Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

Watu wa mizaha na nchi yetu wanazidi kuongezeka mitandaoni, kwa kitu Gani, au kuna nini kipya ataleta Mwalimu au kuingiza ujinga katika kuongoza serikali.

Muwe mnatoa michango ya personalities ili muheshimike. Form iv , certificate in journalism ya Ilala shamba , kutangaza TV ya CCM ndio sifa ya kuwa Rais, hii mizaha ya kupitiliza.

Bora Mbowe shule hana lakini unauelewa wa kutosha na ame mature. MNATUTANIA NCHI HII NI YA SISI SOTE.
Salim ahamed alishika madaraka akiwa na umri gani
 
Kwanza D na baba yake hawajambo lakini?

Mijinga pekee inayodhani mgombea mwenza ni lazima awe mzee mwenye kitambi au mwanamke aliyegonga kwenye menopozi...

Baba D yake mzima kabisa.

Watu wana hasira sababu wanachukulia siasa kama vita hahahaaa
 
Mheshimiwa kabisa, kwani lazima utukane ndio unachotaka kusema kitamfikia muhusika? Tuhakikishe JF inakuwa bora na yenye kuheshimika. Tutoe maoni yetu tuu na sio matusi.
Kwa kifupi hujaona alivyonitusi? Kwanini hujamkanya aliyeanzisha matusi kama kweli wewe ni mtenda haki?

Au mkuki kwa nguruwe mtamu?
 
Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?

Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?

Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Wangekuwa wako siriasi kweli Mbowe angemwachia Lissu kugombea? Si uliona nafasi ya M/kiti ilivyolindwa? Hapo kasukumiwa mkimbizi kwa kujua kwamba hana nafasi ya kupata ubunge. Wako kimaslahi zaidi
 
Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?

Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?

Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Kumbe wewe humjui vizuri Salum Mwalimu, CDM hawakosei ni mfumo dume tu unaotakiwa kubomolewa kwanza ndio ujue "dagaa ni kitowezo" mardadi haswaa!
 
Eti Huyu bwana Mwalimu ndio awe Makamu wa Rais wa JMT?kweli Tanzania ndio imefikia hapa?

Katiba inasema kila Mtanzania ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa hivo Salim Mwalimu anatosha.
Je, Mama Samia Suluhu(KE) mgombea mwenza wa Magufuli amamzidi nini Mhe. Mwalimu(ME)?
 
Katiba inasema kila Mtanzania ana HAKI YA KUCHAGUA NA KUCHAGULIWA hivo Salim Mwalimu anatosha.
Je, Mama Samia Suluhu(KE) mugombea mwenza wa Magufuli amamzidi nini Mhe. Mwalimu(ME)?
Bora mngemrudia babu Duni
 
Back
Top Bottom