Mgogoro wa Urusi na Ukraine: Nchi za magharibi zaumbuka. Zilitaka kupeleka silaha Ukraine zikidai ni misaada ya kibinadamu

Mgogoro wa Urusi na Ukraine: Nchi za magharibi zaumbuka. Zilitaka kupeleka silaha Ukraine zikidai ni misaada ya kibinadamu

Ndugu

Putin ameng'ang'ania madarakani kwa miaka 30 sasa.Kafanikiwa vipi ? Kwa kuuwa na kufunga wapinzani

1.Alexei Navalny - huyu ni KUB pale moscow.Kwa sasa anatumia kifungo cha miaka 15 kwa uhujumu uchumi.Akiwa jela Putin alitaka kumuuwa kwa sumu kali ya Novichok nerve agent

2.Sergei Yushenkov- alimiminiwa risasi akiwa nyumbani kwake tarehe 17 April 2003 masaa machache baada ya kusajili chama chake cha upinzani

3.Yuri Schehekochikhin- mwandishi wa habari aliyeuwawaw kwa sumu mwaka 2003 baada ya luchunguza mauaji aliyofanya Putin

4.Boris Nemtov ‐mpinzani wa Putin aliuwawa kwa kumiminiwa risasi mchana kweupe kama Lissu mwaka 2015


5.Stanislav Merkelov -Mwanasheria wa haki za binadamu alipigwa risasi ya kichwa na Putin

7.Anastia Baburora - Mke wa Stanislav Merkrlov alipigwa risasi ya kichwa na Putin

8.Natalia Estemirova - mwanasheria wa haki za binadamu alipigwa risasi za kichwa mwaka 2099

9.Anna Politkovskaya-shot dead akiwa katika lift ya nyumbani kwake mwaka 2006 sababu y akumpinga Putin

Je umenielewa???
Namba 8 sahihisha huo mwaka hatujafika
 
Ndugu

Putin ameng'ang'ania madarakani kwa miaka 30 sasa.Kafanikiwa vipi ? Kwa kuuwa na kufunga wapinzani

1.Alexei Navalny - huyu ni KUB pale moscow.Kwa sasa anatumia kifungo cha miaka 15 kwa uhujumu uchumi.Akiwa jela Putin alitaka kumuuwa kwa sumu kali ya Novichok nerve agent

2.Sergei Yushenkov- alimiminiwa risasi akiwa nyumbani kwake tarehe 17 April 2003 masaa machache baada ya kusajili chama chake cha upinzani

3.Yuri Schehekochikhin- mwandishi wa habari aliyeuwawaw kwa sumu mwaka 2003 baada ya luchunguza mauaji aliyofanya Putin

4.Boris Nemtov ‐mpinzani wa Putin aliuwawa kwa kumiminiwa risasi mchana kweupe kama Lissu mwaka 2015


5.Stanislav Merkelov -Mwanasheria wa haki za binadamu alipigwa risasi ya kichwa na Putin

7.Anastia Baburora - Mke wa Stanislav Merkrlov alipigwa risasi ya kichwa na Putin

8.Natalia Estemirova - mwanasheria wa haki za binadamu alipigwa risasi za kichwa mwaka 2009

9.Anna Politkovskaya-shot dead akiwa katika lift ya nyumbani kwake mwaka 2006 sababu y akumpinga Putin

Je umenielewa???
propaganda uchwara
 
Wafanyakazi wa viwanja vya ndege wamegoma kupakia shehena ya silaha Toka Nchi za magharibi, huku zikiwa zimeandikwa kuwa ni shehena ya madawa na vyakula Kama misaada ya kibinadamu!

Nchi za magharibi ni washenzi! Wanashangilia vita kwa kuwa kwao ni soko la silaha na fursa ya kufanya majaribio ya silaha zao.
Nadhani Sasa watu wataelewa kwa Nini Urusi inazuia misafara ya magari inayodaiwa kuwa ni misaada ya kibinadamu ikipelekwa kwenye miji iliyozingirwa!

Wafanyakazi waliogoma kupakia hizo shehena wanasema wanafanya hivyo Ili kuokoa wenzao watakaopokea hizo ndege maana Urusi lazima itazishambulia!

Jisomee mwenyewe hapa:
Humanitarian flights for Ukraine loaded with weapons, protesting airport workers claim.

Airport workers in Italy claim “humanitarian” cargo from Pisa was actually aimed at fuelling the conflict.

Humanitarian flights for Ukraine loaded with weapons, protesting airport workers claim.

[emoji2398] usb.it
One of Italy’s largest trade unions has called for a protest outside the Pisa airport on Saturday, after receiving a tip from some employees that Ukraine relief flights were transporting weapons and ammunition, not food and medicine.

Several workers at the Galileo Galilei airport refused to load one of the cargo flights advertised as carrying humanitarian aid to Ukraine. The crates did not contain food and medication but weapons, ammunition and explosives instead, the Unione Sindacale di Base (USB) said in a statement on Monday evening.

“We strongly denounce this outright falsification, which cynically uses ‘humanitarian’ aid as cover to fuel the war in Ukraine,” the USB said.

The union said the workers refused to load the military supplies as that would lead to the deaths of their colleagues in Ukraine – namely, those working at the bases targeted by Russian missile strikes, where the weapons processed through US and NATO bases in Poland get delivered.

Francesca Donato, an Italian member of the European Parliament, commented on the union’s statement by calling on the government in Rome to “clarify” what is happening.

US looks for ways to get heavy Soviet weaponry to Ukraine – mediaREAD MORE: US looks for ways to get heavy Soviet weaponry to Ukraine – media.

Meanwhile, dockworkers at the nearby port of Livorno joined the protest on Tuesday, praising their airport colleagues for standing up for their values.

“We stand alongside the Ukrainian peoples, the Donbass and Russia and we do not want to be complicit in this conflict,” the Porto Livorno chapter of USB said in a statement.

Janja ya nyani kwishney!
Marekani katangaza rasmi kupeleka silaha na zitafika maeneo husika.
 
Answabembeleza wahindi wanunue mafuta bei karibu na bure!
Vikwazo haviiumuzi Russia tu. Vikwazo hiyo ndiyo vinafanya TZ inaumia kwa ghrama kubwa USA. Huko USA mafuta sasa hivi yamefikia $5 au zaidi kwa galoni toka wastani wa $2.80 kwa galoni. BVikwazo vikiwekwa siyo mlengwa tu anaumia, lakini huu ndiyo wakati wa makampuni makubwa ya mafuta USA kuvuna,.
 
Wafanyakazi wa viwanja vya ndege wamegoma kupakia shehena ya silaha Toka Nchi za magharibi, huku zikiwa zimeandikwa kuwa ni shehena ya madawa na vyakula Kama misaada ya kibinadamu!

Nchi za magharibi ni washenzi! Wanashangilia vita kwa kuwa kwao ni soko la silaha na fursa ya kufanya majaribio ya silaha zao.
Nadhani Sasa watu wataelewa kwa Nini Urusi inazuia misafara ya magari inayodaiwa kuwa ni misaada ya kibinadamu ikipelekwa kwenye miji iliyozingirwa!

Wafanyakazi waliogoma kupakia hizo shehena wanasema wanafanya hivyo Ili kuokoa wenzao watakaopokea hizo ndege maana Urusi lazima itazishambulia!

Jisomee mwenyewe hapa:
Humanitarian flights for Ukraine loaded with weapons, protesting airport workers claim.

Airport workers in Italy claim “humanitarian” cargo from Pisa was actually aimed at fuelling the conflict.

Humanitarian flights for Ukraine loaded with weapons, protesting airport workers claim.

© usb.it
One of Italy’s largest trade unions has called for a protest outside the Pisa airport on Saturday, after receiving a tip from some employees that Ukraine relief flights were transporting weapons and ammunition, not food and medicine.

Several workers at the Galileo Galilei airport refused to load one of the cargo flights advertised as carrying humanitarian aid to Ukraine. The crates did not contain food and medication but weapons, ammunition and explosives instead, the Unione Sindacale di Base (USB) said in a statement on Monday evening.

“We strongly denounce this outright falsification, which cynically uses ‘humanitarian’ aid as cover to fuel the war in Ukraine,” the USB said.

The union said the workers refused to load the military supplies as that would lead to the deaths of their colleagues in Ukraine – namely, those working at the bases targeted by Russian missile strikes, where the weapons processed through US and NATO bases in Poland get delivered.

Francesca Donato, an Italian member of the European Parliament, commented on the union’s statement by calling on the government in Rome to “clarify” what is happening.

US looks for ways to get heavy Soviet weaponry to Ukraine – mediaREAD MORE: US looks for ways to get heavy Soviet weaponry to Ukraine – media.

Meanwhile, dockworkers at the nearby port of Livorno joined the protest on Tuesday, praising their airport colleagues for standing up for their values.

“We stand alongside the Ukrainian peoples, the Donbass and Russia and we do not want to be complicit in this conflict,” the Porto Livorno chapter of USB said in a statement.

Janja ya nyani kwishney!
huna chanzo cha habari hivyo tunatupa kule kenge
Silaha za kivita zinaingia kila leo ukraine jana marekani wamepeleka ndege zisizo na rubani akili yako imeathiriwa na uputini
 
Nasisitiza Ukraine apigwe tu
Nalog off
.
Screenshot_20220314-181123~3.jpg
 
Back
Top Bottom