nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
Mkuu hata waziri mkuu wa tz majukumu yake hayaeleweki..Ni kwasababu hahitajiki.
..kuna Waziri Mkuu ambaye ana majukumu mengi zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hata waziri mkuu wa tz majukumu yake hayaeleweki..Ni kwasababu hahitajiki.
..kuna Waziri Mkuu ambaye ana majukumu mengi zaidi.
Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Kubadilisha mavazi tu kila linapotokea suala la kuonekana kwenye TBC 1
That is a dead mind reasoning, go back and rethink again and again, kiakili watanzania wote sio sawa na binadamu wote sio sawa, usawa haupo, na Mungu hajaumba binadamu wote wawe sawa katika akili zao, hapa tunaongelea akili, kwa hiyo mtanzania kichaa nae ni sawa na wengine au Form 4 certificate ya Salum ni sawa na IQ ya mtu wa First Class UD, Masters, PhD, Usawa ktk brain haupo, na tunaongozwa na brain power, pia kuongoza watu vema is all about brain power, na kipimo kizuri ni shule hakuna kipimo zaidi ya hicho kwa sasa..
So kiakili binadamu wote sio sawa, acha ujinga plz.. Binadamu wote ni sawa in biological similarities & social needs tu, ila sio akili ambayo tunategemea kuongoza maisha yetu na watu wengine.. Ujue vema usawa upi unaongelea.. Acha ujinga plz, ujinga ni utumwa.. Umeelewa? Usikute uko katikati ya confusion ww, wala hujui usawa upi unaongelea..
Hilo Jingalao ni Jinga kwelikweli. Liacheni tu kwa vile ni JINGAEti Huyu bwana Mwalimu ndio awe Makamu wa Rais wa JMT?kweli Tanzania ndio imefikia hapa?
Acheni wananchi tuamue sio nyie waroho,mliojaa woga mwili mzimaHivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Najua unasema hivo kwavile una expressing freedom.Kama Magufuli anaweza kuwa rais kwa nini Mwalimu asiwe makamu? Magufuli hata ufahamu wake wa mambo ya kawaida unaonyesha elimu yake alisoma kwa kukariri.
Inaonwkana hapo kwenu Nyerere ni munguMwl Nyerere aliwahi kusema Mji mkubwa kama Dar es salaam uongozwe na Chadema?halafu waongoze nchi nzima? basi dunia itashangaa kwa tanzania kuchezea Amani tuliyonayo...tusifanye majaribio
😁😁😁😁😁@Asprin kwanini lakini???Nadhani anataka awe kama mchepuko wa mama yake
Watanzania wana akili sana..!😁😁😁😁😁@Asprin kwanini lakini???
Anyways, watu wengi wamemponda sana mgombea mwenza wa Lissu bwana Salum Mwalim lakini cha inasikitisha hawamjui. Wanatumia habari za kusikia vijiweni kumsema vibaya tuu
Salum Mwalimu ni Yahaya kapangishiwa nyumba na mwanamama, hana lolote hata hoja huwa hanaWewe ni nani kumu under rate binadamu mwenzio? So what si umpambe mgombea mwenza wa chama chako?
Ulimpangishia wewe akakataa kuishi nawe? Kama unampenda si ufuate taratibu za dini akuoe?Salum Mwalimu ni Yahaya kapangishiwa nyumba na mwanamama, hana lolote hata hoja huwa hana
Kwanza D na baba yake hawajambo lakini?😁😁😁😁😁@Asprin kwanini lakini???
Anyways, watu wengi wamemponda sana mgombea mwenza wa Lissu bwana Salum Mwalim lakini cha inasikitisha hawamjui. Wanatumia habari za kusikia vijiweni kumsema vibaya tuu