Ndiyo hakuna namnaSo, Mungu amvune?
Unamuongelea jamaa yupi ?Jamaa uko vizuri kwenye propaganda, Wewe mwenyewe unajua fika huyo jamaa hawezi kuwa Rais leo, kesho au keshokutwa unachojaribu kufanya ni kujipa matumaini hewa.
Hii thread yako ina sum up mawazo ya mashabiki wa TL. Kwenye 1 mnaona milioni.Hii ndio taarifa inayozunguka mitandaoni kwa sasa , Kwamba mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA Mh Tundu Lissu , mtu aliyefufuliwa na Mungu kutoka katika wafu baada ya kutandikwa bila huruma risasi zaidi ya 38 na wanaoitwa watu wasiojulikana , amefuatiliwa na zaidi ya watu Bilion 1 kwenye mitandao ya kijamii wakati akichukua rasmi fomu za kugombea Urais...
EeeeeeeeeeeeeeeeehMaraisi wengi wa Africa hasa ukanda wa SADC wamesikika wakisema wangependa kujumuika na raisi mpya wa Tz mh.TAL, kwani huyu anayemaliza muda wake hawana mahusiano mazuri naye
Nakupenda sana mjumbe lakini watu bilioni moja parefu sana hakiki hizo tetesiHii ndio taarifa inayozunguka mitandaoni kwa sasa , Kwamba mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA Mh Tundu Lissu , mtu aliyefufuliwa na Mungu kutoka katika wafu baada ya kutandikwa bila huruma risasi zaidi ya 38 na wanaoitwa watu wasiojulikana , amefuatiliwa na zaidi ya watu Bilion 1 kwenye mitandao ya kijamii wakati akichukua rasmi fomu za kugombea Urais...
Zile sehemu nzuri zenye mafuriko Millard Ayo amezikata zote.Hapo vip!!
Leo nimeangalia msafara wa Lissu wakati anaenda kuchukua form na wakati anarudi, kwa kweli msafara wake ulikuwa kama msafara wa kugombea uenyekiti wa mtaa...
Siku magufui anaapishwa tena kuwa rais sijui mtaweka wapi Id zenuHii ndio taarifa inayozunguka mitandaoni kwa sasa , Kwamba mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA Mh Tundu Lissu , mtu aliyefufuliwa na Mungu kutoka katika wafu baada ya kutandikwa bila huruma risasi zaidi ya 38 na wanaoitwa watu wasiojulikana , amefuatiliwa na zaidi ya watu Bilion 1 kwenye mitandao ya kijamii wakati akichukua rasmi fomu za kugombea Urais .
Taarifa za wadau wa siasa za bara la Africa zinadokeza kwamba hii inaweza kuwa ni idadi kubwa mno ya wafuatiliaji wa mambo ya kisiasa na yaweza kuvunja rekodi ya bara la Africa .
Mungu wabariki hao Marais wa AfricaMaraisi wengi wa Africa hasa ukanda wa SADC wamesikika wakisema wangependa kujumuika na raisi mpya wa Tz mh.TAL, kwani huyu anayemaliza muda wake hawana mahusiano mazuri naye
Hahaha mnajitekenya na kucheka wenyewe na takwimu uchwara, wapiga kura tumetulia huku Ichwandimu tumasubiri tar 28, mtakuja kushituka na wapika kura wenu billion 1 duniani tushawachinja chapHii ndio taarifa inayozunguka mitandaoni kwa sasa , Kwamba mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA Mh Tundu Lissu , mtu aliyefufuliwa na Mungu kutoka katika wafu baada ya kutandikwa bila huruma risasi zaidi ya 38 na wanaoitwa watu wasiojulikana , amefuatiliwa na zaidi ya watu Bilion 1 kwenye mitandao ya kijamii wakati akichukua rasmi fomu za kugombea Urais .
Taarifa za wadau wa siasa za bara la Africa zinadokeza kwamba hii inaweza kuwa ni idadi kubwa mno ya wafuatiliaji wa mambo ya kisiasa na yaweza kuvunja rekodi ya bara la Africa .
Mkuu 1 bilion ni watu wa duniani waliomfuatilia LissuItakua maroboti billion ni wengi sana yenyewe Africa nzima tupo 1.4 billion ukihesabu adi watoto kwa izo data haiwezekani
Hanaga akili huyo, watu wanamuonaga zwazwa. Hajui hata kuwa bilioni 1 ni 1/7 ya population ya Dunia.We jamaa muongo balaa, unajua watu bilioni moja wewe?
Nadhani kuna wakati wanapenda kuchangamsha jukwaa.Hanaga akili huyo, watu wanamuonaga zwazwa. Hajui hata kuwa bilioni 1 ni 1/7 ya population ya Dunia.
Kwani hao bilioni ndo wamejiandikisha NEC kuwa ni wapiga kura wa Tanzania? Sijui mtajifunza lini, hadi dunia inaisha kila uchaguzi mtalalamika kuibiwa kura kwa mtindo huu mnaoendanao, na majimbo yenu ya mtandaoMkuu 1 bilion ni watu wa duniani waliomfuatilia Lissu
Mkuu utoto na ujinga ndo umewazidi. Wanahisi wanampaisha Lissu kumbe wanamdanganya na kumtia ujinga. Akipata hata 10% ashukuru Mungu.Nadhani kuna wakati wanapenda kuchangamsha jukwaa.
Maana kwa uhakika wanaujua ukweli ndani ya mioyo yao.
Hapo Zambia tu kuna watu lukuki hawajui kinachoendelea kwenye nchi ya Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app