mpaka imeua ufahamu wa kutatua matatizo yetu! tumeshindwa kabisa kufikiri na sasa imebakia China au Urusi ndio mkombozi wetu! Tunarudi pale pale! Inasikitisha sana! Kama sio kuhuzunisha! Na msomi kama wewe ndio umebeba fikra hizo!

Nadhani wewe ndio unahitaji maombi! Hivyo miaka hiyo yote Africa imekosa viongozi wanaojitambua! Hebu nitajie hata hao waliojitambua wamefanya nini kubadili huu umaskini wa fikra, uchumi, uduni wa katika teknolojia nk!

Funguka macho ujue uhalisia wa mambo, labda utaweza kuleta mawazo chanya ya kutatua matatizo, hayo mawazo mgando ya kila kitu ni mabeberu, mabeberu hayatakufikisha popote!
Inaonekana wewe hujui mambo mengi kuhusu hii dunia. Lengo ya kufundishwa siasa kuanzia primary hadi universities (development studies) lilikuwa kukusaidia graduate kuijua dunia. Africa haiuziani bidhaa sio kwa bahati mbaya tu kaka, Afrika Kuna viongozi ambao ni mapandikizi wa nchi za western. Hawa hawaruhusu Afrika kuwa na sauti moja na kiongozi atakaekuwa kinara wa kuwaunganisha wenzake atazushiwa na kuuawa na NATO.
 
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.

Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) TU bila kutumia akili zao.

Wazungu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa afrika ni urusi na China kuliko watu wa Ulaya magharibi na Marekani. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa waafrika kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata Sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi za magharibi, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.

Nchi za Afrika zinameza maneno kusema zimuunga mkono urusi waziwazi kwa kuhofia kukosa ndizi wanazotupiwa na Magharibi. Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha wazungu kuhu ubinadamu wa mwafrika. Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mwafrika ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.
kwa habari ya bandari, NAKUBALIANA KABISA NA HOJA HII
 
Inaonekana wewe hujui mambo mengi kuhusu hii dunia. Lengo ya kufundishwa siasa kuanzia primary hadi universities (development studies) lilikuwa kukusaidia graduate kuijua dunia. Africa haiuziani bidhaa sio kwa bahati mbaya tu kaka, Afrika Kuna viongozi ambao ni mapandikizi wa nchi za western. Hawa hawaruhusu Afrika kuwa na sauti moja na kiongozi atakaekuwa kinara wa kuwaunganisha wenzake atazushiwa na kuuawa na NATO.

Hiyo Development Studies ulioimeza kama Kasuku imeisadia Africa nini? Imeletea mtindio wa ubongo tu! Miaka 60 tunazunguka mduara, tena mduara mbaya! Vicious circle of poverty and confusion! Na sasa sasa tunatafuta mkombozi mwingine! Mrusi! Mchina...na hata Waarabu......Sasa kama tuna mfumo wa kutouziana bidhaa sisi kwa sisi, mbona hatuuvunji mfumo huo! Tuna AU (African Union) toka miaka ya 60! Inafanya nini!

Hivi unajua waliosoma Development Studies miaka ya mwanzoni 70 Tanzania, ndio walioingia siasa na kuwa wakuu wa Mashirika ya Umma! Kufikamiaka ya Themanini kila kitu kilikufa, tukawa tunapanga foleni kununu leso, sabuni, dawa za meno! dawa za viatu! Sukari! Kufanya kazi RTC ndio kilikuwa kitu cha maana! Hiyo ndio Development Studies yako, hao walioibeba na kuisoma walifika taifa pabaya! Nadhani huji hilo!

Nimeisoma Development Studies kama tool of analysis ya kuangalia jamii, na kuiona ni upuuzi mtupu! Toka nilipokuwa Chuoni niliona haiwezi kufikisha Tanzania au jamii yoyote inayokumbatia kinachofundishwa! Historia imeonyesha wazi!

Kwa kukumbatia sera kama hizo tuna safari ndefu mno!
 
Inaonekana wewe hujui mambo mengi kuhusu hii dunia. Lengo ya kufundishwa siasa kuanzia primary hadi universities (development studies) lilikuwa kukusaidia graduate kuijua dunia. Africa haiuziani bidhaa sio kwa bahati mbaya tu kaka, Afrika Kuna viongozi ambao ni mapandikizi wa nchi za western. Hawa hawaruhusu Afrika kuwa na sauti moja na kiongozi atakaekuwa kinara wa kuwaunganisha wenzake atazushiwa na kuuawa na NATO.

Nakuuliza tena, Hao Graduates waliosaidiwa na Development Studies kuijua dunia wana fanya nini leo! Au ndio hiki unachoaandika kama hapa! Kweli Tumekwisha! Na tunasafari ndefu! Kavulata mbona unashindwa kuiona jamii inayokuzunguka!

Hao graduates toka vyuoni mwetu ambao unasema wanaijua dunia, si ndio hao wana saini mikataba mibovu ya madini! Si ndio wanatuletewa mikataba ya kuchimbiwa vyoo! Si ndio hao wanazunguka na MAV8 wakati shule za msingi hakuna madawati! Si ndio hawa wanatuletea ukakasi katika mkataba wa Bandari!

Kama kuijua dunia kuna shindwa kujitambua au kutatua matatizo yanayo kuzunguka, bali elimu hiyo ni takataka!
 
Kweli kabisaa, Urusi imeachwa nyuma na nchi za western kuhusu Africa. Sababu kuu 2 ziko wazi kuwa nchi za western ni wezi wa rasilimali za Afrika, walifanya hivyo wakati wa ukoloni na wanafanya hivyo Sasa kwa njia tofauti tofauti ikiwemo ya green card, kuchochea vita za wenyewe kwa wenyewe, mikataba ya kitapeli ya madini, nk, nchi za western hazina Mali hata kidogo wanategea wizi. pili, Urusi ilikuwa bado inajitafuta baada ya kuanguka kwa Soviet, ilikuwa inajijengea upya nguvu za kiuchumi na kijeshi kwanza kwa kutumia rasilimali zake mwenyewe na kuisahau Afrika na kuikumbatia Asia ya uarabuni inayoonewa na nchi za western kwaajili ya kuzijaribu silaha zake dhidi ya zile za western.
Ala kumbe angalau umejua Urusi imeacha nyumwa na Western World! Kwa Kifupi isubiri sasa kuja kukukomboa!
 
udumavu huu sio wa bahati mbaya wala wa kujitakia kaka, ni man made. Kama "mkoloni" amejimilikisha masoko kupiyia WTO, amemiliki mitaji kupitia IMF na WB, amemiliki politics zote kupitia UN wewe mwafrika utauzia wapi bidhaa zako na kwa bei gani? kiongozi wa afrika anaejitambua hadumu madarakani na yule asiyejitambua atadumu madarakani milele hata kama ni dikteta. Kaka unahitaji maombi!!

Kavulata,

Kumbe unatambua Waafrica tuna udumavu fulani wa akili vile! Naona ufahamu unaanza kukuingia taratibu, angalau sasa tafuta njia ya kuundoa udumavu huo! Lakini kama unadhani ni Mrusi na Mchina ndiye atakayetusaidia, utakua unajinywesha wrong dozi! Hautapona huo udumavu! Hili nakuambia wazi wazi! Mimi na wewe hatutakuwepo miaka mia ijayo! kama dawa unayoitoa ndi hiyo usiotegemee kuiona Africa ikibadilika!
 
Hiyo Development Studies ulioimeza kama Kasuku imeisadia Africa nini? Imeletea mtindio wa ubongo tu! Miaka 60 tunazunguka mduara, tena mduara mbaya! Vicious circle of poverty and confusion! Na sasa sasa tunatafuta mkombozi mwingine! Mrusi! Mchina...na hata Waarabu......Sasa kama tuna mfumo wa kutouziana bidhaa sisi kwa sisi, mbona hatuuvunji mfumo huo! Tuna AU (African Union) toka miaka ya 60! Inafanya nini!

Hivi unajua waliosoma Development Studies miaka ya mwanzoni 70 Tanzania, ndio walioingia siasa na kuwa wakuu wa Mashirika ya Umma! Kufikamiaka ya Themanini kila kitu kilikufa, tukawa tunapanga foleni kununu leso, sabuni, dawa za meno! dawa za viatu! Sukari! Kufanya kazi RTC ndio kilikuwa kitu cha maana! Hiyo ndio Development Studies yako, hao walioibeba na kuisoma walifika taifa pabaya! Nadhani huji hilo!

Nimeisoma Development Studies kama tool of analysis ya kuangalia jamii, na kuiona ni upuuzi mtupu! Toka nilipokuwa Chuoni niliona haiwezi kufikisha Tanzania au jamii yoyote inayokumbatia kinachofundishwa! Historia imeonyesha wazi!

Kwa kukumbatia sera kama hizo tuna safari ndefu mno!
Kama walivyo nyani wanaogopa kunyimwa ndizi. SEMA TU hali hii ya kuogopa kunyimwa ndizi Iko hata kwa nchi za western ambazo nazo zinaogopa kunyimwa ndizi na Marekani. Hii ndio kusema hali hii haitokani na uzembe wa Waafrika bali Kuna systematic manipulation kubwa kwa Waafrika.
 
Kama walivyo nyani wanaogopa kunyimwa ndizi. SEMA TU hali hii ya kuogopa kunyimwa ndizi Iko hata kwa nchi za western ambazo nazo zinaogopa kunyimwa ndizi na Marekani. Hii ndio kusema hali hii haitokani na uzembe wa Waafrika bali Kuna systematic manipulation kubwa kwa Waafrika.

Kavulata:

Why don't you break that systematic manipulation! You are claiming to know the problem...Kuletewa vyandalua kujikinga na Malaria, kuchimbiwa vyoo vya vya shimo, msaada wa Condoms utaita ni systematic manipulation! kama sio ujinga na uzembe ukizingatia kwamba tuna miaka 60 ya Uhuru!

Agriculture and Food Security


Breadcrumb

  1. Home
  2. Tanzania
  3. Agriculture and Food Security



"While Tanzania’s economy has steadily grown over the past decade, over 49 percent of Tanzania’s population lives on less than $1.90 a day (World Bank, 2011). Malnutrition remains high. Over 34 percent of children under age five are stunted and nearly 45 percent of women of reproductive age are anemic. To help Tanzania achieve the second Sustainable Development Goal—to end hunger, promote sustainable agriculture, and achieve food security and improved nutrition—USAID is working closely with the country to address these challenges. " Source (USAID Fact Sheet)

Tunachohitaji ni zaidi ya ndizi!
 
Kule Uganda baada ya kupitisha sheria ya kupinga ushoga tayari Kuna makundi yenye silaha yanayopiga serikali
 
Kule Uganda baada ya kupitisha sheria ya kupinga ushoga tayari Kuna makundi yenye silaha yanayopiga serikali

Kavualata,

ADF Imekua imekua ikifanya shughuli hizo muda mrefu hata kabla ya Uganda kuwa na misimo dhidi ya Ushoga.


Past ADF attacks​

This was not the first attack on a school in Uganda by the ADF. In June 1998, 80 students were burned to death in their dormitories in an ADF attack on Kichwamba Technical Institute near the DRC border. More than 100 students were abducted.

Ugandan authorities also blamed the group for deadly suicide bombings in the capital in 2021, following which it launched a joint military operation in DRC. But the measures have so far failed to stop the ADF attacks. (Aljazeera)
 
Kavualata,

ADF Imekua imekua ikifanya shughuli hizo muda mrefu hata kabla ya Uganda kuwa na misimo dhidi ya Ushoga.


Past ADF attacks​

This was not the first attack on a school in Uganda by the ADF. In June 1998, 80 students were burned to death in their dormitories in an ADF attack on Kichwamba Technical Institute near the DRC border. More than 100 students were abducted.

Ugandan authorities also blamed the group for deadly suicide bombings in the capital in 2021, following which it launched a joint military operation in DRC. But the measures have so far failed to stop the ADF attacks. (Aljazeera)
ADF wanapata wapi silaha? Zinawafikiaje?
 
Ukijua nani alikua anaiwezesha Lord Resistance Army ya akina Joseph Kony na vikundi vingi ambavyo hamvitaki Museveni toka 1986 umemamaliza.
Wazungu Wana viwanda vikubwa sana vya silaha vinavyolipa Kodi na mishahara kwa wafanyakazi wake. Moja ya kazi ya viwanda hivyo ni kutafuta masoko ya bidhaa zao kama ilivyo kwa biashara zote nyingine. Soko la silaha ni watu wanaopigana full stop!!. Vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe vinachochewa na nchi zenye viwanda vya silaha.
Silaha zinaingizwa kwa njia mbalimbali kama vile zana za uchimbaji madini, ndege za kubeba maua na samaki, misaada kwenye majanga kama matetemo, njaa na mafuriko, utalii na vifaa vya ujenzi.
 
Back
Top Bottom