Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Lissu ni mkora tu,eti leo wanajifanya makini kupekua mkoba wao mbele ya viongozi wa tume,kweli hawa jamaa hawaimani tume ila form wanachukua ,pathetic
Mwizi ni mwizi tu wamefanya vizuri
 
Story za vijiwe vyenu vya kahawa zimeanza
Jamaa uko vizuri kwenye propaganda, Wewe mwenyewe unajua fika huyo jamaa hawezi kuwa Rais leo, kesho au keshokutwa unachojaribu kufanya ni kujipa matumaini hewa.
 
Nchi hii ni Tundu Lissu na Diamond Platnumz pekee wanaoweza kufanya mitandao kuelekea kuelemewa na mzigo wa traffic wa kijiditali.

Kongole makamanda kwa kuwaendesha mchakamchaka wale buku7 wa mtaa wa Lumumba na vituo vyao lukuki vya radio, tv , magazeti na yule mwanaharakati uchwara wa Tanzanite tv.
 
Maraisi wengi wa Africa hasa ukanda wa SADC wamesikika wakisema wangependa kujumuika na raisi mpya wa Tz mh.TAL, kwani huyu anayemaliza muda wake hawana mahusiano mazuri naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…