Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Na hiyo kuplan haihitaji hata investment zaidi ya kuingiza hela!
 
Na hiyo kuplan haihitaji hata investment zaidi ya kuingiza hela!
Ndo hapo sasa. Tukisemaga CCM ni laana kwa hii nchi watu wanafikiri tunawaonea ila ukweli na uhalisia ndio huu.

Hakuna mradi CCM walioweza kuuendesha kiufanisi kuanzia mwendo kasi, uwanja wa taifa, makazi bora na mingine Mingi sana. Mbaya zaidi ukiangalia hivyo vitu wanavyoshindwa kuvifanya kwa ufanisi haviitaji miujiza kwa sababu Kama wenzetu wanaweza hilo linamaanisha kuwa hata sisi tunaweza!!
 
Naona makamanda hawaja enda na sim zenye kamera mana sion picha yoyote au mnafungia maandazi
 
Mkipata mbunge hata mmoja, mutakua mumejitahidi sana. Mhe rais Magufuli ameahidi uchaguzi kua huru na haki ili mkose kichaka cha kufichia aibu itakayowapata.
Kwahiyo ccm mlikuwa mnaibiwa kura sio?
 
Nimelia kwa furaha kumuona tundu lisu ofisi ya tume ya uchaguzi Mungu kweli anaishi.
 
Unaweza kuhimili kuvunjiwa nyumba ili eneo unaloishi lipangwe?
Wewe endelea kuongozwa na jazba badala ya kufikiri critically na logically.
Huelewi masuala ya uchumi unadhani maisha yapo mfukoni mwa mwanasiasa.
Unaweza ona mafanikio leo lakini kumbe msingi wake uliwekwa miaka zaidi ya kumi iliyopita.
 
Mkuu katika vitu Magufuli amefanikiwa ndani ya hii miaka mitano, ni kutengeneza wanafiki, waoga na wajinga wengi. Na yote haya ni kwasababu anajenga reli na bwawa la umeme.
You have nailed it. Yaan kila mtu ni mpiga mskofi hakuna mwenye uthubutu wa kuhoji as if wao ndio waajiri wetu.
Inashangaza sana unampa mtu kura akuongoze afu anaanza kukutisha
 
Sijaelewa swali lako. Unamaanisha kuvunjiwa nyumba au kukosa makazi ili eneo lipangwe???

Kama ni kuvunjiwa nyumba ndio, Nipo tayari.

Kama kukosa makazi hapo ndo sipo tayari!! Ninamaanisha nini kusema hivi???
Katika kutengeneza mipango miji na makazi bora, hili jambo linaweza kufanywa kwa hatua na likafanikiwa hakika!!! Litafanikiwaje???

Kama nchi tuna maeneo ambayo hayajaendelezwa, tunaweza kusema tunajenga nyumba za wakazi 5000- 10000 kwenye eneo ambalo likizo wazi tuliloamua kuliendeleza na tukishamaliza tunawahamishia Mf. Wakazi wa tandale kwenye eneo hilo. Tukiwahamishia tunachofanya sasa ni kupabomoa pale tandale tulipowatoa watu na kupajenga kisasa. Tukimaliza kupajenga hapo tunawahamishia wengine ambao tutaenda kupabomoa kwao ili kupajenga na kupapanga vizuri.

Tatizo CCM mmeishiwa watu wenye akili mmeishia kuwa na watu wasio na akili wanaowaza matumbo yao.
Haya mambo ni CHADEMA tu wanaweza kuyafanya kwa ufanisi
 
Cha ajabu na uchaguzi huu kitapita Kwa kishindo ambacho Hakijawahi kutokea tangu uwepo wa vyama vingi, sijui wanatumia dawa wale, au nadhani washindani Wao huwa hawatahamiki Kwa wananchi, au huwa hawana sifa
 
Jamani mbona hakuna update ya uchukuaji wa fomu? kulikoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…