SH.Aisee nieamini makamanda wa hapa JF ni bendera fuata upepo, hakuna hata mmoja mwanachama halisi wa Chadema, pereree tu
Mpaka sasa jamaa ameshachukua fomu hakuna hata picha moja
Chadema ni mitandaoni tu, tena kwa watu wachache wenye ID's nyingi
Nikikuona wewe mwenyewe ukifanya hizo Kampeni za nyumba Kwa nyumba, utakuwa umasaidia Sana kumwangusha mgombea aiseeMwaka huu CCM hawashindi. Tutafanya kampeni ya kufa na kupona kuwaelimisha wananchi kuwa CCM haifai na tutawaeleza vizuri wachague Chama sahihi na chenye Sera sahihi na watu sahihi Chadema ili waweze pata maendeleo ya kweli.
Hata yule mama alikuwa anatoa maelekezo pale nje alikuwa anatetemeka sana aiseeHaaaaaa nimeona hofu kubwa kwa wale jamaa wa NeC cdm noma wamehakikisha pale pale ndani ya begi kuna nn
Ninyi sera yenu ni kuonyesha majeraha ya risasi na kumshambulia Magufuli. Habari ya kuwafurahisha chadema ni mashambulizi na matusi kwa mhe rais. Lakini kumbukeni sanduku la kura linakawaida ya kusaliti. Huu umaarufu wenu jamiiforums usiwalevye.Hata sisi mnatushangaza sana. Magu alisema anataka kuifanya TZ iwe kama ulaya lkn miaka 5 ameshindwa kuifanya iwe kama Rwanda tuu.
Alisema hatanhuko ulaya kuna sehe ziko TZ tuu hawana kila kitu sasa je ni ulaya gani.iyo anayotufananishia?
Sheria ipi imevunjwa ?Ni Tanzania tu kwa ukanda EAC ndo kuna usawa wa kidemokrasi.
Lakini uvunjaji wa sheria mkubwa mnaofanya ni sababu tosha ya kuwatoa ama kuwafuta kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi.
Aisee nieamini makamanda wa hapa JF ni bendera fuata upepo, hakuna hata mmoja mwanachama halisi wa Chadema, pereree tu
Mpaka sasa jamaa ameshachukua fomu hakuna hata picha moja
Chadema ni mitandaoni tu, tena kwa watu wachache wenye ID's nyingi
Subirini mtanange uanze ndiyo mtaamini kama mgombea wenu ana ubavu wa kuzunguka nchi nzima bila kurudi tena ubeligili kwa check up.Tanzania ni square km 945,000.Inahitaji msuli kuizungukiaHaaaaaa nimeona hofu kubwa kwa wale jamaa wa NeC cdm noma wamehakikisha pale pale ndani ya begi kuna nn
Hahah kwa hio hamtaki aonyeshe majeraha yake?Ninyi sera yenu ni kuonyesha majeraha ya risasi na kumshambulia Magufuli. Habari ya kuwafurahisha chadema ni mashambulizi na matusi kwa mhe rais. Lakini kumbukeni sanduku la kura linakawaida ya kusaliti. Huu umaarufu wenu jamiiforums usiwalevye.
Mungu ibariki Tanzania, amani na upendo vitawale ktk kipindi hiki Cha Uchaguzi mkuuKutoka maeneo mbalimbali kwenye viunga vya mji wa Dodoma, Tundu Lissu leo anachukua Fomu ya Urais.
===
Tundu Lissu leo kwa Mara ya kwanza anarejea katika mji wa Dodoma akienda kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea Urais. Ikumbukwe Tundu Lissu mara ya mwisho kuondoka katika mkoa huu ni baada ya kupigwa risasi.
Fuatilia baadhi ya matukio na picha mbalimbali za tukio hilo.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA Tundu Lissu akiwa amewasili katika Ofisi za Chadema Kanda ya Kati zilizopo jijini Dodoma na kupokelewa na viongozi mbalinbali wa Chama, wanachama, wapenzi na mashabiki wa Chadema, kabla ya kuelekea Ofisi za Tume ya Uchaguzi kuchukua fomu, leo Jumamosi 08/08/2020.
====
TUNDU LISSU AFIKA OFISI ZA NEC KUCHUKUA FOMU YA UTEUZI
Mgombea Urais Tanzania kupitia Chama cha CHADEMA, Tundu Lissu amefika katika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuchukua fomu ya Uteuzi ya kugombea Urais
Lissu amefika katika Ofisi hizo na Mgombea Mwenza Salum Mwalim huku wakiwa wamesindikizwa na Wanachama wengine. Wamekabidhiwa fomu hizo na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage
Uchukuaji fomu za kugombea kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa 2020 umeanza Agosti 5 hadi 25,2020.
Lissu amechukua fomu, wamezihakiki na kujiridhisha kisha wameondoka katika Ofis za NEC ili kuendelea na taratibu nyingine za kichama.
#JamiiForums #Siasa #JFSiasa #Uchaguzi2020
Ni Tanzania tu kwa ukanda EAC ndo kuna usawa wa kidemokrasi.
Lakini uvunjaji wa sheria mkubwa mnaofanya ni sababu tosha ya kuwatoa ama kuwafuta kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi.
Baada ya kufanya madhambi mengi sasa yupo mbioni kufungua kanisa!!Bashite ilikuwa michezo yake
Swissme
Pandeni juu mkazibe, kama 2015 mlijinyea safari hii mtajiharishia kabisaaaaa.Jidanganyeni tu magwanda
Mkipata mbunge hata mmoja, mutakua mumejitahidi sana. Mhe rais Magufuli ameahidi uchaguzi kua huru na haki ili mkose kichaka cha kufichia aibu itakayowapata.