Mgogoro wa Ukraine na Urusi unapima akili za Waafrika

Mgogoro wa Ukraine na Urusi unapima akili za Waafrika

Huna insight, unadhani haikuhusu, na hiyo ndio akili ya waafrika wengi. Wanaendeshwa na matukio mpaka liwafike. Uwezo wetu wa kufikiria critically ni mdogo sana. Mzungu anasafirisha mchanga hadi Ulaya lakini watu hawashituki. Neo mangungolism.
Mkuu, hayo 👆👆 unayasema ww. Dunia nzima isipokuwa ww na wale wa aina yako tunafahamu chanzo cha Mgogoro wa Ukraine na Urusi na lengo la kila mhusika. Ukraine analengo la kukomboa Ardhi iliyokwapuliwa kimabavu/kibabe na Urusi lakini Urusi ana lengo la kumwadabisha Ukraine ili asimkaribishe au asijiunge na NATO kitu ambacho kwa mtizamo wa Urusi, kitahatarisha Usalama wa taifa la Urusi.
Sasa wewe hilo la eti ni kupima akili za Waafrika umelipata wapi?? Je, unaweza kutoa supporting evidence ya madai yako au ni umekaa na ukawaza tu halafu ukaja hapa chap na kupandisha uzi wako huu ukidhani ndo umewaza critically?
Hao wenye mgogoro baina yao(Ukraine vs Urusi) kila mmoja anawania ashinde (am-outweigh) mpinzani wake. Hawana time na madai yako ww bro.
Ndio nakubaliana na wewe kwamba huo mgogoro(vita) itatuhusu Waafrika kwa namna moja au nyingine lakini sio kwamba eti itakuwa ndo mtihani wa kutupima akili zetu.
Kumbuka msemo wa wahenga "wapiganapo fahali wawili nyasi huumia" nikimaanisha kwamba madume hayo yanapopigana lengo lao sio kuzivuruga, kuziharibu na kuziumiza nyasi. kuumia kwa nyasi ni "side effects" au ni "yatokanayo"
Labda nikuulize hvi; Hiyo vita ina athari gani za moja kwa moja (direct) kwako wewe?
 
Aisee Saa nyingine inakuwa vigumu kuelewa mtu kama wewe unafikiria vipi. Yaani unajiona wewe una kasoro ya kuwa Binadamu kamili kwa sababu gani?

Mzungu, hamjali Mwafrika yeyote yule na hilo lipo wazi.

Kwanza mtu kama wewe ndie unaejifariji kuwa wanakujali wakati huo huo unajiona kama haujakamilika kama Binadamu. Kuna tatizo mahali. Nani anayekufanya ujione uko nusu Binadamu? Nini kimekusibu?
Hata nyani unapomtupia ndizi na mikate anafikiria utaendelea kumtupia ndizi kila siku. Tangu tupate Uhuru wazungu wamekuwa wakitutupia ndizi mpaka kukidhani kuwa bila wao tutakufa kesho asubuhi. Hivyo tunalindana tusiwaudhi Wala kuwasema vibaya. Wazungu wanatuambia kuwa kwao hakuna free lunch lakini mwafrika haelewi msemo huo. Hatutaki kulipa kodi Wala kukusanya Kodi ila Tunataka kuomba TU. Misaada tunayopewa ama inaishia kwenye matumbo ya viongozi au fedha zinarudi uswis kufichwa na viongozi wetu.
 
Hata nyani unapomtupia ndizi na mikate anafikiria utaendelea kumtupia ndizi kila siku. Tangu tupate Uhuru wazungu wamekuwa wakitutupia ndizi mpaka kukidhani kuwa bila wao tutakufa kesho asubuhi. Hivyo tunalindana tusiwaudhi Wala kuwasema vibaya. Wazungu wanatuambia kuwa kwao hakuna free lunch lakini mwafrika haelewi msemo huo. Hatutaki kulipa kodi Wala kukusanya Kodi ila Tunataka kuomba TU. Misaada tunayopewa ama inaishia kwenye matumbo ya viongozi au fedha zinarudi uswis kufichwa na viongozi wetu.
Duh!Aisee!? Cjui kama tutafika na kama tutafika bc tutafika tukiwa tumechoka sana.
Wageni wanaokuja kwetu(Wazungu,Waasia Wamarekani na wale wote unaoweza kufikiria) wanamalengo yao ambayo ni yenye maslahi kwao na sio kwako ww. Hivi kuna mahali ulishasomaga kwamba sisi Waafrika tuliwaandikia barua ya kuwaomba Wazungu waje kwetu? Si walikuja kwa njaa zao?
Ujanja-Ujanja na mizengwe wanayotumia kuweza kuchukua vilivyo vyetu(Maliasili n.k.) visikufanye ukajiona mnyonge kiasi hicho. Amka, Simama, Ujitetee na Ujivunie kuwa wewe ni Mwafrika na unaheshima zako Tena unaweza kabisa kuishi maisha yako bila wao. Usijidharau na kujiona hafifu na kuwakuza wao. Wao pia kama binadamu, wanayo mapungufu mengi sana na pengine kukuzidi. Unaweza kujihakikishia hilo kwa kufanya walau ka-ziara kidogo huko kwao ili ukajionee hali halisi ilivyo huko. Ni pata shika nguo kuchanika.
 
Wewe mleta mada ni pimbi ulieshiba viazi unatafuta njaa kwa kuleta mada za kipuuzi.

Hivi hao wajamaa zako unaowatetea si ndio wanaongoza kwa kugawana Africa nyakati hizi? China kafanya nini huko Zambia, Kenya na sehemu kibao tu anatamani ardhi ya Africa iwe jamuhuri ya China.

Wajamaa wamejaa mambo ya kizamani kuchukua ardhi za watu wengine kwa nguvu.
 
Hata nyani unapomtupia ndizi na mikate anafikiria utaendelea kumtupia ndizi kila siku. Tangu tupate Uhuru wazungu wamekuwa wakitutupia ndizi mpaka kukidhani kuwa bila wao tutakufa kesho asubuhi. Hivyo tunalindana tusiwaudhi Wala kuwasema vibaya. Wazungu wanatuambia kuwa kwao hakuna free lunch lakini mwafrika haelewi msemo huo. Hatutaki kulipa kodi Wala kukusanya Kodi ila Tunataka kuomba TU. Misaada tunayopewa ama inaishia kwenye matumbo ya viongozi au fedha zinarudi uswis kufichwa na viongozi wetu.
Sasa kama viongozi wenu wenyewe ndio wanaokwapua pesa mnazopewa na wazungu unawalalamikia wazungu kitu gani? Unataka waje kuwasaidia kuwakamata na kuwaondoa hao viongozi wenu wala rushwa pia??
 
Huna insight, unadhani haikuhusu, na hiyo ndio akili ya waafrika wengi. Wanaendeshwa na matukio mpaka liwafike. Uwezo wetu wa kufikiria critically ni mdogo sana. Mzungu anasafirisha mchanga hadi Ulaya lakini watu hawashituki. Neo mangungolism.
Bora hata huyo mzungu anayesafirisha mchanga wako anakuachia nchi yako, Mrusi yeye kachukua sehemu ya nchi kabisa ya watu wengine.
 
Duh!Aisee!? Cjui kama tutafika na kama tutafika bc tutafika tukiwa tumechoka sana.
Wageni wanaokuja kwetu(Wazungu,Waasia Wamarekani na wale wote unaoweza kufikiria) wanamalengo yao ambayo ni yenye maslahi kwao na sio kwako ww. Hivi kuna mahali ulishasomaga kwamba sisi Waafrika tuliwaandikia barua ya kuwaomba Wazungu waje kwetu? Si walikuja kwa njaa zao?
Ujanja-Ujanja na mizengwe wanayotumia kuweza kuchukua vilivyo vyetu(Maliasili n.k.) visikufanye ukajiona mnyonge kiasi hicho. Amka, Simama, Ujitetee na Ujivunie kuwa wewe ni Mwafrika na unaheshima zako Tena unaweza kabisa kuishi maisha yako bila wao. Usijidharau na kujiona hafifu na kuwakuza wao. Wao pia kama binadamu, wanayo mapungufu mengi sana na pengine kukuzidi. Unaweza kujihakikishia hilo kwa kufanya walau ka-ziara kidogo huko kwao ili ukajionee hali halisi ilivyo huko. Ni pata shika nguo kuchanika.
Kwahiyo Tuendelee kukinga mabakuli yetu kwao? Kwao Kuna watu ambao hali zao ni tiamajitiamaji sana pengine kuliko watu wetu lakini hawa mabwana wako tayari watupe sisi msaada badala ya kuwasaidia watu wao wenyewe ambao hawana chakula, makazi Wala matibabu. Je hii haikushitui wewe? Huu ni msaada au Wana jambo lao? Nyani hapendi kujiuliza kwanini binadamu anamrushia ndizi na mikate yeye, hataki kujua lengo la kutupiwa ndizi Wala kujua kwanini ndizi zinatupwa kwangu, je zimeoza kidogo, zime expire, Zina sumu au Zina nini?
 
Wewe mleta mada ni pimbi ulieshiba viazi unatafuta njaa kwa kuleta mada za kipuuzi.

Hivi hao wajamaa zako unaowatetea si ndio wanaongoza kwa kugawana Africa nyakati hizi? China kafanya nini huko Zambia, Kenya na sehemu kibao tu anatamani ardhi ya Africa iwe jamuhuri ya China.

Wajamaa wamejaa mambo ya kizamani kuchukua ardhi za watu wengine kwa nguvu.
China wanamnyonga mtu wao wenyewe hata awe nani kama atakula fedha za umma, Africa je,? Unakopeshwa halafu unatumia hela hizo za mkopo kucheza harusi ya kifahari kwa hela ya mkopo, unajenga nyumba kwenye fukwe za mto, ziwa, bahati kwa fedha hizo hizo , unasomesha watoto wako ng',ambo kwa hela hiyohiyo, unatumia hela hiyo kuiba kura ubaki madarakani kwanini mtu asidai hela zake. Yaani kiongozi wa Afrika ana nyumba kubwa na magari ya kifahari na miradi mikubwa kuliko kiongozi wa China na Marekani na Ulaya.

Kaka Afrika kusini ndiyo inayotuokoa TU kwenye stage ya kuitwa manyani na watu weupe.
 
Sasa kama viongozi wenu wenyewe ndio wanaokwapua pesa mnazopewa na wazungu unawalalamikia wazungu kitu gani? Unataka waje kuwasaidia kuwakamata na kuwaondoa hao viongozi wenu wala rushwa pia??
Kama sisi hatuwezi kuwawajibisha kwa mikono yetu na midomo yetu na vitendo vyetu viongozi wanaokula Kodi zetu na misaada yetu huo ndio ubinadamu hafifu wanaouona kwetu waafrika. Waafrika wanafahamu kuwa mshahara wa kiongozi wao hauzi kumpatia vitu alivyonavyo na maisha anayoishi kiongozi wao lakini hawezi kumhoji. South Africa TU ndio wanadusaidia waafrika kujitoa kwenye fikra hizo za wazungu.

Mtizamo huu wa Wazungu kwa wafrika ndio uliosababisha Marais wa Afrika kusafirishwa kwenye basi moja kule kwenye mazishi ya Malkia wa Uingereza. Thamani Yao ilionekana kuwa ni ndogo sana. Ni wezi, hawana msimamo, ni waoga, ni ombaomba, ni wabadhilifu, wajui kutafakari, nk.
 
Wewe mleta mada ni pimbi ulieshiba viazi unatafuta njaa kwa kuleta mada za kipuuzi.

Hivi hao wajamaa zako unaowatetea si ndio wanaongoza kwa kugawana Africa nyakati hizi? China kafanya nini huko Zambia, Kenya na sehemu kibao tu anatamani ardhi ya Africa iwe jamuhuri ya China.

Wajamaa wamejaa mambo ya kizamani kuchukua ardhi za watu wengine kwa nguvu.
Niambie ni kwanini viongozi wetu wa afrika walisafirishwa kwa mabasi kwenye msiba wa Malkia wa Uingereza wakati Marais wengine walisafirishwa kama Marais wa nchi? Ethiopia TU walikataa uhuni na fikira za wazungu kwa waafrika.
 
Niambie ni kwanini viongozi wetu wa afrika walisafirishwa kwa mabasi kwenye msiba wa Malkia wa Uingereza wakati Marais wengine walisafirishwa kama Marais wa nchi? Ethiopia TU walikataa uhuni na fikira za wazungu kwa waafrika.
Viongozi karibia wote wa nchi za Ulaya na EU walitumia mabasi ila waliobaki wanalalamika mpaka sasa kupanda mabasi ni Waafrika tu.
 
Kwahiyo Tuendelee kukinga mabakuli yetu kwao? Kwao Kuna watu ambao hali zao ni tiamajitiamaji sana pengine kuliko watu wetu lakini hawa mabwana wako tayari watupe sisi msaada badala ya kuwasaidia watu wao wenyewe ambao hawana chakula, makazi Wala matibabu. Je hii haikushitui wewe? Huu ni msaada au Wana jambo lao? Nyani hapendi kujiuliza kwanini binadamu anamrushia ndizi na mikate yeye, hataki kujua lengo la kutupiwa ndizi Wala kujua kwanini ndizi zinatupwa kwangu, je zimeoza kidogo, zime expire, Zina sumu au Zina nini?
Kwahiyo Tuendelee kukinga mabakuli yetu kwao? Hapana kabisa.
Mkuu, inapotokea tumepata changamoto katika jambo fulani la kimaendeleo, ni jambo la kawaida sana kutafuta suluhisho (Sio msaada) na huwa hatulazimiki kwenda kwa Wazungu bali tunatafuta popote Mashariki, Magharibi, Kusini au Kaskazini tena bila kujali Itikadi ya mtu. Aidha mara zote Tahadhari huzingatiwa sana ndo maana tunasikia Mkopo (sio Msaada) usio na masharti.
Sasa wewe kinachokustua ni nini?? Kama kwao wapo walalahoi kama huku kwetu, unashangaa nini kama kawapati kutokana na kutotimiza masharti ya Mkopo? Zingatia "mkono mtupu haulambwi". Wewe komaa na hali yako na ukiona unazidiwa tafuta suluhisho popote pale sio lazima kwa Wazungu. e.g. Anza na Waafrika wenzako majirani.
Kataa ndizi usizojua lengo lake kwani ww una akili na utashi wa kufanya maamuzi hata kama ni magumu.
 
Afrika inategemea dawa za bure kutoka Magharibi.
Afrika inapenda jinsi ya kitawala kama China na Russia, yaani hawataki kutoka madarakani
 
Afrika inategemea dawa za bure kutoka Magharibi.
Afrika inapenda jinsi ya kitawala kama China na Russia, yaani hawataki kutoka madarakani
"Afrika inategemea dawa za bure kutoka Magharibi." Sio kweli hata kidogo.
Afrika inapenda jinsi ya kitawala kama China na Russia, yaani hawataki kutoka madarakani. Hapo nakubaliana na wewe 100%. Viongozi wetu wengi ni ving'ang'anizi.
 
Viongozi karibia wote wa nchi za Ulaya na EU walitumia mabasi ila waliobaki wanalalamika mpaka sasa kupanda mabasi ni Waafrika tu.
Tuonyeshe wazungu waliopakizwa kwenye mabsi. At least tulieaona Biden, macron, na wengine walivyotinga kwenye msiba ule.
 
Kwahiyo Tuendelee kukinga mabakuli yetu kwao? Hapana kabisa.
Mkuu, inapotokea tumepata changamoto katika jambo fulani la kimaendeleo, ni jambo la kawaida sana kutafuta suluhisho (Sio msaada) na huwa hatulazimiki kwenda kwa Wazungu bali tunatafuta popote Mashariki, Magharibi, Kusini au Kaskazini tena bila kujali Itikadi ya mtu. Aidha mara zote Tahadhari huzingatiwa sana ndo maana tunasikia Mkopo (sio Msaada) usio na masharti.
Sasa wewe kinachokustua ni nini?? Kama kwao wapo walalahoi kama huku kwetu, unashangaa nini kama kawapati kutokana na kutotimiza masharti ya Mkopo? Zingatia "mkono mtupu haulambwi". Wewe komaa na hali yako na ukiona unazidiwa tafuta suluhisho popote pale sio lazima kwa Wazungu. e.g. Anza na Waafrika wenzako majirani.
Kataa ndizi usizojua lengo lake kwani ww una akili na utashi wa kufanya maamuzi hata kama ni magumu.
Kwa waafrika kila nafasi ya uongozi ngazi zote ni ajira na fursa. Ndio maana hayupo anaeweza kujiuzulu hata kama iwe nini.
 
"Afrika inategemea dawa za bure kutoka Magharibi." Sio kweli hata kidogo.
Afrika inapenda jinsi ya kitawala kama China na Russia, yaani hawataki kutoka madarakani. Hapo nakubaliana na wewe 100%. Viongozi wetu wengi ni ving'ang'anizi.
Shida sio viongozi hasa bali uhafifu wa wananchi wenyewe. Kwanini west hawana kiongozi king'ang'anizi?
 
Shida sio viongozi hasa bali uhafifu wa wananchi wenyewe. Kwanini west hawana kiongozi king'ang'anizi?
Muda wa uongozi ukiisha na kwa mujibu wa Katiba yao ni lazima kiongozi aliyeko madarakani aachie ngazi. Tofauti na hapo majamaa yanajaa chap barabarani na mabango. Polisi wanalinda sana Katiba na sio mtu wala chama.
 
Kwa waafrika kila nafasi ya uongozi ngazi zote ni ajira na fursa. Ndio maana hayupo anaeweza kujiuzulu hata kama iwe nini.
Huo ndo udhaifu katika uongozi wetu. Mtu anataka awe ndiye ataongoza
daima dumu.
 
Mpaka leo wahamiaji wengi wa Kiafrika wanapenda kuhamia Ulaya na Marekani kuliko huko Urusi na Uchina, Sasa jiulize kwa nini.
Mpaka leo dawa za kufubaza virusi vya ukimwi mfadhili mkuu ni Marekani.
Marekani ikiacha kuufadhili mfuko wa ukimwi waafrika mtapukutika kama siafu.
 
Back
Top Bottom