LGE2024 Mgombea CHADEMA nafasi ya Ujumbe Kata ya Gongo la Mboto afariki kwa kipigo cha polisi

LGE2024 Mgombea CHADEMA nafasi ya Ujumbe Kata ya Gongo la Mboto afariki kwa kipigo cha polisi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakuu,


Kata ya Gongolamboto, Mtaa wa Ulongoni A, Mgombea nafasi ya ujumbe Modestus G. Timbisimilwa amefariki baada ya kupata kipigo kutoka kwa Jeshi la Polisi, alipokuwa anazuia kura feki kuingizwa kwenye masanduku ya kura, tukio limetokea leo mchana huu.
Trump akisema hii ni shithole country watu wanasema jamaa ni mbaguzi
 
Wakuu,


Kata ya Gongolamboto, Mtaa wa Ulongoni A, Mgombea nafasi ya ujumbe Modestus G. Timbisimilwa amefariki baada ya kupata kipigo kutoka kwa Jeshi la Polisi, alipokuwa anazuia kura feki kuingizwa kwenye masanduku ya kura, tukio limetokea leo mchana huu.
Hizi taarifa nimeziona Al Jazeera hadi nikashangaa, tunaripotiwa vibaya mno huko!

Kwanini taifa letu linachafuliwa namna hii? CCM haya ndiyo maagizo mliyowapa Polisi au wanatenda kwa utashi wao?
Sad!
 
CCM ni Chama Cha Mashetani. Majitu yote maovu yamejazana huko.

Bila ya wananchi kushirikiana kumwondoa huyu shetani, huyu muuaji mnyonya damu za Watanzania, ataendelea kuchagua leo aue yupi, kesho aue yupi, mkilalamika mtaambiwa kuwa, 'kifo ni kifo tu".

Hii imekwishakuwa nchi ya udikteta uliopindukia.
Chama cha Milele...dah balaa
 
Hizi taarifa nimeziona Al Jazeera hadi nikashangaa, tunaripotiwa vibaya mno huko!

Kwanini taifa letu linachafuliwa namna hii? CCM haya ndiyo maagizo mliyowapa Polisi au wanatenda kwa utashi wao?
Sad!
linachafuliwa vipi wakati vitu vinatokea kweli
 
Wakuu,


Kata ya Gongolamboto, Mtaa wa Ulongoni A, Mgombea nafasi ya ujumbe Modestus G. Timbisimilwa amefariki baada ya kupata kipigo kutoka kwa Jeshi la Polisi, alipokuwa anazuia kura feki kuingizwa kwenye masanduku ya kura, tukio limetokea leo mchana huu.
Inaumiza, inasikitisha! Vifo visivyo sababu za msingi vinapoongezeka, vinaongeza shinikizo na namna ya kuvizuia/ kuvipunguza. Watu wakichoka kukata matawi, watashughulika na ukataji mizizi.
 
Back
Top Bottom