LGE2024 Mgombea CHADEMA nafasi ya Ujumbe Kata ya Gongo la Mboto afariki kwa kipigo cha polisi

LGE2024 Mgombea CHADEMA nafasi ya Ujumbe Kata ya Gongo la Mboto afariki kwa kipigo cha polisi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakuu,


Kata ya Gongolamboto, Mtaa wa Ulongoni A, Mgombea nafasi ya ujumbe Modestus G. Timbisimilwa amefariki baada ya kupata kipigo kutoka kwa Jeshi la Polisi, alipokuwa anazuia kura feki kuingizwa kwenye masanduku ya kura, tukio limetokea leo mchana huu.
Mimi niliwashauri vzr chadema kuwa wajitoe tu waachane na hizi drama,sasa hii ni cha mtoto,2025 Mungu akijaalia ndio picha kamali,wanaua na hakuna anaewajibishwa,kwa staili hii tutafika??
 
Akili gani nikajiingize kwenye fujo kisa mwenyekiti wa mtaa, kazi haina kichwa wala miguu badala ya kukaa na family yako unajitia kwenye balaa kisa uongozi wa mtaa.

..fujo zimefanywa na waliokuwa wakiiba kura, na kuvuruga uchaguzi.

..huyo bwana aliyeuwawa alikuwa upande wa haki, na hastahili lawama ktk tukio hilo.
 
Kwanini taifa letu linachafuliwa namna hii? CCM haya ndiyo maagizo mliyowapa Polisi au wanatenda kwa utashi wao?
Sad!
Linachafuliwa au tunajichafua wenyewe?! Wenyewe wana report kinachafanyika...
 
Wakuu,


Kata ya Gongolamboto, Mtaa wa Ulongoni A, Mgombea nafasi ya ujumbe Modestus G. Timbisimilwa amefariki baada ya kupata kipigo kutoka kwa Jeshi la Polisi, alipokuwa anazuia kura feki kuingizwa kwenye masanduku ya kura, tukio limetokea leo mchana huu.
naona vifo ni vingi kila kona ya nchi uvccm na polisi wanawaua wagombea wa chadema kwanini saa100 na mkwe wake wako kimya
 
Kuharibu kodi zetu tu pia kutokuthamini walipa kodi na wananchi kwa kumchagua mgombea wamupendae kama ni hivyo si kusiwe na uchaguzi basi ila ipo cku tunaoumia ni sisi walipa kodi hatupendi machafuko atakaepita kwa kuchaguliwa ni haki ya wananchi mi siangalii chama ila uhai wa wananchi wenzangu walipakodi jeshi la police ni la ovyo sana hatuna imani nalo tena hakuna usalama wa raia na Mali zao kwa nini watumie nguvu hadi kuua si wangemukamata tu jeshi la ovyo sana kulinda baadhi ya watu IGP ovyo
 
siku upinzani ukishika dola kuna polisi na vijana wa uvccm watafia jela.

kuna mtandao wa polis na vijana wa uvccm wanaoteka ,na kuua watu wasio na hatia
Niamini Mimi kaka kwa hizi siasa za kina mbowe sahau maisha Yako yote kuona ama kusikia chadema /upinzani umeshika Dora.
 
Si mapya nchini. Nashauri muachane na haya mambo na muwe zenu busy na maisha binafsi, likizo Kama hizi zikitangazwa tulia ulipo… Kama hauna pa kuishi Kama Mimi Upo zako aidha kwa ndugu, shemeji au rafiki…, kuleni ugali, Siku iishe kesho Mishe mishe za kimaisha ziendelee Kama kawaida.
 
kiwanda cha kuzalisha wajinga ccm, na wewe kimekuzaa?
Unafikri bila kuwashughulikia CCM wataachia uongozi? Watu wanakamata wahalifu wanawakabidhi policcm unafikri kuna akili hapo?
 
Back
Top Bottom