Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Aliyeokota dodo chini ya muembe humjui?
Kama sio minyukano yenu unadhani angekuwa wapi? Hata ubunge asingepita kama zamani kwani tayari wizi na fitina zake za kura walisha zijua huko kwao Burigi
 
Chadema anakusubiria mchujo wa Kamati kuu Dodoma kwani wanajua wapo wanaccm watachujwa majina yao kukatwa kwa hila chuki majungu hujuma za kutengenezwa kwa kuwanunua Takukuru wawaandikie report japo CCM wote wametoa Rushwa hakuna CCM hakuoa Rushwa kwenye kura za maoni, Takukuru wakitaka wapate heshima na baraka za watanzania waandike report ya kweli kuwa CCM wote wametoa Rushwa ili uchaguzi wa kura za maoni urudiwe upya kabsa haki itendeke.
 
Hawa jamaa ni wepesi kama bua
Kura za maoni CCM wote wametoa Rushwa cha ajabu eti kuna mchujo kamati kuu Dodoma, wanaenda kuchuja nini? wote ni watuhumiwa wa Rushwa? au wanaenda kuchuja aliyetoa Rushwa ndogo ndogo?
 
Acha uzubaifu wew Taga jinga. MABEBERU CCM imewapa maeneo hapa nchini wajenge na kuweka ofisi zao.Kuna shida gani kuendelea kushirikiana nao? Au Unafikili kwa kutumia Makalio wewe.
 
Mipango ya Mungu ,wewe unapanga kumuua Mungu anakataa unabaki na aibu yako.
 
Oktoba lazima tutafutane humu, muwe tayari kupokea matokeo! Hakuna namna , chagua JPM chagua maendeleo!
 
Kauthamini sana tu,,, ndo maana wa tz tunadunda tu now,,, nakumbuka mheshimiwa Tundu alisema JPM corona itamshinda na soon tanzania maiti zitatapakaa,,,

Sasa kwa kauli hizi cjui nan anaemthamin mtanzania zaidi
 
Rais wa Wahuni na wabwia unga
 
Kwa mujibu wa Katiba mgombea mwenza lazima atoke sehemu ya pili ya Muungano, na yule Mama ni Mtanganyika.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…