Dah..😭😭😭😭Wakuu,
Kata ya Gongolamboto, Mtaa wa Ulongoni A, Mgombea nafasi ya ujumbe Modestus G. Timbisimilwa amefariki baada ya kupata kipigo kutoka kwa Jeshi la Polisi, alipokuwa anazuia kura feki kuingizwa kwenye masanduku ya kura, tukio limetokea leo mchana huu.
Trump akisema hii ni shithole country watu wanasema jamaa ni mbaguziWakuu,
Kata ya Gongolamboto, Mtaa wa Ulongoni A, Mgombea nafasi ya ujumbe Modestus G. Timbisimilwa amefariki baada ya kupata kipigo kutoka kwa Jeshi la Polisi, alipokuwa anazuia kura feki kuingizwa kwenye masanduku ya kura, tukio limetokea leo mchana huu.
Vitu vingine ni reckless kabisa mfano at least mzee kikwete alikua yupo fair Sasa wizi wa kura na mauaji faida ya nani sasasiku upinzani ukishika dola kuna polisi na vijana wa uvccm watafia jela.
kuna mtandao wa polis na vijana wa uvccm wanaoteka ,na kuua watu wasio na hatia
Pole Kwa kumpoteza classmate wako!!!ila naona siku hizi kuna classmates wengi!!!R.i.P Classmate...😥
This is sad news aisee...☹️
Hizi taarifa nimeziona Al Jazeera hadi nikashangaa, tunaripotiwa vibaya mno huko!Wakuu,
Kata ya Gongolamboto, Mtaa wa Ulongoni A, Mgombea nafasi ya ujumbe Modestus G. Timbisimilwa amefariki baada ya kupata kipigo kutoka kwa Jeshi la Polisi, alipokuwa anazuia kura feki kuingizwa kwenye masanduku ya kura, tukio limetokea leo mchana huu.
Chama cha Milele...dah balaaCCM ni Chama Cha Mashetani. Majitu yote maovu yamejazana huko.
Bila ya wananchi kushirikiana kumwondoa huyu shetani, huyu muuaji mnyonya damu za Watanzania, ataendelea kuchagua leo aue yupi, kesho aue yupi, mkilalamika mtaambiwa kuwa, 'kifo ni kifo tu".
Hii imekwishakuwa nchi ya udikteta uliopindukia.
linachafuliwa vipi wakati vitu vinatokea kweliHizi taarifa nimeziona Al Jazeera hadi nikashangaa, tunaripotiwa vibaya mno huko!
Kwanini taifa letu linachafuliwa namna hii? CCM haya ndiyo maagizo mliyowapa Polisi au wanatenda kwa utashi wao?
Sad!
Umeongea pointAkili gani nikajiingize kwenye fujo kisa mwenyekiti wa mtaa, kazi haina kichwa wala miguu badala ya kukaa na family yako unajitia kwenye balaa kisa uongozi wa mtaa.
Watu wabunifu kweli!Tlaatlaah ChoiceVariable mbona mnaua watu Makamanda ?
Si mnapita kwa kishindo au hivi ndio vishindo mlivyomaanisha. ?
"kwenye kushika Dola sisiem hatuna utani " ...Amos Marangi.
Inaumiza, inasikitisha! Vifo visivyo sababu za msingi vinapoongezeka, vinaongeza shinikizo na namna ya kuvizuia/ kuvipunguza. Watu wakichoka kukata matawi, watashughulika na ukataji mizizi.Wakuu,
Kata ya Gongolamboto, Mtaa wa Ulongoni A, Mgombea nafasi ya ujumbe Modestus G. Timbisimilwa amefariki baada ya kupata kipigo kutoka kwa Jeshi la Polisi, alipokuwa anazuia kura feki kuingizwa kwenye masanduku ya kura, tukio limetokea leo mchana huu.
Alisemaje?P.W .Both alisema ukweli kuhusu sisi watu weusi.
Pumbavu zao sana haoTlaatlaah ChoiceVariable mbona mnaua watu Makamanda ?
Si mnapita kwa kishindo au hivi ndio vishindo mlivyomaanisha. ?
"kwenye kushika Dola sisiem hatuna utani " ...Amos Marangi.
kiwanda cha kuzalisha wajinga ccm, na wewe kimekuzaa?CHADEMA mpaka akili ziwakae!
Duuh hatari!Wakuu,
Kata ya Gongolamboto, Mtaa wa Ulongoni A, Mgombea nafasi ya ujumbe Modestus G. Timbisimilwa amefariki baada ya kupata kipigo kutoka kwa Jeshi la Polisi, alipokuwa anazuia kura feki kuingizwa kwenye masanduku ya kura, tukio limetokea leo mchana huu.