Kinyambiss
JF-Expert Member
- Dec 2, 2007
- 1,374
- 73
Majaji wanatumia curia adv. vult. the wrong way maana haitakiwi kuwa sababu yakuchelewesha ishu ya msingi kama hii mambayo inauzito kama haki ya msingi yakikatiba ambayo inatakiwa kuwa exercised mwaka huu ama isubiri mpaka mid-term elections za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2015.
The thing about the current political regime is that it sacrifices national interest for the sake of personal power to the incumbent president and his henchmen and facilitates systematic patronage.
Why is there no advocacy from the opposition and civil society to ensure that there are reforms.
Judges of the Court of Appeal (which is the supreme court) should be confirmed by Parliament to ensure that they represent the people and not just the appointment of the president... Ramadhani atawezavipi kiuka amri ya rais. Japokua it is unconstitutional huyu jamaa anakuwa ordered, unless mtu awe na moral stance yaajabu (which is rare in political reality).
Heads of Tz missions abroad should also be confirmed by Parliament so that they represent the general Tanzanian rather than being zawadi ya Rais kwa watu ambao wamekosa ukuu wa mkoa na uwaziri... watu wawe competent. We would get the best people, sio rais akitaka kumuondoa mpinzani wake ndani ya CCM anampeleka CHina kuwa balozi kwa miaka 5 ili apoteze nguvu yakisiasa.
Head of independent departments such as PCCB, EWURA, TCRA, TANESCO, and other public bodies ought to be confirmed by Parliament. Tunakuwa kama kwenye serikali ya museveni na Mobutu, mambo yakizamani yanayocost Tanzania. At least with a confirmatory system watu wanapata watu ambao kidogo wanakuwa vetted and then Bunge linalowakilisha watu directly linakuwa na say. Then by having a considerable percentage of opposition and wapiganaji backbenchers tunaweza kuwa na monitoring nzuri.
Governor wa BOT na Deputy governors.
Hii kitu ni muhimu sana, kila nchi patronage ipo lakini lazima mtu umpendae umpe nafasi pale ambapo kwanza yuko qualified and hana historia ya uharibifu huko nyuma. This would create the necessary balance to make sure Tanzania gets what it deserves, the best, most educated and experienced and qualified people doing what needs to be done.
Just my thoughts.
The thing about the current political regime is that it sacrifices national interest for the sake of personal power to the incumbent president and his henchmen and facilitates systematic patronage.
Why is there no advocacy from the opposition and civil society to ensure that there are reforms.
Judges of the Court of Appeal (which is the supreme court) should be confirmed by Parliament to ensure that they represent the people and not just the appointment of the president... Ramadhani atawezavipi kiuka amri ya rais. Japokua it is unconstitutional huyu jamaa anakuwa ordered, unless mtu awe na moral stance yaajabu (which is rare in political reality).
Heads of Tz missions abroad should also be confirmed by Parliament so that they represent the general Tanzanian rather than being zawadi ya Rais kwa watu ambao wamekosa ukuu wa mkoa na uwaziri... watu wawe competent. We would get the best people, sio rais akitaka kumuondoa mpinzani wake ndani ya CCM anampeleka CHina kuwa balozi kwa miaka 5 ili apoteze nguvu yakisiasa.
Head of independent departments such as PCCB, EWURA, TCRA, TANESCO, and other public bodies ought to be confirmed by Parliament. Tunakuwa kama kwenye serikali ya museveni na Mobutu, mambo yakizamani yanayocost Tanzania. At least with a confirmatory system watu wanapata watu ambao kidogo wanakuwa vetted and then Bunge linalowakilisha watu directly linakuwa na say. Then by having a considerable percentage of opposition and wapiganaji backbenchers tunaweza kuwa na monitoring nzuri.
Governor wa BOT na Deputy governors.
Hii kitu ni muhimu sana, kila nchi patronage ipo lakini lazima mtu umpendae umpe nafasi pale ambapo kwanza yuko qualified and hana historia ya uharibifu huko nyuma. This would create the necessary balance to make sure Tanzania gets what it deserves, the best, most educated and experienced and qualified people doing what needs to be done.
Just my thoughts.